Mkuu kwanza unapotosha umma!
Nimekuwa nafanya safar kupitia Chato sijaona kitu kama hicho.
Acha ubinafsi watanzania tumefikia pabaya sana hasa kwa kuanza kubaguana kimkoa,kidini,kikanda,kielimu na kisiasa!
Hili jambo halipo wana Jf. Niupotoshaji kama zilivyo taarifa zingine!
Yale yale yapi mkuu? UPO JAMHURI YA CHATO?
OK SAWA....Nilitaka kukuagiza hapo kwenye kijiwe chakahawaSijawahi hata kufika
wanapima maeneo gani mkuuNipo mkoa wa Kilimanjaro now ni hivyo hivyo ukifika lazma upimwe kama mkoa uliopo hawafanyi hivyo jua kuna watendaji wamelala, mkuu wa mkoa
Thanks a lot! Maana watu walikuwa wana convey information kuwa nini sisi peke yetu Senegal tumeachieve that milestone in corona testing RDT!
The Institut Pasteur de Dakar Foundation (IPD) is a non-profit association of public utility, concerned with promoting public health and well-being in West Africa. Since its foundation in 1896 by one of Louis PASTEUR's disciples, Émile Marchoux, the IPD has been at the forefront of the fight against infectious diseases. Since 2009, the Institut Pasteur in Dakar is a Senegalese foundation, managed jointly by the government of Senegal and the Institut Pasteur (Paris).
Soma hii , inawezekana ni sehemu au collaaboration kubwa na France Pasteur Institute
The Institut Pasteur de Dakar Foundation (IPD) is a non-profit association of public utility, concerned with promoting public health and well-being in West Africa. Since its foundation in 1896 by one of Louis PASTEUR's disciples, Émile Marchoux, the IPD has been at the forefront of the fight against infectious diseases. Since 2009, the Institut Pasteur in Dakar is a Senegalese foundation, managed jointly by the government of Senegal and the Institut Pasteur (Paris).
Exactly iko na expertise nzito toka France Pasteur institute! Wanaweza na ujue wafaransa/wazungu walivyo smart, wameweza kuona kuwa development ikitoka paris, waafrika mtalalamika wakati wa testing kuwa tunawatumia. Ishu ni ndogo tu. Peleka raw materials zote huko tufanyie huko ionekane ni ya kwao! Lakini waulize patent???Naona kuna nguvu ya mzungu behind
Asante Mkuu
Sent from my iPhone using Tapatalk