Chawa mkuu wa mwekezaji kasepa sasa anayefata ni mwekezaji mwenyewe

Nenda kaombe hyo nafsi acha kukah hapa jukwaani kutukanan na watu nenda kaombe nafasi s vyeti na uwezi unao

Mnk naona unaongeleaa mpira kiurahisi San Kam mchezo wa chumban
Mwandiko wako unafurahisha
 
Kama GSM alivyomuweka engineer hersi yanga sema wapuuzi hawalioni na hiyo ndio kazi ya manara iliyompeleka yanga kuimba nyimbo za mapambio.
Kina Manara wanatumia mdomo kuishi. Pesa hawana inabidi wabaki kusifia waume za watu tu
 
Mwanzo niliposoma maoni yako, nikajua umeandika kama MWANAMICHEZO usiye na upande. Kadili unavyozidi ku comment, unaonyesha wewe ni TOPOLO ANDAMIZI, mwenye HUSDA na Simba!
 
Simba wanalalamika Babra alikuwa hatoi fungu la kwenda kwa waganga na ndio maana walikuwa wanashindwa kumfunga Yanga.
 
Simba wanalalamika Babra alikuwa hatoi fungu la kwenda kwa waganga na ndio maana walikuwa wanashindwa kumfunga Yanga.
Wajinga Sana hawatakuja wapate C.E.O tena Mtanzania kama huyo
 
Mtu akikuona anaweza dhani kama una akili vile.ila akitulia anakugundua.huwezi tenganisha ujinga wa yanga na simba.zote zinafanana japo usipofikiri vizuri utadhani zinatofautiana.
 
HUNA AKILI
 
Mtu akikuona anaweza dhani kama una akili vile.ila akitulia anakugundua.huwezi tenganisha ujinga wa yanga na simba.zote zinafanana japo usipofikiri vizuri utadhani zinatofautiana.
Hoja ujibiwa kwa hoja na sio viloja,,yanga keshajipambanua mfumo wake wa mabadiliko uko wazi na unajulikana umefikia wapi, mikataba wanayoingia iko wazi kwa wanachama tueleze na simba unayolinganisha na yanga transformation yake imefikia wapi na zile b.20 ziliwekwa benk gani, ukimaliza hapo ndo tutarudi kwenye mikataba na matangazo ya biashara yaliyowekwa kwenye jezi na mhindi wa bombay
 
Hakuna cha hoja timu zile zimeoza.
 
tuambie GSM ana hisa ngapi pale utopoloni?
Vp uwanja kigamboni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…