Chawa wa mama: Namshukuru mama Samia kwa tope la Hanang

Mie naishukuru sana serikali kwa kukuletea mvua naamini mwaka huu tutavuna mazao mengi sana
 
Jamaa yule nishmadharau, wakati mwingine anachoandika sijishughulishi hata kusoma.
Mungu anisamehe ila machawa huwa naona kama ni MAPUNGA zeze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…