isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Shukrani Sana Brother, Nimejifunza na nimependezwa na upashanaji wa hoja baina yetu.Akili imechoka mkuu wangu, tutajadili wakati mwingine.
Pumzika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani Sana Brother, Nimejifunza na nimependezwa na upashanaji wa hoja baina yetu.Akili imechoka mkuu wangu, tutajadili wakati mwingine.
GbadoliteUtakuwa kichaaa kuliko huyo anayejenga
Chato hakuna wasomi wewe,pale pamejaa umaskini wa kutupwa,angewasaidia kuwapa elimu sio kuwajengea mavituo ambayo mtashindwa kuyaendeleza baadayeNani kakwambia chato hakuna wasomi?, nani kakwambia watu wa chato ni maskini wakutupwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
... Kiongozi nchi hii magamba wamekuja na drama nyingi sana sana sana kiasi kwamba ni vigumu kukumbuka ipi ni ipi full usanii alimradi wajihakikishie kuendelea kucontrol! Yaani wametuletea maigizo ya kutosha kabisa.Nimecheka kama mjinga...umenikumbusha mbali sana,sijui hii kitu iliishia wapi
Tunataka na miji mingine ikuwe,Serikali imesema ina dhamiria kujenga hospital ya kanda ya Ziwa huko Chato mkoani Geita
Waziri wa Afya jinsia na watoto amebainisha hilo leo
My take: kwa nini ijengwe Chato na si Mwanza kitovu cha kanda ya Ziwa au Geita makao makuu ya mkoa?
Source Mwananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo Mwanza na nimekuwa na shughuli za hapa na na pale Musoma. Hakuna flight traffic za kwenda Musoma kama ambavyo unataka kusema. Watalii wengi wanaingia Serengeti wakitokea Ngorongoro na wengine wakitokea Kenya.Nyerere alijenga Airport ya Musoma kwa ajili ya kufacilitate watalii kwenye mbuga ya serengeti,au hujui kuwa 3/4 ya mbuga ya serengeti ipo Mkoa wa mara na ni rahisi kwenda Serengeti kupitia Musoma.
...na ili ajenge kwao itabidi achaguliwe na watu wa kwao tu.Sasa hivi tuna kamsemo "Kila Rais na ajenge kwao"
Wewe ndiye uliipatia Mwanza hicho kitovu?!, Kwanini isijengwe Musoma, Kahama, Shinyanga au Bukoba?!
Zama za Daslam na Coast zimefikia tamati, ilikusudi taifa liendelee lazima maendeleo yatapanywe.
Chato haiwezi kuwa hivi sababu mobuti alijenga maporini, chato tayari ni Wilaya and soon kuwa mkoa wa Rubondo.Gbadolite
![]()
President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite - in pictures
The president of what was then Zaire lavished millions on a palace complex and international airport in the remote town of Gbadolite. Guardian photographer Sean Smith heads for the jungle to document the pitiful shell that remainswww.theguardian.com
View attachment 1329021
Lazima kufanya hivyo ili kuzima ushenziwa upendeleo wa wazi!
Hakuna cha ubaba! Taifa umaskini chanzo ni yeye. Magufuli ndiyo ananyoosha hii sasa.
Pwani ipi? Au hujui viwanda takribani 73 vimejengwa enzi za Kikwete?! Mloganzila kwanini haikupelekwa Iringa?!
Tuwe wakweli zama za Umwinyi na Umangi kwisha habari yake. U-Daslam utapotea ili taifa lisonge.
Haiwezekani mtu Kigoma na Kagera yupo mahtuti mpaka afike Daslam kwa tiba! Haiwezekani, Daslam ni kipande kidogo sana kwa Tanzania.
Maendeleo endelevu ya Tanzania
ni kweli alafu isitoshe ni maendeleo ndani ya nchi so mtanzania yoyote anaweza kwenda kutibiwa paleSafi sana.
Faida gani ya kuwa Rais wa nchi halafu kwenu hupeleki maendeleo?
Mkuu unataka kila kitu kiwe dar hapana aisee dar kumejaa huduma nyingine tuziweke mkoani badala ya kwenda indiaKwa hiyo suluhisho ni kurundika kila kitu chato? Najua hata wewe unaina aibu maana huko kwenu hamna lolote ila tu kea kuwa tu you are dumb praiser huna budi kusifia hata ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnyonge ni wewe na Baba yako na familia yako! Mkome kutuita watanzania WANYONGE!! Msitufanye sisi misukule yenu!Chato ni Tanzania nao wanahaki ya kuifaidi cake ya Taifa kama Moshi na Arusha. Lake zone imebeba population kubwa sana ambayo inahitaji huduma za Afya kwa karibu..Hongera awamu ya Tano kwa kuliona hili, Hongera chama cha wanyonge kwa kusimamia ilani... CCM oyee, kidumu chama cha mapinduzi..
Kwahiyo unataka tukatibiwe Chato!ni kweli alafu isitoshe ni maendeleo ndani ya nchi so mtanzania yoyote anaweza kwenda kutibiwa pale
Yeah kuliko kwenda india mkuu kinajengwa kitu pale full equipped watu wote tunaelekea chato tukishatibiwa tunaenda kufanya utalii burigiKwahiyo unataka tukatibiwe Chato!
Yeah kuliko kwenda india mkuu kinajengwa kitu pale full equipped watu wote tunaelekea chato tukishatibiwa tunaenda kufanya utalii burigiKwahiyo unataka tukatibiwe Chato!
Chattle utakuwa mkoa soon..... wako kwenye maandalizi.Serikali imesema ina dhamiria kujenga hospital ya kanda ya Ziwa huko Chato mkoani Geita
Waziri wa Afya jinsia na watoto amebainisha hilo leo
My take: kwa nini ijengwe Chato na si Mwanza kitovu cha kanda ya Ziwa au Geita makao makuu ya mkoa?
Source Mwananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haikuhitaji utafitiSerikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.
“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma Serikali kujenga hospitali ya kikanda ya kitalii Geita
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.