Jeceel
JF-Expert Member
- Feb 6, 2018
- 1,476
- 3,093
Mimi mwenyewe nimevutiwa sana na sera za hichi chama je nikitaka kuwa mwanachama nafanyaje mkuuNdiyo chenyewe. Tunaomba muendelee kutuunga mkono. Ushindi tutaupata asubuhi na mapema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe nimevutiwa sana na sera za hichi chama je nikitaka kuwa mwanachama nafanyaje mkuuNdiyo chenyewe. Tunaomba muendelee kutuunga mkono. Ushindi tutaupata asubuhi na mapema.
Wapuuzi wakubwa nyie. Swala la kumpigia kura Rais mtarajiwa ili asimamishwe kufanya kampeni kwa siku (7) limewapotezea hata vile vikura vichache ambavyo mgevipata pale Manzese...Kumbe ndio akili zenu mtu unaanzaisha chama kusudi uwe unatumika...Mwenendo wa kampenii wa chama chetu uko vizuri sana. Mpk sasa hakuna hata mgombea wetu mmoja wa udiwani ama ubunge aliyeenguliwa.
Kampeni za mgombea urais zina utulivu mkubwa na zinafanywa kisayansi Sana tena kwa gharama nafuu kabisa.
Watanzania endeleeni kutuunga mkono 28/10/2020 tuiondoe CCM tuboreshe lishe.
Kumbuka:
UBWABWA NI SEHEMU TU YA LISHE tunayoipigania Chauma.
Fika ktk tawi lolote la chama chetu utakaribishwa kwa kupewa sahani ya ubwabwa (huwa hatuongei na mwenye njaa), utapewa kadi na ikibidi utpewa na cheo.Mimi mwenyewe nimevutiwa sana na sera za hichi chama je nikitaka kuwa mwanachama nafanyaje mkuu
Uchaguzi haiitaji mbwembwe na matusi km ya mgombea wa chadema
Absolutely....mkuu!Hashimu Rungwe deserves to be the HOS (head of state).
Ni matakwa ya kanuni, sheria na taratibu. Halafu bado yeye ni mgombea usimuite rais mtarajiwa.Wapuuzi wakubwa nyie. Swala la kumpigia kura Rais mtarajiwa ili asimamishwe kufanya kampeni kwa siku (7) limewapotezea hata vile vikura vichache ambavyo mgevipata pale Manzese...Kumbe ndio akili zenu mtu unaanzaisha chama kusudi uwe unatumika...
Hujaweka ushahidi.Hujaweza kuweka ushahidi wa tuhuma hizo kwa sababu ni tuhuma za uongo na ni porojo tu na mtu ambae anaweza kutumia muda wake kuandika porojo kwenye jukwaa kama hili ni mtu mpumbavu au mwenye mtindio wa ubungo.Wewe kama siyo mpumbavu basi una utindio wa ubongo.Lissu ni msaliti wa Nchi alikuwa anahongwa mabilion na Mabeberu ili awatetee bungeni kutuibia rasmali zetu
Usaliti ni laana huyo mgombea wenu laana inamkabili
Tunaomba kura yako na za wote waliokuzungukaAbsolutely....mkuu!
Tunahitaji kuwa bold decision!
Everyday is Saturday............................... 😎
Chonde chonde mkuu uzi huu ni mahususi kwa ajili ya mgombea wa CHAUMA. Tunaomba tupeane mbinu za kunenepesha ushindi wa mhe Hashimu Rungwe ili apate mafuriko ya kura siyo ya watu.Hujaweka ushahidi.Hujaweza kuweka ushahidi wa tuhuma hizo kwa sababu ni porojo tu na mtu ambae anaweza kutumia muda wake kuandika porojo kwenye jukwaa kama hili ni mtu mpumbavu au mwenye mtindio wa ubungo.Wewe kama siyo mpumbavu basi una utindio wa ubongo.
Matakwa ya sheria na utaratibu kwamba msihoji mapungufu makubwa yaliyojitokeza kwenyr kampeni za huyo aliyewatuma? hivi zinawatosha kweli nyie? hivi lengo lenu ni nini? kuwaadaa watu kwa ubwabwa au kuiondoa CCM madarakani? Nani kati ya Lissu na JIWE anastahili kuungwa na vyama vya upinzani Mbwa nyie?Ni matakwa ya kanuni, sheria na taratibu. Halafu bado yeye ni mgombea usimuite rais mtarajiwa.
Tena yeye ulyaeezekana amezidiwa umaarufu na huyu mgombea wetu wa Chauma mhe Hashimu Rungwe maana sera yake ya ubwabwa imewavutia watanzania wengi
Kosa halitibiwi kwa kufanya kosa.Matakwa ya sheria na utaratibu kwamba msihoji mapungufu makubwa yaliyojitokeza kwenyr kampeni za huyo aliyewatuma? hivi zinawatosha kweli nyie? hivi lengo lenu ni nini? kuwaadaa watu kwa ubwabwa au kuiondoa CCM madarakani? Nani kati ya Lissu na JIWE anastahili kuungwa na vyama vya upinzani Mbwa nyie?
Mwenendo wa kampenii wa chama chetu uko vizuri sana. Mpk sasa hakuna hata mgombea wetu mmoja wa udiwani ama ubunge aliyeenguliwa.
Kampeni za mgombea urais zina utulivu mkubwa na zinafanywa kisayansi Sana tena kwa gharama nafuu kabisa.
Watanzania endeleeni kutuunga mkono 28/10/2020 tuiondoe CCM tuboreshe lishe.
Kumbuka:
UBWABWA NI SEHEMU TU YA LISHE tunayoipigania Chauma.
Alikuwa anahongwa mabilion na Mabeberu ili awatetee bungeni kutuibia rasmali zetu
Tafadhali mkuu huu uzi ni maalum kwa ajili ya maboresho ya ushindi wa mgombea wa CHAUMA. Tunaomba mawazo yakoUshahidi uliopo hauoneshi hivyo bali kuwa JIWE ndio fisadi wa mali zetu kwa kupitia migongo ya wakina MAYANGA!!!
yatashughlikiwa lini kama mmewekewa pamba mdomoni msihoji.Vipi kwanini hamkohiji kabla kupiga kura kwamba yote yaletwe mezani kufanyiwa kazi kwa wakati mmoja mmgepoteza na nini zaidi ya kulinda heshima yenu? Tena kuna malalmiko kibao ya mgombea wa CCM yalitangulia kitambo?Kosa halitibiwi kwa kufanya kosa.
Ya huyo yatashughulikiwa pia....kwa mujibu wa tume
Njie ni wakommunist hamna human value. Chadema moto wa kuotea mbali, tunapigania Haki. Uhuru na maendeleo- human valuesIle tu kuungwa mkono na bwana Amsterdam na kukutolea matamko kuhusu uchaguzi, huo ni usaliti tosha.
Haki ya faragha aliyosema Lisu ndio mnapigania?Njie ni wakommunist hamna human value. Chadema moto wa kuotea mbali, tunapigania Haki. Uhuru na maendeleo- human values
Mkuu CHAUMA wanafanya vizuri sana.Wamefanikiwa kuweka wagombea wa udiwani kwenye kata nyingi sana achilia mbali wabungeChonde chonde mkuu uzi huu ni mahususi kwa ajili ya mgombea wa CHAUMA. Tunaomba tupeane mbinu za kunenepesha ushindi wa mhe Hashimu Rungwe ili apate mafuriko ya kura siyo ya watu.