Chawa mkuu wa mwekezaji kasepa sasa anayefata ni mwekezaji mwenyewe

Chawa mkuu wa mwekezaji kasepa sasa anayefata ni mwekezaji mwenyewe

Nenda kaombe hyo nafsi acha kukah hapa jukwaani kutukanan na watu nenda kaombe nafasi s vyeti na uwezi unao

Mnk naona unaongeleaa mpira kiurahisi San Kam mchezo wa chumban
Mwandiko wako unafurahisha
 
Umekaririshwa eti? Unaujua mkataba wa jezi wa yanga kwa sasa au ndio unajizima data,,mbona mkataba uko wazi na ulisainiwa mchana kweupe bro,,mkataba wa 1.5b. Kwa mwaka na ni miaka 3 upo hapo, iyo 1200 unayoisema unaijua wewe na wajinga wenzako lakini sisi mkataba tunaoujua ni huo uliosainiwa peupe na sio mafichoni kama anavyofanya mhindi wa bombay
Mwanzo niliposoma maoni yako, nikajua umeandika kama MWANAMICHEZO usiye na upande. Kadili unavyozidi ku comment, unaonyesha wewe ni TOPOLO ANDAMIZI, mwenye HUSDA na Simba!
 
Huyu dada alijitahidi Sana kuitengeneza,Simba na kuitangaza na kuitafutia exposure. Sio Simba tuu lakini hata Tanzania imejulikana kisoka kimataifa.

Nadhani atakuwa amepata vikwazo vikubwa kwa wapiga Dili, ambao alikuwa ameziba mianya yote, Sasa wamtafutia zengwe hadi wamemngoa ili waendelee kutafuna fedha za viingilio na 10% za usajili
Simba wanalalamika Babra alikuwa hatoi fungu la kwenda kwa waganga na ndio maana walikuwa wanashindwa kumfunga Yanga.
 
Usilinganishe matango pori na vitu vinavyoeleweka bro, Unaweza kuniambia mfumo wenu wa mabadiliko umefikia wapi mpaka sasa? Eng. Hersi ata kama amewekwa anayoyafanya yanaonekana na yako wazi kuanzia mikataba ya wadhamini, mfumo wa uendeshaji wa klabu, na mapato ya klabu viko wazi, ebu niambie mikia wanaingiza bei gani kwa mwaka kupitia wadhamini wao? Ebu niambie yule mhindi wenu zile pesa za hisa aliweka benk gani? Hivi zile pesa za uwekezaji zingekuwepo wangekuwa wanasajiliwa kina kyombo? Au wachezaji wangekuwa wanakosa bonus zao? Au basi la klabu lingekuwa limeshikiliwa na wanaodai malipo yao? Ni aina gani hiyo ya uwekezaji aisee? Usilinganishe vitu tu ilimradi yanga wamewaacha mbali sana kwenye transformation yao na ujanja ujanja ndio uliowaponza ona sasa akuna cha maana kilichofanyika kwenye klabu zaidi ya malumbano na minyukano ya chini kwa chini kati ya Mo na wajumbe wa bodi mkija kushtuka mtaanza kutembeza bakuli kama mwanzo shauri yenu
Mtu akikuona anaweza dhani kama una akili vile.ila akitulia anakugundua.huwezi tenganisha ujinga wa yanga na simba.zote zinafanana japo usipofikiri vizuri utadhani zinatofautiana.
 
Usilinganishe matango pori na vitu vinavyoeleweka bro, Unaweza kuniambia mfumo wenu wa mabadiliko umefikia wapi mpaka sasa? Eng. Hersi ata kama amewekwa anayoyafanya yanaonekana na yako wazi kuanzia mikataba ya wadhamini, mfumo wa uendeshaji wa klabu, na mapato ya klabu viko wazi, ebu niambie mikia wanaingiza bei gani kwa mwaka kupitia wadhamini wao? Ebu niambie yule mhindi wenu zile pesa za hisa aliweka benk gani? Hivi zile pesa za uwekezaji zingekuwepo wangekuwa wanasajiliwa kina kyombo? Au wachezaji wangekuwa wanakosa bonus zao? Au basi la klabu lingekuwa limeshikiliwa na wanaodai malipo yao? Ni aina gani hiyo ya uwekezaji aisee? Usilinganishe vitu tu ilimradi yanga wamewaacha mbali sana kwenye transformation yao na ujanja ujanja ndio uliowaponza ona sasa akuna cha maana kilichofanyika kwenye klabu zaidi ya malumbano na minyukano ya chini kwa chini kati ya Mo na wajumbe wa bodi mkija kushtuka mtaanza kutembeza bakuli kama mwanzo shauri yenu
HUNA AKILI
 
Mtu akikuona anaweza dhani kama una akili vile.ila akitulia anakugundua.huwezi tenganisha ujinga wa yanga na simba.zote zinafanana japo usipofikiri vizuri utadhani zinatofautiana.
Hoja ujibiwa kwa hoja na sio viloja,,yanga keshajipambanua mfumo wake wa mabadiliko uko wazi na unajulikana umefikia wapi, mikataba wanayoingia iko wazi kwa wanachama tueleze na simba unayolinganisha na yanga transformation yake imefikia wapi na zile b.20 ziliwekwa benk gani, ukimaliza hapo ndo tutarudi kwenye mikataba na matangazo ya biashara yaliyowekwa kwenye jezi na mhindi wa bombay
 
Hoja ujibiwa kwa hoja na sio viloja,,yanga keshajipambanua mfumo wake wa mabadiliko uko wazi na unajulikana umefikia wapi, mikataba wanayoingia iko wazi kwa wanachama tueleze na simba unayolinganisha na yanga transformation yake imefikia wapi na zile b.20 ziliwekwa benk gani, ukimaliza hapo ndo tutarudi kwenye mikataba na matangazo ya biashara yaliyowekwa kwenye jezi na mhindi wa bombay
Hakuna cha hoja timu zile zimeoza.
 
tuambie GSM ana hisa ngapi pale utopoloni?
Vp uwanja kigamboni?
 
Back
Top Bottom