Tetesi: Chato ukiingia au ukitoka unapimwa Corona big up mkoa wa Geita!

Tetesi: Chato ukiingia au ukitoka unapimwa Corona big up mkoa wa Geita!

Status
Not open for further replies.
Muongo huyu hakuna cha karantini wala lockdown hapa chato maisha yanaendelea kma kawaida tu

Mkuu kwanza unapotosha umma!
Nimekuwa nafanya safar kupitia Chato sijaona kitu kama hicho.
Acha ubinafsi watanzania tumefikia pabaya sana hasa kwa kuanza kubaguana kimkoa,kidini,kikanda,kielimu na kisiasa!
Hili jambo halipo wana Jf. Niupotoshaji kama zilivyo taarifa zingine
!
 
Huo. Wivu tu.
Kwan mtu ukitaka kupiga deki ama kufagia ndani, unafagia kuanzia mlango wa kutokea nje kwenda chumban kwako ama unafagia kuanzia chumban kwako kwenda nje?
 
Wanapimana JOTO tu nyie mnafikiri wanapima corona. Endeleeni na Mzaha.
 
Thanks a lot! Maana watu walikuwa wana convey information kuwa nini sisi peke yetu Senegal tumeachieve that milestone in corona testing RDT!
The Institut Pasteur de Dakar Foundation (IPD) is a non-profit association of public utility, concerned with promoting public health and well-being in West Africa. Since its foundation in 1896 by one of Louis PASTEUR's disciples, Émile Marchoux, the IPD has been at the forefront of the fight against infectious diseases. Since 2009, the Institut Pasteur in Dakar is a Senegalese foundation, managed jointly by the government of Senegal and the Institut Pasteur (Paris).

Hapo mpaka msaada Mkuu



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Soma hii , inawezekana ni sehemu au collaaboration kubwa na France Pasteur Institute
The Institut Pasteur de Dakar Foundation (IPD) is a non-profit association of public utility, concerned with promoting public health and well-being in West Africa. Since its foundation in 1896 by one of Louis PASTEUR's disciples, Émile Marchoux, the IPD has been at the forefront of the fight against infectious diseases. Since 2009, the Institut Pasteur in Dakar is a Senegalese foundation, managed jointly by the government of Senegal and the Institut Pasteur (Paris).

Naona kuna nguvu ya mzungu behind
Asante Mkuu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Naona kuna nguvu ya mzungu behind
Asante Mkuu


Sent from my iPhone using Tapatalk
Exactly iko na expertise nzito toka France Pasteur institute! Wanaweza na ujue wafaransa/wazungu walivyo smart, wameweza kuona kuwa development ikitoka paris, waafrika mtalalamika wakati wa testing kuwa tunawatumia. Ishu ni ndogo tu. Peleka raw materials zote huko tufanyie huko ionekane ni ya kwao! Lakini waulize patent???
 
Unaambiwa kule nyumbani kwa Bwana mkubwa kumepigwa lockdown ya maana. Hakuna mtu kuingia, hakuna mtu kutoka. Si baiskeli wala gari inaruhusiwa. Taratibu zote za LOCKDOWN zinazingatiwa.

Swali: Kwanini Lockdown Chato badala ya Dar?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom