Chawa wa Makonda wanapambana na Amos Makalla mitandaoni kuliko hata wapinzani

Chawa wa Makonda wanapambana na Amos Makalla mitandaoni kuliko hata wapinzani

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mzee Makala natabiri atakaa kwa muda mfupi sana kwenye nafasi mpya. Changamoto kubwa iliyopo ni kukalia kiti cha mtu anayeamini yupo sahihi na anaweza kuliko wote.

Team Makonda are not happy na kilichotokea, awataki kuamini kwamba Makala anaweza akawa smart kuliko bosi wao. Wamegoma kukubaliana na hali ila wameishiwa mikakati.

Ukiingia kwenye mitandao kuna kundi kubwa la akaunti zilizofunguliwa hivi karibuni ambalo kabla ya kutenguliwa kwa Makonda walikuwa wanajaribu kukimbiza uzi na posts kuonyesha anafanya vizuri

Akaunti zile zile leo zinamkosoa Makala bila kufahamu kwamba huyu kateuliwa na mwenyekiti ambaye ni bosi wa chama.
Ni maoni yangu kwamba mgawanyiko unaoletwa na hawa machawa usipokemewa ndani ya chama wanaweza kumdhoofisha makala na chama kwa jumla.

Naomba niwakumbushe CCM kwamba hakujawahi kuwa na viongozi wanaojiona wapo juu ya chama huko nyuma kwa sababu viongozi waliandaliwa. Leo hii safu yote ya juu ya chama isipokuwa Kinana na Nchimbi hakuna aliyeandaliwa kuongoza ila walibebwa na mifumo kuongoza. That's why confidence ya Kinana na Nchimbi siyo yakupambana sana na watu ni kupambana kuziba mianya ya hoja za upinzani kwa kutumia mikakati ya kisiasa.

Kwa safu hii nashauri CCM waendelee kujitafuta la sivyo watatafutwa na wananchi.
 
dah aise jinamizi la Makonda linasugua na kufurukuta mno mioyoni mwa watoa taarifa.

wamekosa utulivu kabisa na uchaguzi wao haijulikani unaendeleaje huko mikoani 🐒
 
Na wame mind kweli kwa yale majigambo ya utoto wa mjini,wametafsiri kuwa lile ni dongo kwa Makonda kwa vile yeye ni mtu toka kolomije. Sisi yetu macho tu kwani ndugu wanapogombana wewe shika jembe ukalime.
 
dah aise jinamizi la Makonda linasugua na kufurukuta mno mioyoni mwa watoa taarifa.

wamekosa utulivu kabisa na uchaguzi wao haijulikani unaendeleaje huko mikoani 🐒
Yule nabii uchwara wa Arusha kasambaza genge mitandaoni, anawalipa kwa lengo la kumchafua Makonda ili aone kama mama atabadilisha ghafla nia yake ya kumpa Makonda mkoa wa Arusha aushughlikie.

Inasemekana nabii uchwara huyo na mbunge mchumia tumbo wa zamani wa chama cha upinzani, ndio saplaya namba 1 wa dawa za kulevya na mirungi yote inayoingia mkoani humo kimya kimya. Hivyo Makonda kuwa mkuu wa mkoa huo kutaharibu biashara yake ya kuwageuza watoto wa wenzake mateja na walevi wa pombe za kienyeji kupindukia.
 
Yule nabii uchwara wa Arusha kasambaza genge mitandaoni, anawalipa kwa lengo la kumchafua Makonda ili aone kama mama atabadilisha ghafla nia yake ya kumpa Makonda mkoa wa Arusha aushughlikie.

Inasemekana nabii uchwara huyo na mbunge mchumia tumbo wa zamani wa chama cha upinzani, ndio saplaya namba 1 wa dawa ya kulevya na mirungi yote inayoingia mkoani humo kimya kimya. Hivyo Makonda kuwa mkuu wa mkoa huo kutaharibu biashara yake ya kuwageuza watoto wa wenzake mateja na walevi wa pombe za kienyeji kupindukia.
mnyang'anyi ameshikwa pabaya kwakweli 🤣
 
IMG-20240405-WA0148.jpg
 
Labda akimbilie mkoa mungine kugombea na kufanya uhalifu wake. Lakini kwa pale Arusha aisee asahau [emoji23][emoji1787]
Mbona Sabaya tu alitamba sana hapo Kilimanjaro na Arusha vilio vikawa vingi!
 
@d
Yule nabii uchwara wa Arusha kasambaza genge mitandaoni, anawalipa kwa lengo la kumchafua Makonda ili aone kama mama atabadilisha ghafla nia yake ya kumpa Makonda mkoa wa Arusha aushughlikie.

Inasemekana nabii uchwara huyo na mbunge mchumia tumbo wa zamani wa chama cha upinzani, ndio saplaya namba 1 wa dawa za kulevya na mirungi yote inayoingia mkoani humo kimya kimya. Hivyo Makonda kuwa mkuu wa mkoa huo kutaharibu biashara yake ya kuwageuza watoto wa wenzake mateja na walevi wa pombe za kienyeji kupindukia.
Dudumizi ni aina mojawapo ya chawa/ wadudu wachafu?
 
Back
Top Bottom