Tetesi: Chato ukiingia au ukitoka unapimwa Corona big up mkoa wa Geita!

Tetesi: Chato ukiingia au ukitoka unapimwa Corona big up mkoa wa Geita!

Status
Not open for further replies.
Asante kwa taarifa. Kweli tumekosa na tunatubu kwa makosa ya mwaka 2015. Kwanza tulitegemea kuongozwa kutoka Dodoma sana imekuwa tunaongozwa kutoka chattle. Pili yanaendelea kufanyika yale mambo aliyopinga sana baba wa taifa, udini, ukanda,ukabila, nk Juzi tumeona jinsi teuzi za maprofesa wawili mpigo na wengine wengi wote wakitokea kijijini hapo. Tatu tulitegemea kama kuna jambo lenye manufaa kwa taifa kuhusu lockdown basi lifanyike nchi nzima. Jamani upendeleo hadi kwenye lockdown?! Mtu anaamini some kind of lock down works lakini kwa jinsi alivyo na upendeleo basi anakwenda kufanya lock down kwake tu anaacha kwingine bila utaratibu huo. Kama anaamini lockdown inafanya kazi basi atangaze nchi nzima na pia akae kwenye makao makuu ya nchi anapotegemewa kuwepo. Kweli tumekosea.
Kura zenyewe kwani alipata za wapiga kura basiiii? Yeye kimsingi alipata 20% lkn kina nape wakapiga goli la mkono basi jamaa akaukwaa urais bila kutarajia
 
Kama ni kupima joto tunajidanganya sana
Corona mpaka joto linapanda ni siku tatu na wengine zaidi, sasa ana Corona kabla ya joto kupanda utamjuaje
Acheni kuchezea maisha yenu
Agizeni vipimo Senegal kama mnashindwa kutengeneza vifaa vya kupimia


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Upimaji huo kwa Chato ni sawa na kufukuza upepo jangwani, Chato ina njia za ziwani ambazo hakuna bandari maalumu. Hizo nguvu ziwekwe kwa taifa zima, Kuna nini special kwa Chato?
 
Asante kwa taarifa. Kweli tumekosa na tunatubu kwa makosa ya mwaka 2015. Kwanza tulitegemea kuongozwa kutoka Dodoma sana imekuwa tunaongozwa kutoka chattle. Pili yanaendelea kufanyika yale mambo aliyopinga sana baba wa taifa, udini, ukanda,ukabila, nk Juzi tumeona jinsi teuzi za maprofesa wawili mpigo na wengine wengi wote wakitokea kijijini hapo. Tatu tulitegemea kama kuna jambo lenye manufaa kwa taifa kuhusu lockdown basi lifanyike nchi nzima. Jamani upendeleo hadi kwenye lockdown?! Mtu anaamini some kind of lock down works lakini kwa jinsi alivyo na upendeleo basi anakwenda kufanya lock down kwake tu anaacha kwingine bila utaratibu huo. Kama anaamini lockdown inafanya kazi basi atangaze nchi nzima na pia akae kwenye makao makuu ya nchi anapotegemewa kuwepo. Kweli tumekosea.
Utakufa na stress tu wewe dada! Fanyakazi acha udaku!
 
Upimaji huo kwa Chato ni sawa na kufukuza upepo jangwani, Chato ina njia za ziwani ambazo hakuna bandari maalumu. Hizo nguvu ziwekwe kwa taifa zima, Kuna nini special kwa Chato?
Wewe hata uongo una uamini tu mkuu? Unaingizwa chaka unakubali?
 
Chato wameweka simple lockdown ukiingia au ukitoka lazima upimwe Corona

Yaani chato ukaguzi unafanyika kila wakati watu wanapimwa kila waingiapo ndani ya hicho kijiji ambacho ni kama mkoa wenye green light japo mara nyingi huongezea punda tu maana chato umasikini ni mkubwa sana

Kwanini miji yote isiwe sawa tu?Why chato papendelewe kiasi hicho?Japo ni uamuzi nzuri ila ilitakiwa iwe imefanywa nchi yote maana tz yote sisi ni sawa na hiyo italeta taharuki ya ukabila na ukanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwanza unapotosha umma!
Nimekuwa nafanya safar kupitia Chato sijaona kitu kama hicho.

Acha ubinafsi watanzania tumefikia pabaya sana hasa kwa kuanza kubaguana kimkoa,kidini,kikanda,kielimu na kisiasa!
Hili jambo halipo wana Jf. Niupotoshaji kama zilivyo taarifa zingine!
 
Chato wameweka simple lockdown ukiingia au ukitoka lazima upimwe Corona

Yaani chato ukaguzi unafanyika kila wakati watu wanapimwa kila waingiapo ndani ya hicho kijiji ambacho ni kama mkoa wenye green light japo mara nyingi huongezea punda tu maana chato umasikini ni mkubwa sana

Kwanini miji yote isiwe sawa tu?Why chato papendelewe kiasi hicho?Japo ni uamuzi nzuri ila ilitakiwa iwe imefanywa nchi yote maana tz yote sisi ni sawa na hiyo italeta taharuki ya ukabila na ukanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu aliyekataza maeneo au mikoa mingine kufanya hivyo kama wanavyofanya chato, huku wilayni hata kutangaza kuwa watu wavae mask kwa lazima hawafanyi hivyo bali wanatangaza kufanya usafi ifikapo Jumamosi
 
Kupima joto sio kupima corona,,kupima corona huo uwezo kuupata Ni ngumu,,mpaka sample ziende dsm..
Njia rahisi Sana kupima Ni kwenda pale mtukula ujifanye dreva wa trans goods
 
Jiwe baada ya kuhamisha ventilator kutoka bugando kwenda chato hataki kabisa kuwaza mbele. Hapo sasa hivi anawaza uchaguzi. Nina uhakika jiwe hawezi kununua ventilators kwa ajili ya watanzania.
Jamaa ana roho ya kipekee yana( mbaya) ila TISS Mungu hayawasamehe

View attachment 1432039


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Nipo mkoa wa Kilimanjaro now ni hivyo hivyo ukifika lazma upimwe kama mkoa uliopo hawafanyi hivyo jua kuna watendaji wamelala, mkuu wa mkoa
Shekhe kupima joto ni kujidanganya tu kwani mtu akiona joto liko juu anakunywa panadol kushusha joto akifika kwenye kipimo kinasoma normal temprature....jiulize hata pale JKIA walikuwa wanapimwa lkn siku hadi siku wagonjwa walikuwa wanaongezeka sababu kuu ni hiyo kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo Dar endeleeni kujifukiza kutwa mara tatu.

NB:
Mleta mada nimependa Avatar yako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom