Pre GE2025 CHAUMMA Morogoro: Tutahakikisha tunashika dola uchaguzi mkuu ujao

Pre GE2025 CHAUMMA Morogoro: Tutahakikisha tunashika dola uchaguzi mkuu ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Nov 19, 2024
Posts
94
Reaction score
307
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) Mkoa wa Morogoro Ismail Rashidi Ismail amesema licha ya chama hicho kushindwa kufanya vizuri katika uchaguzi wa serikali za mitaa, lakini bado hawajakata tamaa ya ushiriki na kushinda katika uchaguzi mkuu ambao unatarajia kufanyika mwaka huu 2025.

Akizungumza na JAMBO TV mkoani Morogoro, amesema kuwa lengo la chama hicho ni kuhakikisha wanashika dola na kumfanya kila mwananchi kula ubwabwa na kuku kama chakula cha kawaida.

Mwenyekiti huyo ameongeza kwa kusema kuwa chama chake kinalenga kujenga mfereji wa maji utakaoipeleka bahari Dodoma na kujenga daraja kutoka Dar es Salaam kuelekea Zanzibar ambapo itawasaidia wananchi kutumia gharama nafuu za usafiri.

Pia soma
- LGE2024 - CHAUMA: Chagua viongozi wa CHAUMA na Sera ya Ubwabwa, huwezi kufanya maendeleo bila kushiba!
 
Ni mapema mno kutoa tamko hilo hatujui wataanzia wapi wasubiri mmegeko wa chadema leo huenda wakapata pande nono wapate pa kuanzia kutamba. Ila kama nguli Lissu ataibuka mshindi huko chadema itabidi chauma wafanye tu mipango yao kutwaa dola wajuavyo wao bila kutegemea kupata mapande yanayomeguka kutoka vyama vingine
 
Si wazee wa ubwabwa for everbady hao? Wapewe kula za ndio ubwabwa muhimu sana
 
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) Mkoa wa Morogoro Ismail Rashidi Ismail amesema licha ya chama hicho kushindwa kufanya vizuri katika uchaguzi wa serikali za mitaa, lakini bado hawajakata tamaa ya ushiriki na kushinda katika uchaguzi mkuu ambao unatarajia kufanyika mwaka huu 2025.

Akizungumza na JAMBO TV mkoani Morogoro, amesema kuwa lengo la chama hicho ni kuhakikisha wanashika dola na kumfanya kila mwananchi kula ubwabwa na kuku kama chakula cha kawaida.

Mwenyekiti huyo ameongeza kwa kusema kuwa chama chake kinalenga kujenga mfereji wa maji utakaoipeleka bahari Dodoma na kujenga daraja kutoka Dar es Salaam kuelekea Zanzibar ambapo itawasaidia wananchi kutumia gharama nafuu za usafiri.

Pia soma
- LGE2024 - CHAUMA: Chagua viongozi wa CHAUMA na Sera ya Ubwabwa, huwezi kufanya maendeleo bila kushiba!
ahahaaa labda dollar ya USA
 
Wakuu,

Naona CHAUMMA wameamua kutupa tangazo kwa udhamini wa watu wa Marekani wakati tunasubiri zoezi la kura uchaguzi CHADEMA ukamilike :BearLaugh: :KEKWlaugh: :KEKWlaugh:

====

1737471258361.png

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) Mkoa wa Morogoro Ismail Rashidi Ismail amesema licha ya chama hicho kushindwa kufanya vizuri katika uchaguzi wa serikali za mitaa, lakini bado hawajakata tamaa ya ushiriki na kushinda katika uchaguzi mkuu ambao unatarajia kufanyika mwaka huu 2025.

Akizungumza na JAMBO TV mkoani Morogoro, amesema kuwa lengo la chama hicho ni kuhakikisha wanashika dola na kumfanya kila mwananchi kula ubwabwa na kuku kama chakula cha kawaida.

Mwenyekiti huyo ameongeza kwa kusema kuwa chama chake kinalenga kujenga mfereji wa maji utakaoipeleka bahari Dodoma na kujenga daraja kutoka Dar es Salaam kuelekea Zanzibar ambapo itawasaidia wananchi kutumia gharama nafuu za usafiri.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) Mkoa wa Morogoro Ismail Rashidi Ismail amesema licha ya chama hicho kushindwa kufanya vizuri katika uchaguzi wa serikali za mitaa, lakini bado hawajakata tamaa ya ushiriki na kushinda katika uchaguzi mkuu ambao unatarajia kufanyika mwaka huu 2025.

Akizungumza na JAMBO TV mkoani Morogoro, amesema kuwa lengo la chama hicho ni kuhakikisha wanashika dola na kumfanya kila mwananchi kula ubwabwa na kuku kama chakula cha kawaida.

Mwenyekiti huyo ameongeza kwa kusema kuwa chama chake kinalenga kujenga mfereji wa maji utakaoipeleka bahari Dodoma na kujenga daraja kutoka Dar es Salaam kuelekea Zanzibar ambapo itawasaidia wananchi kutumia gharama nafuu za usafiri.

Pia soma
- LGE2024 - CHAUMA: Chagua viongozi wa CHAUMA na Sera ya Ubwabwa, huwezi kufanya maendeleo bila kushiba!
Hata wao wanaojua matokeo hata kabla ya uchaguzi haijaanza ya kwamba hawezi kushinda kwa hiyo walichobakisha ni wanatetea luzuku Yao tu
 
Back
Top Bottom