Haahaa hauko serious, rungwe anayeishia manzese kupiga kampeniBora chauma sio msaliti wa Nchi kama mgombea wa chadema
Unaweza kuthibitisha beyond reasonable doubt kwa umma wa wana JF kuwa mgombea wa chadema ni msaliti wa nchi au wewe ni mpumbavu tu wa porojo,siasa za maji taka pamoja na majungu?Bora chauma sio msaliti wa Nchi kama mgombea wa chadema
Unaelewa maana ya ushahidi?Huo ni ushahidi?Hizo ni porojo za vijiwe vya ghahawa na wala siyo ushahidi!Alikuwa anahongwa mabilion na Mabeberu ili awatetee bungeni kutuibia rasmali zetu
Ile tu kuungwa mkono na bwana Amsterdam na kukutolea matamko kuhusu uchaguzi, huo ni usaliti tosha.Unaweza kuthibitisha beyond reasonable doubt kwa umma wa wana JF kuwa mgombea wa chadema ni msaliti wa nchi au wewe ni mpumbavu tu wa porojo,siasa za maji taka pamoja na majungu?
Unaelewa maana ya ushahidi?Huo ni ushahidi kuwa Lissu ni msaliti wa nchi?Yaani niwe na mwanasheria wangu wa masuala ya kimataifa halafu akemee udhalimu wa wazi wa chama cha CCM achilia mbali kukemea udhalimu wa serekali kisha huo uwe ni usaliti wa nchi yangu?Huwa unafikiria kwa kutumia kitu gani?Yaani kukemea udhalimu wa chama cha siasa tayari ni usaliti wa nchi?!CCM siku hizi ni nchi?Ile tu kuungwa mkono na bwana Amsterdam na kukutolea matamko kuhusu uchaguzi, huo ni usaliti tosha.
Usitoke nje ya mada!Mada yetu inahusu wewe kuweka ushahidi wa wazi hapa kuwa Lissu ni msaliti wa nchi.Nasubiria uweke ushahidi wa wazi hapa kwa sababu mimi siyo muumini wa porojo.Kama ni ishu za porojo kila mtu anaweza kupiga porojo kuwa Magufuli au Lissu ni msaliti wa nchi.Kamwambie msaliti wa Nchi akugawie mabilion aliyokuwa akihongwa na Mabeberu kuisaliti Nchi yetu
Ndiyo chenyewe. Tunaomba muendelee kutuunga mkono. Ushindi tutaupata asubuhi na mapema.Tupo pamoja hichi ndio kile chama chetu cha ubwabwa?
Kwa hiyo umezidi kukomaa na porojo?Kama ni porojo hata mimi nazijua sana tu ila ni ujinga,yaani ni kama mimi nianze kudai kuwa Magufuli nae ni msaliti wa nchi kwa sababu ni Mhutu bila kuweka ushahidi.Yatakuwa ni mabishano ya kitoto ambayo sitaki nishiriki.Weka ushahidi kuwa Lissu ni Msaliti wa nchi tofauti na hapo wewe ni mpumbavu.Ndio ni msaliti wa Nchi alikuwa anahongwa mabilion na Mabeberu ili kuwatetea bungeni waibe madini yetu
Pia sasahivi ametumwa na robert kwa kupewa mabilion ya kampeni akiwadanganya atashinda Uchaguzi
Usaliti ni laana
Ngoja nitapitia ratiba halafu nitakujuza.Lini mtakwenda kupiga kampeni kule peramiho na mgombea urais mzee rungwe?
Hashimu Rungwe deserves to be the HOS (head of state).Wooyoooo!!!
#2020_Rungwe_president
Mgombea wa chadema sifayake ni kushabikia mapenzi ya jinsia mmoja, maana yake Chadema sera yao katika Mambo ya faragha ni kuingiliana bila mipaka.Unaweza kuthibitisha beyond reasonable doubt kwa umma wa wana JF kuwa mgombea wa chadema ni msaliti wa nchi au wewe ni mpumbavu tu wa porojo,siasa za maji taka pamoja na majungu?
Mkuu huu uzi unahusu mafanikio na matarajio ya CHAUMA. Naomba tujikite huko na tutoe ushauri wa kujenga ili tutangaze ushindi aasubuhi ya tarehe 28/10/2020.Alikuwa anahongwa mabilion na Mabeberu ili awatetee bungeni kutuibia rasmali zetu