Chawa wa Makonda wanapambana na Amos Makalla mitandaoni kuliko hata wapinzani

Chawa wa Makonda wanapambana na Amos Makalla mitandaoni kuliko hata wapinzani

Mzee Makala natabiri atakaa kwa muda mfupi sana kwenye nafasi mpya. Changamoto kubwa iliyopo ni kukalia kiti cha mtu anayeamini yupo sahihi na anaweza kuliko wote.

Team Makonda are not happy na kilichotokea, awataki kuamini kwamba Makala anaweza akawa smart kuliko bosi wao. Wamegoma kukubaliana na hali ila wameishiwa mikakati.

Ukiingia kwenye mitandao kuna kundi kubwa la akaunti zilizofunguliwa hivi karibuni ambalo kabla ya kutenguliwa kwa Makonda walikuwa wanajaribu kukimbiza uzi na posts kuonyesha anafanya vizuri

Akaunti zile zile leo zinamkosoa Makala bila kufahamu kwamba huyu kateuliwa na mwenyekiti ambaye ni bosi wa chama.
Ni maoni yangu kwamba mgawanyiko unaoletwa na hawa machawa usipokemewa ndani ya chama wanaweza kumdhoofisha makala na chama kwa jumla.

Naomba niwakumbushe CCM kwamba hakujawahi kuwa na viongozi wanaojiona wapo juu ya chama huko nyuma kwa sababu viongozi waliandaliwa. Leo hii safu yote ya juu ya chama isipokuwa Kinana na Nchimbi hakuna aliyeandaliwa kuongoza ila walibebwa na mifumo kuongoza. That's why confidence ya Kinana na Nchimbi siyo yakupambana sana na watu ni kupambana kuziba mianya ya hoja za upinzani kwa kutumia mikakati ya kisiasa.

Kwa safu hii nashauri CCM waendelee kujitafuta la sivyo watatafutwa na wananchi.
Huna maana. Makonda ndiye alibadili upepo wa DP World na ndiye alimuondoa Mzee Lowasa kwenye ramani. Bora unyamaze kabisa kama hujui kitu. CPA Makala anaweza kuwa na network ndani ya CCM ila hana ushawishi kabisa hata kidogo
 
Mzee Makala natabiri atakaa kwa muda mfupi sana kwenye nafasi mpya. Changamoto kubwa iliyopo ni kukalia kiti cha mtu anayeamini yupo sahihi na anaweza kuliko wote.

Team Makonda are not happy na kilichotokea, awataki kuamini kwamba Makala anaweza akawa smart kuliko bosi wao. Wamegoma kukubaliana na hali ila wameishiwa mikakati.

Ukiingia kwenye mitandao kuna kundi kubwa la akaunti zilizofunguliwa hivi karibuni ambalo kabla ya kutenguliwa kwa Makonda walikuwa wanajaribu kukimbiza uzi na posts kuonyesha anafanya vizuri

Akaunti zile zile leo zinamkosoa Makala bila kufahamu kwamba huyu kateuliwa na mwenyekiti ambaye ni bosi wa chama.
Ni maoni yangu kwamba mgawanyiko unaoletwa na hawa machawa usipokemewa ndani ya chama wanaweza kumdhoofisha makala na chama kwa jumla.

Naomba niwakumbushe CCM kwamba hakujawahi kuwa na viongozi wanaojiona wapo juu ya chama huko nyuma kwa sababu viongozi waliandaliwa. Leo hii safu yote ya juu ya chama isipokuwa Kinana na Nchimbi hakuna aliyeandaliwa kuongoza ila walibebwa na mifumo kuongoza. That's why confidence ya Kinana na Nchimbi siyo yakupambana sana na watu ni kupambana kuziba mianya ya hoja za upinzani kwa kutumia mikakati ya kisiasa.

Kwa safu hii nashauri CCM waendelee kujitafuta la sivyo watatafutwa na wananchi.
Anayepambana na Makonda inabidi ajifanyie evaluation ya akili yake.

Makonda hana tena nguvu tena kiasi watu waanze kumuogopa
 
dah aise jinamizi la Makonda linasugua na kufurukuta mno mioyoni mwa watoa taarifa.

wamekosa utulivu kabisa na uchaguzi wao haijulikani unaendeleaje huko mikoani [emoji205]
Chawa wengine wa Bashite wewe
 
for sure hata chairman wao Taifa kule hai atakua ana kihoro balaa saivi, maana ni jirani tu pale 🐒
Chairman asa ivi akienda kule huenda kinyemela, maana wananchi wanahasira nae sana. Juzi nasikia alipima mitambo akaambulia aibu na fedheha. Ilibidi watu wakodishiwe malori na mabasi kutoka Arusha na maeneo ya jirani waje angalau kuziba pengo kubwa lililokuwepo kwenye mkutano wa chairman.

Hii ni aibu kubwa kwake, inatakiwa ajitathmini tena kabla hajapanga kwenda kugombea tena kule. Asije kuangukia pua alaf akaiangushia jumba bovu tume ya uchaguzi kama kawaida yao.
 
Chairman asa ivi akienda kule huenda kinyemela, maana wananchi wanahasira nae sana. Juzi nasikia alipima mitambo akaambulia aibu na fedheha. Ilibidi watu wakodishiwe malori na mabasi kutoka Arusha na maeneo ya jirani waje angalau kuziba pengo kubwa lililokuwepo kwenye mkutano wa chairman.

Hii ni aibu kubwa kwake, inatakiwa ajitathmini tena kabla hajapanga kwenda kugombea tena kule. Asije kuangukia pua alaf akaiangushia jumba bovu tume ya uchaguzi kama kawaida yao.
hata mi naona,
nadhani ajikite zaidi kutetea uenyekiti Taifa kwenye chama chake, walau itamsaidia kuendelea kuonekana onekana kidogo kwenye medani 🐒

ubunge asahau kabisa pale hai, hawezi pata ng'oo 🐒
 
Yule nabii uchwara wa Arusha kasambaza genge mitandaoni, anawalipa kwa lengo la kumchafua Makonda ili aone kama mama atabadilisha ghafla nia yake ya kumpa Makonda mkoa wa Arusha aushughlikie.

Inasemekana nabii uchwara huyo na mbunge mchumia tumbo wa zamani wa chama cha upinzani, ndio saplaya namba 1 wa dawa za kulevya na mirungi yote inayoingia mkoani humo kimya kimya. Hivyo Makonda kuwa mkuu wa mkoa huo kutaharibu biashara yake ya kuwageuza watoto wa wenzake mateja na walevi wa pombe za kienyeji kupindukia.

Punguani jingine hili hapa.
 
Makundi ndani ya CCM waliokulia mjini na wale makuzi ya shamba.

Siasa Ufashisti dhidi ya siasa za umaarufu ndani ya CCM.
Katika pepa ya society for social anthropology
Ufashisti ni itikadi yetu dhidi yao inayowaunganisha wafuasi dhidi ya wale wanaoonekana kama wengine, nje ya uhalisia wao wenyewe wa mipaka ya kijamii, kimaadili, kimaadili, na kidini (Stanley 2020 [2018]).

Sio sawa na siasa za lebo ya umaarufu *( populism). Kwa upana, populism inapendekeza kwamba wasomi wanapaswa kuondolewa madarakani na kwamba siasa inapaswa kufuata matakwa ya raia (Mudde na Kaltwasser 2017).

Jamii za vijijini, watu wasiojiweza kiuchumi, na wale wasio na digrii za chuo ni haraka kuorodheshwa kama watu maarufu (Hochschild 2016). Mara nyingi umashuhuri hutumika kama lebo rahisi kwa waandishi wa habari na wasomi kubadilisha jinsi wapiga kura wa vijijini wanavyotenda na kufikiria, bila kuzingatia mantiki changamano ya ndani na ujamaa tofauti wa jamii hizi. Populism haina faida katika kuelewa uundaji wa ufashisti unaoongezeka nchini Marekani, haswa wale wanaolenga kuongeza muundo wa mamlaka badala ya kudhoofisha.

Jumuiya za vijijini ambazo nimefanya kazi nazo hazikuwa na nia ya kukuza dhana ya bahati yaani kuteuliwa na Mungu au sauti ya watu wengi.
Walikuwa na nia ya kuendeleza mapenzi ya Mungu kwa kukuza sauti yake kupitia uongozi wa kisiasa wenye mamlaka ambao ungeweza kuunganisha dini na Serikali. Source : The Hybridity of Rural Fascism

CCM KUTOKA UFASHISTI HADI MAZINGIRA YA MARIDHIANO
1712396354361.png


Kwa Tanzania toka 2015 Tumeona kipindi cha wakuja ndani ya CCM kutumia sana viongozi wa dini katika kujijengea umaarufu wa kukubalika siasa hadi waliokulia mjini kina Abdulrahman Kinana, Nape Nnauye, January Makamba, Jakaya Kikwete na hata wa Kizimkazi ambapo ni kitongoji chenye umjini kutoridhika na jinsi washamba walivyokivamia chama.

Sasa waliokulia mjini wameongezwa kushika nafasi za maamuzi chamani Dr. Nchimbi, CPA Amos Makalla, Mongela, Jokate huku wazee wazima Abdulrahman Kinana, Jakaya Kikwete wakiona project ya kukirudisha chama kwa waliokulia mjini ndiyo wanaweza kutekeleza zile 4R vizuri kwa midahalo, hoja na maridhiano badala ya ubabe na kutumia dhana kiongozi amechaguliwa na Mungu.

Wale walioingia 2015 baada ya uchaguzi mkuu waliwateka nyara siyo tu raia wote wa Tanzania bali hata mawazo huru ya wanaCCM yalipigwa marufuku. Siasa za umaarufu kuwa najaza watu wengi hivyo hakuna haja ya shughuli za kisiasa kuendelea, wakabuni hapa ni kazi tu zilijikita mizizi. Baadhi ya wanaCCM waliotaka kupaza sauti walibanwa tukaona mazungumzo yao kurikodiwa bila ridhaa zao kisha yakatupwa ktk media kuwadhalilisha.

Kwa uungwana wa kukulia mjini wakatinga ikulu kumuomba msamaha kiongozi alitejijengea umaarufu kwa gharama kubwa ya kukosa demokrasia ndani ya chama, kuanzisha miradi mikubwa kwa mpigo wakijipigia jaramba kuwa bila wao haitaisha hivyo kutafsiri watawale milele ili miradi ikamilike hata ikiwa ni 2050.

Kwa kuwa ilani ya CCM ipo ktk kila meza za wakuu wa mkoa, mawaziri na maelekezo ya fikra za Mwenyekiti ya 4R, wateule hao katika utumishi wa serikali hadi ngazi ya maDED itabidi wafuate maagizo na matamamio ya viongozi hawa wapya wa chama kuwa zama za siasa za umaarufu zimekwisha, nchi hii ni ya wote bila kujali vyama.
1712397311602.png

ANTHROPOLOJIA Anthropolojia ni taaluma inayohusikana elimu ya binadamu hususan elimu inayohusu habari za asili na maendeleo yake ya awali .
 
Back
Top Bottom