Chato wajiapiza 2025/2030 watamchagua Katwale. Kalemani hajaleta mradi wowote tangu Dkt. Magufuli afariki dunia

Chato wajiapiza 2025/2030 watamchagua Katwale. Kalemani hajaleta mradi wowote tangu Dkt. Magufuli afariki dunia

Wana Chato wamejiapiza kwamba uchaguzi wa ubunge unaokuja, wanakwenda na Katwale.
Wanachato wanasema kwamba Katwale alikuwa chaguo lao lakini JPM alimpandikiza Kalemani.

Gumzo kubwa wilayani Chato ni kwamba miradi yote wanayoiona Chato ni kazi ya JPM. Mbunge wao Kalemani hajafanikisha mradi wowote ule tangu awe mbunge, zaidi ya kujikinga jua kwenye miradi iliyoletwa na JPM.

Tangu JPM afariki, hakuna mradi wowote ulioletwa na mbunge wao, badala yake wanaona mkuu wao wa Wilaya akihangaika huku na kule kuhakikisha Chato haikosi miradi ya maendeleo.

Hivi karibuni Mkuu wa Wilaya amepambana kuhakikisha mradi wa maji wa Buzirayombo unaanza. Mradi huo utasambaza maji sehemu mbalimbali, ikiwemo Bwanga, Katende na Buzirayombo pamoja na Buziku.
Daaah 🤔 kwann mnaendelea tokokeza wazalendo wa awamu ya tano? Inasikitisha sana 😪😪
 
kwaniniawe katwale dc wa chato na si mtu mwingine? CCM haipo Tena chato Sasa ni wakati sahihi wa CHADEMA tuuu
 
Wana Chato wamejiapiza kwamba uchaguzi wa ubunge unaokuja, wanakwenda na Katwale.
Wanachato wanasema kwamba Katwale alikuwa chaguo lao lakini JPM alimpandikiza Kalemani.

Gumzo kubwa wilayani Chato ni kwamba miradi yote wanayoiona Chato ni kazi ya JPM. Mbunge wao Kalemani hajafanikisha mradi wowote ule tangu awe mbunge, zaidi ya kujikinga jua kwenye miradi iliyoletwa na JPM.

Tangu JPM afariki, hakuna mradi wowote ulioletwa na mbunge wao, badala yake wanaona mkuu wao wa Wilaya akihangaika huku na kule kuhakikisha Chato haikosi miradi ya maendeleo.

Hivi karibuni Mkuu wa Wilaya amepambana kuhakikisha mradi wa maji wa Buzirayombo unaanza. Mradi huo utasambaza maji sehemu mbalimbali, ikiwemo Bwanga, Katende na Buzirayombo pamoja na Buziku.

Kalemani ni sehemu ya wabunge waliokuwa wanawekwa na JPM, wananchi watake wasitake, na kura zake huwa hazijulikani mpaka Leo hii
Amewaletea umeme, amewawekea traffic light, amewawekea taa za barabarani mpaka vichochoroni, nyie watu mnataka maendeleo gani?
 
Kalemani, taletale, jerry, Gwajima,mbunge wa mikumi, supika

wote hao hawarudi bungeni waanze kufungasha
tunajua kwamba figisu za kuwaondoa madarakani viongozi wetu bado zinaendelea
 
Kwa hali iliyopo sasa ikiendelea, itakuwa rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko Kalemani kutoboa ubunge chato 2025. Labda atafute jimbo jingine.
 
Back
Top Bottom