Tetesi: Chato ukiingia au ukitoka unapimwa Corona big up mkoa wa Geita!

Tetesi: Chato ukiingia au ukitoka unapimwa Corona big up mkoa wa Geita!

Status
Not open for further replies.
Chato wameweka simple lockdown ukiingia au ukitoka lazima upimwe Corona

Yaani chato ukaguzi unafanyika kila wakati watu wanapimwa kila waingiapo ndani ya hicho kijiji ambacho ni kama mkoa wenye green light japo mara nyingi huongezea punda tu maana chato umasikini ni mkubwa sana

Kwanini miji yote isiwe sawa tu? Why chato papendelewe kiasi hicho?Japo ni uamuzi mzuri ila ilitakiwa iwe imefanywa nchi yote maana Tanzania yote sisi ni sawa na hiyo italeta taharuki ya ukabila na ukanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sehemu nyingi wanapima, nenda hata stendi ya mabasi Iringa, msafiri yeyote anayeingia pale kutokea mikoani anapimwa.
 
Mkuu kwanza unapotosha umma!
Nimekuwa nafanya safar kupitia Chato sijaona kitu kama hicho.
Acha ubinafsi watanzania tumefikia pabaya sana hasa kwa kuanza kubaguana kimkoa,kidini,kikanda,kielimu na kisiasa!
Hili jambo halipo wana Jf. Niupotoshaji kama zilivyo taarifa zingine
!
Nani alieamzisha kubaguana kikanda na makabila? Nadhani wamjua tena huwa hapepesi macho anza na huyo kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shekhe kupima joto ni kujidanganya tu kwani mtu akiona joto liko juu anakunywa panadol kushusha joto akifika kwenye kipimo kinasoma normal temprature....jiulize hata pale JKIA walikuwa wanapimwa lkn siku hadi siku wagonjwa walikuwa wanaongezeka sababu kuu ni hiyo kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kwanini mtu ujijue unaumwa Kisha bado unasafiri?,,huo ugonjwa unataka ukiupata utulie na kuanza kufakamia misosi ya kuongeza vitamin C,,unywe maji yakutosha etc, ama la ugonjwa unatoka stage moja kwenda ingine kabla mwili haujaweza kupigana nao na kuushinda
 
Punda kufeni mkifanya kazi mille kodi kwa binadamu wa Chato
 

Attachments

  • IMG_4207.MP4
    9.6 MB
Mkuu kwanza unapotosha umma!
Nimekuwa nafanya safar kupitia Chato sijaona kitu kama hicho.
Acha ubinafsi watanzania tumefikia pabaya sana hasa kwa kuanza kubaguana kimkoa,kidini,kikanda,kielimu na kisiasa!
Hili jambo halipo wana Jf. Niupotoshaji kama zilivyo taarifa zingine
!

Naweza kusema wewe ndio muongo. Mimi ni shuhuda wa hili japo vipimo ni vya joto tu ambavyo hata ukipanda ferry kutoka mwanza kuelekea geita sengerema chato au kagera lazima upimwe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kwa hiyo bei ya dola 16,000 (tuseme sh 35m) inapaswa kila mkoa uwe na mashine ya kupimia COVID-19.

Kweli kabisa maana sisi wataalamu wetu walikariri vitabu ila likija suala la uvumbuzi ni zero, bora tununue tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mungu hawez kukubariki kwa staili hio, utaangamia tu, yani unabariki dhambi, kwamba ukikutana na omba omba barabarani mmoja ni wa kabila lako, mwingine ni kabila lingine, utamsaidia wa kabila lako sababu ametoka mkoa mmoja na wewe, huuyo mwingine utamwacha afe sababu sio wa "kwenu"
Hata ningekuwa mimi watu wangu wangekuwa ni kipaumbele katika kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chato wameweka simple lockdown ukiingia au ukitoka lazima upimwe Corona

Yaani chato ukaguzi unafanyika kila wakati watu wanapimwa kila waingiapo ndani ya hicho kijiji ambacho ni kama mkoa wenye green light japo mara nyingi huongezea punda tu maana chato umasikini ni mkubwa sana

Kwanini miji yote isiwe sawa tu? Why chato papendelewe kiasi hicho?Japo ni uamuzi mzuri ila ilitakiwa iwe imefanywa nchi yote maana Tanzania yote sisi ni sawa na hiyo italeta taharuki ya ukabila na ukanda

Sent using Jamii Forums mobile app
halafu mikoa mingine anasema acha wachape kazi. Anawalinda ndugu zake. Mitanzania tulivyo hovyo tunashangilia!
 
Mungu hawez kukubariki kwa staili hio, utaangamia tu, yani unabariki dhambi, kwamba ukikutana na omba omba barabarani mmoja ni wa kabila lako, mwingine ni kabila lingine, utamsaidia wa kabila lako sababu ametoka mkoa mmoja na wewe, huuyo mwingine utamwacha afe sababu sio wa "kwenu"

Sent using Jamii Forums mobile app
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom