1.Garry Lineker ndie anaelipwa mshahara mkubwa BBC nzima. £1.3 m per year.Wengine wanalipwa kiasi gani? Huna data unapinga tu?
Mtu ambae humu admire, unamuona hana uwezo, huwezi kumuonea wivu...wivu utakuua
Umewaza kama nilivyowaza mimiAnaandaliwa u DC kama kipozeo au nafasi nyingine yoyote ya kuteuliwa itakayohusisha fani yake.. Mkeka ujao next year utambeba lakini kama akiwa mtiifu kwa chama na serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kwa akili yako unadhani mdahalo huwa unafanyika ghafla bila maandalizi? Hizi akili fupi huwa ni za kurithi au huwa mnajifanyisha tu?Mtu ambae humu admire, unamuona hana uwezo, huwezi kumuonea wivu...
wa kina Kikeke na Hillary na Zahra siwaoni kama ni waandishi wa viwango vya ile BBC proper ambayo wengine tumeanza kuisikiliza toka watoto kwenye Short Wave radio za nyumbani .... Journalism ya hawa watu is atrocious. Their work is hot garbage.
Hivi unadhani Kikeke akipewa audience na Waziri Mkuu Rishi Sunak anaweza kumsaili ? Atamuuliza nini ???
bulembo alishauza hiyo redioHakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.
Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.
Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.
Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.
Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.
Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.
USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.
Nawasilisha.
Sioni tija kuendelea kubishana na kilazaMtu bila mbavu hawezi kuishi!
Hata wakipewa mamilioni interms of pounds shida iko wapi?! Hutaki walipwe pesa hizo?! Wewe ni nani?!
Kama unaumia nenda Canada kauze supermarket miaka mitatu na wewe utengeneze pesa uache makasiriko.
BBC wamefanya restructuring na kuifunga BBC swahili service from London na kuipeleka Nairobi ambako tayari kulikuwa na watu wa kutosha....ni kawaida kwenye restructuring watu kupoteza kazi.Kikeke hana shule yule ni mhuni mhuni tu. Kilichomtoa BBC ni shule sio kingine.
Kwani Zuhura yeye alikuwa anafanya kazi wapi? Na sasa hiv anafanya wapi?Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.
Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.
Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.
Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.
Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.
Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.
USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.
Nawasilisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji106]Hata kuandika hujui... unaonesha hujielewi. Kaa hivyohivyo na ujinga wako wa kukariri.
Nani alikwambia ukipata division 4 ndo mwisho wa maisha na huwezi kufika mbali maishani we ZWAZWA?! Kaa hivyohivyo kalagabaho! Ndo nyie mtoto akipata div4 unamuona hasara
HOVYO KABISA!
[emoji1787][emoji1787]Kikeke acha uteseke, mukiwa ughaibuni munajifanya munawauliza viongozi wetu maswali ya uchochezi.
Kumbe ndio maana katemwa...hivi uchochezi maana yake ni nini?Kikeke acha uteseke, mukiwa ughaibuni munajifanya munawauliza viongozi wetu maswali ya uchochezi.
Acha chuki za kijinga.Kikeke acha uteseke, mukiwa ughaibuni munajifanya munawauliza viongozi wetu maswali ya uchochezi.
Waafrika hasa watanzania wana laana.Watanzania tuna chuki na husda mbaya sana......yaani unaweza kumuona mtu anakonda kumbe haumwi bali ni chuki na husda ndio vinamkondesha........ndio maana watu wakipata mwanga na dira za maisha hujitenga na wabongo......ni hatari sana.......
Yaani mtu anakuchukia bila sababu na hata humjui na hamjuani lakini husda tu............
Watu wanapata shinikizo la damu na visukari bila kusahau na matatizo ya Figo kwa sababu ya kuhifadhi chuki mioyoni mwao
Hivi mtu akikosoa uongo wako kwamba Salim Kikeke alikuwa akilipwa mamilioni ya paundi za Uingereza kwa mwezi huko BBC hiyo ndiyo roho ya kwanini! Kubali tu ulikosea kuandika badala ya kuungana na wajinga wengine kubadili mada.Kama alivyofanya Dr Slaa alipotimkia ughaibuni. Alivuna mpunga wa kutosha. Wabongo wana roho fulani hivi ya kwanini!
Kwaio kilichompelekaga BBC mwanzo kilikuaga nini?Kikeke hana shule yule ni mhuni mhuni tu. Kilichomtoa BBC ni shule sio kingine.