Tetesi: Chato ukiingia au ukitoka unapimwa Corona big up mkoa wa Geita!

Tetesi: Chato ukiingia au ukitoka unapimwa Corona big up mkoa wa Geita!

Status
Not open for further replies.
Pamoja na kuificha ficha imebuma hiii kuwa kuna kuna afisa UWT kutoka chato kafa kwa Covid19 weekend iliyo pita, ukiona jiwe kaikimbia chato tuu jua hii maneno ina mashiko!
 
Black, Senegal imeizidi dunia ya USA na western Europe? Great! Ebu nipe wamegundua nini na kwa vipi? wameweza ku-raise antibodies vs the virus, wakaz-validate, wakazi -test and kuzi deploy! Great!
Western africa ndyo inaongoza kwa scammers dunia nzima. Majamaa wale matapeli ni hatari. Mtandaoni wanauza mask za n95. Wamewaibia watu vibya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Western africa ndyo inaongoza kwa scammers dunia nzima. Majamaa wale matapeli ni hatari. Mtandaoni wanauza mask za n95. Wamewaibia watu vibya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hearadius kidogo haya mambo ya immunology nayajua kidogo. Si rahisi kuwa scammer wa high tech kama hii! Si rahisi ku raise virus kwenye say mouse, rats, cell lines etc (virus ni intracellular, ukazi purify, ukazi validate etc etc etc etc etc! Anyway kama wameweza kirahisi hivyo, basi ni hatua kubwa!
 
Black, Senegal imeizidi dunia ya USA na western Europe? Great! Ebu nipe wamegundua nini na kwa vipi? wameweza ku-raise antibodies vs the virus, wakaz-validate, wakazi -test and kuzi deploy! Great!

Hapana mkuu sio kuwa imezizidi mataifa mengine hapana
Unaweza kusoma hata Al Jazeera walionyesha

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hearadius kidogo haya mambo ya immunology nayajua kidogo. Si rahisi kuwa scammer wa high tech kama hii! Si rahisi ku raise virus kwenye say mouse, rats, cell lines etc (virus ni intracellular, ukazi purify, ukazi validate etc etc etc etc etc! Anyway kama wameweza kirahisi hivyo, basi ni hatua kubwa!
Labda hujaniekewa. Inshort kuna malakamiko mitandaoni kuwa kunamatapeli waliopo western africa wanaouza mask ba vifaa mbali mbali vya kupima na kupambana na corona. Watu wameishaibiwa na hawa watu. Mtu anaplace order kubwa then wanapotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hearadius kidogo haya mambo ya immunology nayajua kidogo. Si rahisi kuwa scammer wa high tech kama hii! Si rahisi ku raise virus kwenye say mouse, rats, cell lines etc (virus ni intracellular, ukazi purify, ukazi validate etc etc etc etc etc! Anyway kama wameweza kirahisi hivyo, basi ni hatua kubwa!

Hii kidogo nimeipiga picha
Adjustments.jpg
 
Chato wameweka simple lockdown ukiingia au ukitoka lazima upimwe Corona

Yaani chato ukaguzi unafanyika kila wakati watu wanapimwa kila waingiapo ndani ya hicho kijiji ambacho ni kama mkoa wenye green light japo mara nyingi huongezea punda tu maana chato umasikini ni mkubwa sana

Kwanini miji yote isiwe sawa tu? Why chato papendelewe kiasi hicho?Japo ni uamuzi mzuri ila ilitakiwa iwe imefanywa nchi yote maana Tanzania yote sisi ni sawa na hiyo italeta taharuki ya ukabila na ukanda

Sent using Jamii Forums mobile app
CHATO SI MKOA, ni ka-kitongoji kanakolazimishwa kawe mji, pale walau mjo mkubwa ni KATORO ila JIWE kaona waluga luga hawaelewi kafanya chato kuwa kama makao makuu but am telling you , chato na ka mji kama Ilula hakuna tofauti.
Kajipendelea na anajua anachofanya ila ataondoka tu madarakani, wont remain permanent
 
Hapana mkuu sio kuwa imezizidi mataifa mengine hapana
Unaweza kusoma hata Al Jazeera walionyesha

Sent from my iPhone using Tapatalk
Soma hii , inawezekana ni sehemu au collaaboration kubwa na France Pasteur Institute
The Institut Pasteur de Dakar Foundation (IPD) is a non-profit association of public utility, concerned with promoting public health and well-being in West Africa. Since its foundation in 1896 by one of Louis PASTEUR's disciples, Émile Marchoux, the IPD has been at the forefront of the fight against infectious diseases. Since 2009, the Institut Pasteur in Dakar is a Senegalese foundation, managed jointly by the government of Senegal and the Institut Pasteur (Paris).
 
It doesn't matter how much our guy hide,whatever meant for him,it will finally catch up with him.
 
Labda hujaniekewa. Inshort kuna malakamiko mitandaoni kuwa kunamatapeli waliopo western africa wanaouza mask ba vifaa mbali mbali vya kupima na kupambana na corona. Watu wameishaibiwa na hawa watu. Mtu anaplace order kubwa then wanapotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
OK thanks nimekupata sasa.
 
Hii kidogo nimeipiga picha
View attachment 1432226
Thanks a lot! Maana watu walikuwa wana convey information kuwa nini sisi peke yetu Senegal tumeachieve that milestone in corona testing RDT!
The Institut Pasteur de Dakar Foundation (IPD) is a non-profit association of public utility, concerned with promoting public health and well-being in West Africa. Since its foundation in 1896 by one of Louis PASTEUR's disciples, Émile Marchoux, the IPD has been at the forefront of the fight against infectious diseases. Since 2009, the Institut Pasteur in Dakar is a Senegalese foundation, managed jointly by the government of Senegal and the Institut Pasteur (Paris).
 
Sio Chato pekee mkuu, hapo majuzi nilikuwa naelekea Musoma toka Mwanza utaratibu ni huo huo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom