Powertiller
Member
- Apr 23, 2020
- 11
- 9
-
Mkuu kwani ushahidi dhidi ya Kesi yao ushakamilika?Those are religious extremists! They are tied to Al qaeda jihadists.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani ushahidi dhidi ya Kesi yao ushakamilika?Those are religious extremists! They are tied to Al qaeda jihadists.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeberu wakati huo huo wakiwakopesha wanaitwa wawekezaji.Asante Rais wetu Magufuli
Tunasherekea muungano huku tukiwa imara kukabiliana na Mabeberu kwa kila hila
mbona unauliza majibu ?Toka nimsikie rais Yuko chato ni muda au kaenda kuisikilizia corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Utesi huo kwenye awamu ya kwanza ulijulikana kama 'kizuizini'.Haitokuwa ajabu kuendelea kupindisha sheria. Kuweko kwao ndani ni kupindisha sheria tayari. Umeona wapi kesi miaka 8 mtu yuko mahabusu na uchunguzi haujakamilia!
Wenye roho mbaya Kama jiwe ni wengi kakae wwe badala yaoWangeendelea kukaa huko tu, karibuni ughaibuni kwa korona
Huyu kwani alishafungwa?Itapendeza sana mrembo mjane Miriam Msuya ni miongoni waliopata msamaha
Rais kipenzi cha Watanzania
Asante kwa ukarimu wako
Nikiripoti Kutoka Chator.
Mimi ni Jifukizeni Usituogopeshe wa LTV.