prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,373
Ulishawahi kumsifia aliposema wafanye kazi kwa kupigwa mateke?Rais kipenzi cha Watanzania
Asante kwa ukarimu wako
Na Chakula wajitafutie!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishawahi kumsifia aliposema wafanye kazi kwa kupigwa mateke?Rais kipenzi cha Watanzania
Asante kwa ukarimu wako
Utashangaa kina Zitto wanapingaRais kipenzi cha Watanzania
Asante kwa ukarimu wako
Hiyo ipo kwenye katiba kwamba ni lazima?sio ukarimu wake, hiyo ni taratibu ipo toka miaka mingi, msisifie sana mpaka naye anakuwa bored
Hongera sana mheshiwa Rahisi,hii itatusaidia sana kupunguza maambukizi ya corana. Imeisha hiyooRais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania ametoa salamu za maadhimisho ya miaka 56 ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibari yanayotarajia kuadhimishwa siku ya kesho tarehe 26/04/ 2020.
Katika salamu hizo Mh. Rais amewataka Watanzania wote kutumia maadhimisho hayo kutafakari Muungano huo ambao uliasisiwa na viongozi wakuu Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na Hyati Sheikh Abeid Aman Karume pamoja na kumuomba Mungu dhidi ya janga la Corona.
Sambamba na hilo, Katika maadhimisho hayo Rais Magufuli ametoa msamaha kwa jumla ya wafungwa 3973 ambapo kati yao wafungwa 3717 wamesamehewa vifungo vyao wakati wengine 256 waliokuwa wakikabiliwa na adhabu ya kunyongwa wamebadilishiwa adhabu hiyo.
Mwisho, Rais ameendeleza kutoa msisitizo kwa Watanzania wote kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona kwa kuhakiksha kuwa wanaepuka mikusanyiko na safari zisizo za lazima.
mkuu mimi sijui sheria, lakini nachojua kwamba huo utaratibu ni desturi ya ikulu yani hata kama angekuepo rais mwingine angefanya hivo, mnapomsifia kwamba huu ni ukarimu inasound kama ni kitu cha kipekee sana kwamba ni yeye ana uwezo wa kufanya hivi kwamba wenzake hawakufanya haya
mkuu mimi sijui sheria, lakini nachojua kwamba huo utaratibu ni desturi ya ikulu yani hata kama angekuepo rais mwingine angefanya hivo, mnapomsifia kwamba huu ni ukarimu inasound kama ni kitu cha kipekee sana kwamba ni yeye ana uwezo wa kufanya hivi kwamba wenzake hawakufanya haya
ukarimu hata JK alikua mkarimu
sio ukarimu wake, hiyo ni taratibu ipo toka miaka mingi, msisifie sana mpaka naye anakuwa bored
RAIS MAGUFULI ATOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA 3,973
Rais Dkt John Magufuli ametoa msamaha kwa jumla ya wafungwa 3,973 ambapo kati yake wafungwa 3,717 wamesamehewa vifungo vyao na wafungwa 256 waliokuwa wanakabiliwa na adhabu ya kunyongwa hadi kufa wamebadilishiwa adhabu hiyo.
Msamaha huo umetolewa ikiwa kesho Jumapili, April 26 ni maadhimisho ya miaka 56 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
View attachment 1430158
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna wapumbavu wa kusifia - siku moja watakuja kusema, angalieni Rais wetu alivyo mkarimu, ameturuhusu tuvute hata hewa.mkuu mimi sijui sheria, lakini nachojua kwamba huo utaratibu ni desturi ya ikulu yani hata kama angekuepo rais mwingine angefanya hivo, mnapomsifia kwamba huu ni ukarimu inasound kama ni kitu cha kipekee sana kwamba ni yeye ana uwezo wa kufanya hivi kwamba wenzake hawakufanya haya
ukarimu hata JK alikua mkarimu
Ni baada ya tetemeko au?
(Infographic: VNA)Kwa hiyo Msigwa is now working from chato.
Hao sio wafungwa ni mahabusuAngeanza na wale wa ushahidi haujakamilika wako ndani zaidi ya 5yrs wakisubiria ushahidi wakakamilishe ushahidi kwanza.Waafrika twatendeana mabaya kuliko hata mkoloni aliyomtendea mwafrika yaani easy tu tunacheza na maisha ya wengine eti upelelezi haujakamilika and then ikifika wakati wa ibada tumejaa kwenye nyumba za ibada hii mizigo yote ya nn kuwafurahisha wanadamu nasi tuonekane misikitini au makanisani?
Tuna wapumbavu wa kusifia - siku moja watakuja kusema, angalieni Rais wetu alivyo mkarimu, ameturuhusu tuvute hata hewa.
Kule Uganda, enzi za utawala wa Kabaka, wakati ule Ukristo unaingia, miongoni mwa wale mashahidi wa Uganda alitamka, " inatupasa kumsikiliza Mungu zaidi kuliko Mwanadamu'. Basi machifu waliokuwepo mbele ya Kabaka kusikia vile, walianguka chini na kumsujudia Kabaka, kisha wakasema, "unaona? Tulikuambia kuwa ufalme wako umekwisha. Siku zote tunajua wewe ni kila kitu. Hata hewa tunayoivuta ni mali yako. Leo hawa wanasema wanamsikiliza mwingine zaidi yako".
Bahati mbaya mijitu mipumba.vu ya namna ile ya machifu waliokuwepo Uganda enzi za Kabaka, mpaka leo bado ipo Afrika.
Tangu tupate uhuru, hakuna Rais ambaye hakuwahi kusamehe wafungwa kila mwaka, lakini leo, wapumb.avu hawa wanataka kutuaminisha kuwa jambo hili limeasisiwa na Awamu ya Tano. Nina imani mijiti ya namna hii, hata Mh. Rais Magufuli atakuwa anakereheshwa nayo. Ni sawa mtu akuambie kuwa, wewe ni mtu maarufu sana, hata mvua hii inanyesha kutokana na mapenzi yako. Nina imani ukilisikia jitu la namna hilo utalifukuza, kwa sababu utajua limejaa unafiki mkubwa.
Rais ametimiza wajibu wake wa kuwasamehe wafungwa kwa mujibu wa sheria kwa kuzingatia vigezo alivyopewa.
Ombi letu ni kuwa anatakiwa kuwaangalia zaidi watu wale waliopo mahabusu kwa uonevu. Tunaomba aijiwe na hekima, na Roho ya Mungu. Awatoe watu walioonewa au kwa maelekezo yake au walionewa na wetendaji wake kwa nia ya kutaka kumfurahisha yeye. Kama upelelezi haujapatikana mwaka mzima, huo ni ishahidi tosha kuwa mtu huyo siyo mhalifu. Aachiwe huru. Kama ushahidi utakuja kupatikana dhidi yake, atakamatwa tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitokuwa ajabu kuendelea kupindisha sheria. Kuweko kwao ndani ni kupindisha sheria tayari. Umeona wapi kesi miaka 8 mtu yuko mahabusu na uchunguzi haujakamilia!Wale ni mahabusu Mkuu ,Siyo wafungwa..Labda kama Jiwe apindishe sheria kama kwa Waliotuhumiwa kuhujumu Uchumi.
Nchi ngumu sana hii.