Chawa mkuu wa mwekezaji kasepa sasa anayefata ni mwekezaji mwenyewe

Chawa mkuu wa mwekezaji kasepa sasa anayefata ni mwekezaji mwenyewe

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nafikiri hali si shwali ndani ya klabu ya mikia kwa sasa, kuondoka kwa babra kunaitimisha safari ya mwanamama uyu juu ya maneno mengi yaliyokuwa yanasemwa juu yake, akilalamikiwa na viongozi mbali mbali ndani ya klabu kuwa ana dharau na ni mbinafsi, kauli za manara dhidi yake zimetimia leo na inaonekana amepigwa presha kubwa sana mpaka ameamua kukaa pembeni, Lakini tukumbuke uyu alikuwa ni chaguo la mwekezaji na ndiye aliyempachika kuwa mtendaji mkuu licha ya baadhi ya wanabodi kuhoji namna alivyoajiriwa, Sasa nyuma ya babra yuko mwekezaji ambae na yeye sidhani kama amefurahishwa kuondoshwa kwa mtu wake wa karibu ngoja tusubili muda utaamua
 
Nafikiri hali si shwali ndani ya klabu ya mikia kwa sasa, kuondoka kwa babra kunaitimisha safari ya mwanamama uyu juu ya maneno mengi yaliyokuwa yanasemwa juu yake, akilalamikiwa na viongozi mbali mbali ndani ya klabu kuwa ana dharau na ni mbinafsi, kauli za manara dhidi yake zimetimia leo na inaonekana amepigwa presha kubwa sana mpaka ameamua kukaa pembeni, Lakini tukumbuke uyu alikuwa ni chaguo la mwekezaji na ndiye aliyempachika kuwa mtendaji mkuu licha ya baadhi ya wanabodi kuhoji namna alivyoajiriwa, Sasa nyuma ya babra yuko mwekezaji ambae na yeye sidhani kama amefurahishwa kuondoshwa kwa mtu wake wa karibu ngoja tusubili muda utaamua
Acha inyeshe, tuone panapovuja.
 
Huyu dada alijitahidi Sana kuitengeneza,Simba na kuitangaza na kuitafutia exposure. Sio Simba tuu lakini hata Tanzania imejulikana kisoka kimataifa.

Nadhani atakuwa amepata vikwazo vikubwa kwa wapiga Dili, ambao alikuwa ameziba mianya yote, Sasa wamtafutia zengwe hadi wamemngoa ili waendelee kutafuna fedha za viingilio na 10% za usajili
 
Kama GSM alivyomuweka engineer hersi yanga sema wapuuzi hawalioni na hiyo ndio kazi ya manara iliyompeleka yanga kuimba nyimbo za mapambio.
Usilinganishe matango pori na vitu vinavyoeleweka bro, Unaweza kuniambia mfumo wenu wa mabadiliko umefikia wapi mpaka sasa? Eng. Hersi ata kama amewekwa anayoyafanya yanaonekana na yako wazi kuanzia mikataba ya wadhamini, mfumo wa uendeshaji wa klabu, na mapato ya klabu viko wazi, ebu niambie mikia wanaingiza bei gani kwa mwaka kupitia wadhamini wao? Ebu niambie yule mhindi wenu zile pesa za hisa aliweka benk gani? Hivi zile pesa za uwekezaji zingekuwepo wangekuwa wanasajiliwa kina kyombo? Au wachezaji wangekuwa wanakosa bonus zao? Au basi la klabu lingekuwa limeshikiliwa na wanaodai malipo yao? Ni aina gani hiyo ya uwekezaji aisee? Usilinganishe vitu tu ilimradi yanga wamewaacha mbali sana kwenye transformation yao na ujanja ujanja ndio uliowaponza ona sasa akuna cha maana kilichofanyika kwenye klabu zaidi ya malumbano na minyukano ya chini kwa chini kati ya Mo na wajumbe wa bodi mkija kushtuka mtaanza kutembeza bakuli kama mwanzo shauri yenu
 
Screenshot_20221210-231648_Google.jpg

Open at ur own risk
 
Usilinganishe matango pori na vitu vinavyoeleweka bro, Unaweza kuniambia mfumo wenu wa mabadiliko umefikia wapi mpaka sasa? Eng. Hersi ata kama amewekwa anayoyafanya yanaonekana na yako wazi kuanzia mikataba ya wadhamini, mfumo wa uendeshaji wa klabu, na mapato ya klabu viko wazi, ebu niambie mikia wanaingiza bei gani kwa mwaka kupitia wadhamini wao? Ebu niambie yule mhindi wenu zile pesa za hisa aliweka benk gani? Hivi zile pesa za uwekezaji zingekuwepo wangekuwa wanasajiliwa kina kyombo? Au wachezaji wangekuwa wanakosa bonus zao? Au basi la klabu lingekuwa limeshikiliwa na wanaodai malipo yao? Ni aina gani hiyo ya uwekezaji aisee? Usilinganishe vitu tu ilimradi yanga wamewaacha mbali sana kwenye transformation yao na ujanja ujanja ndio uliowaponza ona sasa akuna cha maana kilichofanyika kwenye klabu zaidi ya malumbano na minyukano ya chini kwa chini kati ya Mo na wajumbe wa bodi mkija kushtuka mtaanza kutembeza bakuli kama mwanzo shauri yenu
Hersi janja janja tu hivi kwenye kila 35000 ya jezi nyie utopolo ni wa kuambulia 1200 mpka sasa au unaziba macho unajifanya huoni?
Ni mwaka gani simba iliwahi kutembeza bakuli?
 
Hersi janja janja tu hivi kwenye kila 35000 ya jezi nyie utopolo ni wa kuambulia 1200 mpka sasa au unaziba macho unajifanya huoni?
Ni mwaka gani simba iliwahi kutembeza bakuli?
Umekaririshwa eti? Unaujua mkataba wa jezi wa yanga kwa sasa au ndio unajizima data,,mbona mkataba uko wazi na ulisainiwa mchana kweupe bro,,mkataba wa 1.5b. Kwa mwaka na ni miaka 3 upo hapo, iyo 1200 unayoisema unaijua wewe na wajinga wenzako lakini sisi mkataba tunaoujua ni huo uliosainiwa peupe na sio mafichoni kama anavyofanya mhindi wa bombay
 
Huyo dada naomba aende Azam soka hili la Bongo ameliweza sana.
 
Umekaririshwa eti? Unaujua mkataba wa jezi wa yanga kwa sasa au ndio unajizima data,,mbona mkataba uko wazi na ulisainiwa mchana kweupe bro,,mkataba wa 1.5b. Kwa mwaka na ni miaka 3 upo hapo, iyo 1200 unayoisema unaijua wewe na wajinga wenzako lakini sisi mkataba tunaoujua ni huo uliosainiwa peupe na sio mafichoni kama anavyofanya mhindi wa bombay
Weka nakala ya mkataba hapa mliosaini mchana kweupe
 
Back
Top Bottom