U
CCM + TLP + CHAUMA.
Unganeni muongeze nguvu muwe watatuBora chauma sio msaliti wa Nchi kama mgombea wa chadema
CCM + TLP + CHAUMA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unganeni muongeze nguvu muwe watatuBora chauma sio msaliti wa Nchi kama mgombea wa chadema
Lakini usisahau kuna SAU. Hakina aliyeenguliwa hata mmoja. Hata Polepole anakikubali!!Ndiyo chenyewe. Tunaomba muendelee kutuunga mkono. Ushindi tutaupata asubuhi na mapema.
Alihongwa shs ngapi bwashee?? Na wewe ulipata mgao nini???Msaliti wa Nchi alikuwa anahongwa mabilion na Mabeberu ili awatetee bungeni kutuibia rasmali zetu
Mbona kama mwanaume aliyejikoboa huyu...!Mkuu CHAUMA wanafanya vizuri sana.Wamefanikiwa kuweka wagombea wa udiwani kwenye kata nyingi sana achilia mbali wabungeView attachment 1590275
Ni bora kweli maana sindio mnao watumia ili kuwahadaa watanzaniaBora chauma sio msaliti wa Nchi kama mgombea wa chadema
Msaliti wa Nchi alikuwa anahongwa mabilion na Mabeberu ili awatetee bungeni kutuibia rasmali zetu
Tafadhali mkuu huu uzi ni maalum kwa ajili ya maboresho ya ushindi wa mgombea wa CHAUMA. Tunaomba mawazo yako
Kesi ikishaletwa mezani huamuliwa. Huwezi kuacha kuamua eti mpk kesi nyingine iletwe.yatashughlikiwa lini kama mmewekewa pamba mdomoni msihoji.Vipi kwanini hamkohiji kabla kupiga kura kwamba yote yaletwe mezani kufanyiwa kazi kwa wakati mmoja mmgepoteza na nini zaidi ya kulinda heshima yenu? Tena kuna malalmiko kibao ya mgombea wa CCM yalitangulia kitambo?
Hata mqbqngo yao yametapakaa kila Kona. Kuna vyama havina bango hata moja mitaani. Karibu tuijenge chaumaMkuu CHAUMA wanafanya vizuri sana.Wamefanikiwa kuweka wagombea wa udiwani kwenye kata nyingi sana achilia mbali wabungeView attachment 1590275
CHAUMA pia hakuna mgombea wa udiwani ama ubunge aliye enguliwaLakini usisahau kuna SAU. Hakina aliyeenguliwa hata mmoja. Hata Polepole anakikubali!!
Tumeweka wagombea udiwani kila kata na wagombea ubunge kila Jimbo. Kila mmoja anagawa ubwabwa. Hivyo tuna uhakika ubwabwa unaliwa kila kata na kila Jimbo nchini kote.Ushindi wa Hashim Rungwe kuwa RAIS wa Jamhuri ya Muungano utakuwa wazi kama ataongeza sahani za ubwabwa kwenye mikutano na hii mikutano sasa iende mikoani ili huko nako wafaidi pilau!!