Chato yazidi kuneemeka; Serikali kujenga Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Ziwa

Chato yazidi kuneemeka; Serikali kujenga Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Ziwa

Utakuwa kichaaa kuliko huyo anayejenga
Gbadolite

1579556252589.png


Lazima kufanya hivyo ili kuzima ushenziwa upendeleo wa wazi!
 
Nimecheka kama mjinga...umenikumbusha mbali sana,sijui hii kitu iliishia wapi
... Kiongozi nchi hii magamba wamekuja na drama nyingi sana sana sana kiasi kwamba ni vigumu kukumbuka ipi ni ipi full usanii alimradi wajihakikishie kuendelea kucontrol! Yaani wametuletea maigizo ya kutosha kabisa.
 
Nyerere alijenga Airport ya Musoma kwa ajili ya kufacilitate watalii kwenye mbuga ya serengeti,au hujui kuwa 3/4 ya mbuga ya serengeti ipo Mkoa wa mara na ni rahisi kwenda Serengeti kupitia Musoma.
Nipo Mwanza na nimekuwa na shughuli za hapa na na pale Musoma. Hakuna flight traffic za kwenda Musoma kama ambavyo unataka kusema. Watalii wengi wanaingia Serengeti wakitokea Ngorongoro na wengine wakitokea Kenya.
Hata uwanja wa Mwanza yet haujawa kwenye strategic position kuvutia watalii ukilinganisha na Arusha licha ya Mwanza kwenda Serengeti au Musoma Airport kwenda Serengeti ni so close ukilinganisha na Arusha.

Anyway, assuming your assumption is correct; akina Sumaye, Msuya, Mwandosya, Mramba...ndiyo. Kitilya na kujaza wachaga TRA, Wanyakyusa na kujazana NIC wakati mmoja; Tanzania pamoja na mema mengi yaliyo kati yetu; haya ni baadhi ya ubinadamu ambao tumekuwa tukiuishi na sio aibu kuusema kwa kukumbuka yale yaliyofanyika huko nyuma
 
Na ili iendelee zaidi ni lazima chato iwe na hadhi maalum!! Upendeleo wa kipuuzi kabisa,mbona sijasikia maendeleo yakisukumiwa sehemu nyingine zenye shida zaidi ya chato?
Wewe ndiye uliipatia Mwanza hicho kitovu?!, Kwanini isijengwe Musoma, Kahama, Shinyanga au Bukoba?!

Zama za Daslam na Coast zimefikia tamati, ilikusudi taifa liendelee lazima maendeleo yatapanywe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gbadolite

View attachment 1329021

Lazima kufanya hivyo ili kuzima ushenziwa upendeleo wa wazi!
Chato haiwezi kuwa hivi sababu mobuti alijenga maporini, chato tayari ni Wilaya and soon kuwa mkoa wa Rubondo.
 
Kwa hiyo suluhisho ni kurundika kila kitu chato? Najua hata wewe unaina aibu maana huko kwenu hamna lolote ila tu kea kuwa tu you are dumb praiser huna budi kusifia hata ujinga
Hakuna cha ubaba! Taifa umaskini chanzo ni yeye. Magufuli ndiyo ananyoosha hii sasa.

Pwani ipi? Au hujui viwanda takribani 73 vimejengwa enzi za Kikwete?! Mloganzila kwanini haikupelekwa Iringa?!

Tuwe wakweli zama za Umwinyi na Umangi kwisha habari yake. U-Daslam utapotea ili taifa lisonge.

Haiwezekani mtu Kigoma na Kagera yupo mahtuti mpaka afike Daslam kwa tiba! Haiwezekani, Daslam ni kipande kidogo sana kwa Tanzania.

Maendeleo endelevu ya Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo suluhisho ni kurundika kila kitu chato? Najua hata wewe unaina aibu maana huko kwenu hamna lolote ila tu kea kuwa tu you are dumb praiser huna budi kusifia hata ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unataka kila kitu kiwe dar hapana aisee dar kumejaa huduma nyingine tuziweke mkoani badala ya kwenda india
 
Chato ni Tanzania nao wanahaki ya kuifaidi cake ya Taifa kama Moshi na Arusha. Lake zone imebeba population kubwa sana ambayo inahitaji huduma za Afya kwa karibu..Hongera awamu ya Tano kwa kuliona hili, Hongera chama cha wanyonge kwa kusimamia ilani... CCM oyee, kidumu chama cha mapinduzi..
Mnyonge ni wewe na Baba yako na familia yako! Mkome kutuita watanzania WANYONGE!! Msitufanye sisi misukule yenu!
 
Kwahiyo unataka tukatibiwe Chato!
Yeah kuliko kwenda india mkuu kinajengwa kitu pale full equipped watu wote tunaelekea chato tukishatibiwa tunaenda kufanya utalii burigi
 
Kwahiyo unataka tukatibiwe Chato!
Yeah kuliko kwenda india mkuu kinajengwa kitu pale full equipped watu wote tunaelekea chato tukishatibiwa tunaenda kufanya utalii burigi
 
Serikali imesema ina dhamiria kujenga hospital ya kanda ya Ziwa huko Chato mkoani Geita

Waziri wa Afya jinsia na watoto amebainisha hilo leo

My take: kwa nini ijengwe Chato na si Mwanza kitovu cha kanda ya Ziwa au Geita makao makuu ya mkoa?

Source Mwananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Chattle utakuwa mkoa soon..... wako kwenye maandalizi.

Mwenyewe kakaa kimya kama vile siyo yeye anayetoa maelekezo,,...!!
 
Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.

“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.

Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.

Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.

Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.

Chanzo: Mwananchi

Pia soma Serikali kujenga hospitali ya kikanda ya kitalii Geita
Haikuhitaji utafiti
 
Back
Top Bottom