Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
for sure hata chairman wao Taifa kule hai atakua ana kihoro balaa saivi, maana ni jirani tu pale 🐒Nakumbuka ule msemo wa "janja ya nyani kwisha jua" 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
for sure hata chairman wao Taifa kule hai atakua ana kihoro balaa saivi, maana ni jirani tu pale 🐒Nakumbuka ule msemo wa "janja ya nyani kwisha jua" 🤣🤣🤣
Kuanzia sura mpaka ongea yake hovyoo!Makalla ni lizee lililojichokea. Halina japo mvuto ati.
Samia kabugi.
Kashauriwa na Mwijaku!Makalla ni lizee lililojichokea. Halina japo mvuto ati.
Samia kabugi.
Huna maana. Makonda ndiye alibadili upepo wa DP World na ndiye alimuondoa Mzee Lowasa kwenye ramani. Bora unyamaze kabisa kama hujui kitu. CPA Makala anaweza kuwa na network ndani ya CCM ila hana ushawishi kabisa hata kidogoMzee Makala natabiri atakaa kwa muda mfupi sana kwenye nafasi mpya. Changamoto kubwa iliyopo ni kukalia kiti cha mtu anayeamini yupo sahihi na anaweza kuliko wote.
Team Makonda are not happy na kilichotokea, awataki kuamini kwamba Makala anaweza akawa smart kuliko bosi wao. Wamegoma kukubaliana na hali ila wameishiwa mikakati.
Ukiingia kwenye mitandao kuna kundi kubwa la akaunti zilizofunguliwa hivi karibuni ambalo kabla ya kutenguliwa kwa Makonda walikuwa wanajaribu kukimbiza uzi na posts kuonyesha anafanya vizuri
Akaunti zile zile leo zinamkosoa Makala bila kufahamu kwamba huyu kateuliwa na mwenyekiti ambaye ni bosi wa chama.
Ni maoni yangu kwamba mgawanyiko unaoletwa na hawa machawa usipokemewa ndani ya chama wanaweza kumdhoofisha makala na chama kwa jumla.
Naomba niwakumbushe CCM kwamba hakujawahi kuwa na viongozi wanaojiona wapo juu ya chama huko nyuma kwa sababu viongozi waliandaliwa. Leo hii safu yote ya juu ya chama isipokuwa Kinana na Nchimbi hakuna aliyeandaliwa kuongoza ila walibebwa na mifumo kuongoza. That's why confidence ya Kinana na Nchimbi siyo yakupambana sana na watu ni kupambana kuziba mianya ya hoja za upinzani kwa kutumia mikakati ya kisiasa.
Kwa safu hii nashauri CCM waendelee kujitafuta la sivyo watatafutwa na wananchi.
Anayepambana na Makonda inabidi ajifanyie evaluation ya akili yake.Mzee Makala natabiri atakaa kwa muda mfupi sana kwenye nafasi mpya. Changamoto kubwa iliyopo ni kukalia kiti cha mtu anayeamini yupo sahihi na anaweza kuliko wote.
Team Makonda are not happy na kilichotokea, awataki kuamini kwamba Makala anaweza akawa smart kuliko bosi wao. Wamegoma kukubaliana na hali ila wameishiwa mikakati.
Ukiingia kwenye mitandao kuna kundi kubwa la akaunti zilizofunguliwa hivi karibuni ambalo kabla ya kutenguliwa kwa Makonda walikuwa wanajaribu kukimbiza uzi na posts kuonyesha anafanya vizuri
Akaunti zile zile leo zinamkosoa Makala bila kufahamu kwamba huyu kateuliwa na mwenyekiti ambaye ni bosi wa chama.
Ni maoni yangu kwamba mgawanyiko unaoletwa na hawa machawa usipokemewa ndani ya chama wanaweza kumdhoofisha makala na chama kwa jumla.
Naomba niwakumbushe CCM kwamba hakujawahi kuwa na viongozi wanaojiona wapo juu ya chama huko nyuma kwa sababu viongozi waliandaliwa. Leo hii safu yote ya juu ya chama isipokuwa Kinana na Nchimbi hakuna aliyeandaliwa kuongoza ila walibebwa na mifumo kuongoza. That's why confidence ya Kinana na Nchimbi siyo yakupambana sana na watu ni kupambana kuziba mianya ya hoja za upinzani kwa kutumia mikakati ya kisiasa.
Kwa safu hii nashauri CCM waendelee kujitafuta la sivyo watatafutwa na wananchi.
Mwashamba kazi yake ni kupiga zumari kwa kila mwana ccmKwani Lucas Mwashambwa anasemaje
DAB anajulikana pale Koromije na matokeo yake shuleni yanajulikanaMAKONDA anawatesa sana, kwanini lakini mnateseka hivyo?,ntombanin'gwe
Chawa wengine wa Bashite wewedah aise jinamizi la Makonda linasugua na kufurukuta mno mioyoni mwa watoa taarifa.
wamekosa utulivu kabisa na uchaguzi wao haijulikani unaendeleaje huko mikoani [emoji205]
Hapo sasa!!!Makonda ni nani mpaka anajadiliwa sana kuliko mwanaCCM yeyote humu?
Kuliko hata wa SGRMtoa post,leo ujinga wako upo kiwango cha juu sana.
upinzani unaweweseka pakubwa aise, hakuna pakutokea serikali za mtaa na 2025🐒Chawa wengine wa Bashite wewe
Chairman asa ivi akienda kule huenda kinyemela, maana wananchi wanahasira nae sana. Juzi nasikia alipima mitambo akaambulia aibu na fedheha. Ilibidi watu wakodishiwe malori na mabasi kutoka Arusha na maeneo ya jirani waje angalau kuziba pengo kubwa lililokuwepo kwenye mkutano wa chairman.for sure hata chairman wao Taifa kule hai atakua ana kihoro balaa saivi, maana ni jirani tu pale 🐒
hata mi naona,Chairman asa ivi akienda kule huenda kinyemela, maana wananchi wanahasira nae sana. Juzi nasikia alipima mitambo akaambulia aibu na fedheha. Ilibidi watu wakodishiwe malori na mabasi kutoka Arusha na maeneo ya jirani waje angalau kuziba pengo kubwa lililokuwepo kwenye mkutano wa chairman.
Hii ni aibu kubwa kwake, inatakiwa ajitathmini tena kabla hajapanga kwenda kugombea tena kule. Asije kuangukia pua alaf akaiangushia jumba bovu tume ya uchaguzi kama kawaida yao.
Yule nabii uchwara wa Arusha kasambaza genge mitandaoni, anawalipa kwa lengo la kumchafua Makonda ili aone kama mama atabadilisha ghafla nia yake ya kumpa Makonda mkoa wa Arusha aushughlikie.
Inasemekana nabii uchwara huyo na mbunge mchumia tumbo wa zamani wa chama cha upinzani, ndio saplaya namba 1 wa dawa za kulevya na mirungi yote inayoingia mkoani humo kimya kimya. Hivyo Makonda kuwa mkuu wa mkoa huo kutaharibu biashara yake ya kuwageuza watoto wa wenzake mateja na walevi wa pombe za kienyeji kupindukia.
Punga la Mbowe lingine hili hapaPunguani jingine hili hapa.
ANTHROPOLOJIA Anthropolojia ni taaluma inayohusikana elimu ya binadamu hususan elimu inayohusu habari za asili na maendeleo yake ya awali .