Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hakuna usalama katika kupigwa.hakuna namna bora liende siku ipite ukiwa salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna usalama katika kupigwa.hakuna namna bora liende siku ipite ukiwa salama
“Wenye nia ovu” yaani hata haya mtu ukiyasema unakuwa na nia ovu? Kwa mfano wewe umekosoa japo sio direct, je una nia ovu, au ulitaka kusemaje mkubwa.Kwa yanayoendelea Chato ili Magufuli aeleweke anapaswa kupeleka miradi mikubwa pia kwa watangulizi wake tofauti na hapo dhana ya upendeleo itapata nguvu na kuwapa cha kusema wenye nia ovu.
😀😀😀😀Hawa watu ifike hatua wawe na aibu na hiyo Chato yao.
Usilinganishe ka Rwanda kenye watu 14 ml. na Tanzania yenye 60 ml. Utakosea sanaHuu uongozi unataka watu kama hao. Watu makini kama Hussein Bashe, hafiki popote ataishilia naibu tu. Utwala wa kidini, kikabila unaoongozwa na akili ndogo. Rwanda leo uchumi unakuwa kwa asilimia 15% kwa sababu umewapa nafasi wasomi wake wa kweli. Sio hawa Madokta uchwara. Ukiangal[a programme zao utaona zinaendeshwa kisomi. Watoto wanatumia laptop, hata utalii wao utatushinda hivi karibuni ingawaje hawana vitu vingi. Sisi kazi ni kuwachukia wageni 'mabeberu' na kujifanya tuna kila kitu wakati umaskini ndiyo unazidi. Kazi kusifiana tu, ukisema ukweli unafungwa! Stupid kabisa.
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.
Wa majiUtalii gani tena jamani?
Usilinganishe ka Rwanda kenye watu 14 ml. na Tanzania yenye 60 ml. Utakosea sana
Wa maji
Mpiga picha wako hajitambui! Alitakiwa kuchanganya picha za mapori ya asili ya burigi chato badala ya kuonyesha msitu wa kupandwa na watu mfyyyyuuuuu!Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.
SijuiMaji chumvi??[emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui walitoa kwa maslahi ya nchi au ya mtu ila anyway Hata zanzibar kuna uvuvi pia
Hiyo airport ipo eneo gani kwa google map washirikaWaziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.