chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Wana Chato wamejiapiza kwamba uchaguzi wa ubunge unaokuja, wanakwenda na Katwale.
Wanachato wanasema kwamba Katwale alikuwa chaguo lao lakini JPM alimpandikiza Kalemani.
Gumzo kubwa wilayani Chato ni kwamba miradi yote wanayoiona Chato ni kazi ya JPM. Mbunge wao Kalemani hajafanikisha mradi wowote ule tangu awe mbunge, zaidi ya kujikinga jua kwenye miradi iliyoletwa na JPM.
Tangu JPM afariki, hakuna mradi wowote ulioletwa na mbunge wao, badala yake wanaona mkuu wao wa Wilaya akihangaika huku na kule kuhakikisha Chato haikosi miradi ya maendeleo.
Hivi karibuni Mkuu wa Wilaya amepambana kuhakikisha mradi wa maji wa Buzirayombo unaanza. Mradi huo utasambaza maji sehemu mbalimbali, ikiwemo Bwanga, Katende na Buzirayombo pamoja na Buziku.
Kalemani ni sehemu ya wabunge waliokuwa wanawekwa na JPM, wananchi watake wasitake, na kura zake huwa hazijulikani mpaka Leo hii
Wanachato wanasema kwamba Katwale alikuwa chaguo lao lakini JPM alimpandikiza Kalemani.
Gumzo kubwa wilayani Chato ni kwamba miradi yote wanayoiona Chato ni kazi ya JPM. Mbunge wao Kalemani hajafanikisha mradi wowote ule tangu awe mbunge, zaidi ya kujikinga jua kwenye miradi iliyoletwa na JPM.
Tangu JPM afariki, hakuna mradi wowote ulioletwa na mbunge wao, badala yake wanaona mkuu wao wa Wilaya akihangaika huku na kule kuhakikisha Chato haikosi miradi ya maendeleo.
Hivi karibuni Mkuu wa Wilaya amepambana kuhakikisha mradi wa maji wa Buzirayombo unaanza. Mradi huo utasambaza maji sehemu mbalimbali, ikiwemo Bwanga, Katende na Buzirayombo pamoja na Buziku.
Kalemani ni sehemu ya wabunge waliokuwa wanawekwa na JPM, wananchi watake wasitake, na kura zake huwa hazijulikani mpaka Leo hii