Chawa wa Mama wamemgeuka Salim Kikeke; wamempora nafasi yake wamempa Mobhare Matinyi

Chawa wa Mama wamemgeuka Salim Kikeke; wamempora nafasi yake wamempa Mobhare Matinyi

halafu utasikia kila siku kwamba hakuna kazi Tanzania, kumbe ni uvivu wa kufikiri tu, huyu bwana ningependa sana nimtolee mfano, bahati yake hajatoa contacts zake maana ningeanza naye ligi huko kwa pilato ninapopatia kipato changu cha kila siku... Hili jambo la kikeke kama ni la kweli , ni la ajabu sana. Kumaliza kipaji cha mtu hivi hivi si jambo jema kwa kweli... ni vema wangemwacha huko huko BBC kuliko kumrudubuni halafu anakuka kuishia vijeridio vya ajabu ajabu...
Kwa kweli ameshusha sana CV yake. Ni bora hata angeanzisha kituo chake cha redio kama alivyofanya Abdalla Majura. Hata kijana mdogo Millard Ayo anamzidi ubunifu.
 
Nimesoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ila sijafikia level ya kutojua mambo kama akili yako. Sasa unaongea nini? Unasema UK hawathamini elimu halafu unakuja na hoja tena watoto wako wasomi mpaka wamekuwa wakufunzi hauoni kama hauna mwelekeo. Nahisi wewe uzee unakusumbua. Tulia ulee wajukuu.
aah kumbe sio kosa lako ndugu yangu- ungalau umesoma kule kwa " Father dead Mother dead, now job". Nimekuelewa.. samahani, nilidhani ni wa level ya kuelewa maana ya QC au KC. nilikosea sana kusema maneno hayo. Jiongeze huko kwa wenye kiona mbali na usiishie hapo UDSM pekee...

Chukua mchOngo huu wa scholarship wa sheving labda utakusaidia, deadline bado hadi 6 Nov 2023: Apply | Chevening jaribu bahati yako ukaangaze macho na kuyatoa tongotongo usije sema hukujua....au Mtafute professor Makumila akupe mchongo wa Fulbright, ukishindwa huko, nenda jengo la umoja wa vijana palipokuwa makao makuu ya Unesco zamani na tafuta kitabu kinaitwa "study abroad prospectus", humo kuna ma-scholarships kibao ya kukusaidia kupanua mawazo duniani mpaka kwa mzee Yutong. Yote haya ni kwa kukusaidia tu. Kama hutaki, ruksa kupuuzia ushauri, mjumbe hauwawi... na ukitaka ushauri zaidi, ni pm nikusaidie jinsi dunia inavyo zunguka, sio kimatango pori kwa mlivyo karirishwa UDSM.
 
Daaah!....Tunataka kusema chawa wana nguvu kuliko "vetting pool" au merits?...Akili ya Taifa nayo tuseme inaruhusu "inner cycles" kushambuliwa na chawa?...sycophants wanazungukwa au? Nitakuwa wa mwisho kuafiki juu ya uchawa kwenye hili.
 
Kikeke hana shule yule ni mhuni mhuni tu. Kilichomtoa BBC ni shule sio kingine.
Kwa mtu mwenye maarifa hawezi kutoa kashfa kama hizi kwa mwenzake kwa sababu tu ya chuki binafsi
Labda niulize tu; Kwani huko BBC alijipa kazi mwenyewe au lile ni shirika la ndugu yake???
By the way, angekuwa hafanyi vizuri wangempandisha ngazi kiasi kile?
kuweni basi na kiasi tunapo ongelea maisha ya mtu (mwenzetu)
Baadhi ya Watanzania tuna hulka ya kuoneana wivu sana na ndio sababu watu hawasaidiani, badala yake tuna achia majirani zetu wanachukua fursa zote nzuri huko nje sisi tukiendelea kupiga domo kwa kuchafuana....
 
Umeandika vizuri sana isipokua kwenye kulipwa mamilioni ya paundi.
BBC ina matangazo ya lugha nyingi sana, kwenye Radio na kwenye Tv wana channel nyingi.
Anaelipwa paundi milioni ni mmoja tu Gary Lineker analipwa £ 1.35m kwa mwaka. Kipindi chake pendwa kinaitwa MATCH OF THE DAY.
 
Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.

Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.

Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.

Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.

Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.

Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.

USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.

Nawasilisha.
Hivi inakuwaje mtu ana kazi nzuri na inalipa vizuri tu anarudi kufanya kazi ya kuteuliwa, Je kuna siri gani ambayo wenzetu wanayo? Tanzania si mbinguni aisee.
 
Kwa mtu mwenye maarifa hawezi kutoa kashfa kama hizi kwa mwenzake kwa sababu tu ya chuki binafsi
Labda niulize tu; Kwani huko BBC alijipa kazi mwenyewe au lile ni shirika la ndugu yake???
By the way, angekuwa hafanyi vizuri wangempandisha ngazi kiasi kile?
kuweni basi na kiasi tunapo ongelea maisha ya mtu (mwenzetu)
Watanzania tuna hulka ya kuoneana wivu sana na ndio sababu watu hawasaidiani, badala yake tuna achia majirani zetu wanachukua fursa zote nzuri huko nje sisi tukiendelea kupiga domo kwa kuchafuana....
Sema umezoea maisha ya unafiki Kikeke shule hana, lazima kuishi kwa ukweli ujanja ujanja na uhuni ndio umemfisha hapo. Kikeke na Kitenge tofauti yao ni ndogo sana. Tuishi kwa ukweli mabadiliko ndani ya BBC ndio yamemtoa.
 
aah kumbe sio kosa lako ndugu yangu- ungalau umesoma kule kwa " Father dead Mother dead, now job". Nimekuelewa.. samahani, nilidhani ni wa level ya kuelewa maana ya QC au KC. nilikosea sana kusema maneno hayo. Jiongeze huko kwa wenye kiona mbali na usiishie hapo UDSM pekee...

Chukua mchOngo huu wa scholarship wa sheving labda utakusaidia, deadline bado hadi 6 Nov 2023: Apply | Chevening jaribu bahati yako ukaangaze macho na kuyatoa tongotongo usije sema hukujua....au Mtafute professor Makumila akupe mchongo wa Fulbright, ukishindwa huko, nenda jengo la umoja wa vijana palipokuwa makao makuu ya Unesco zamani na tafuta kitabu kinaitwa "study abroad prospectus", humo kuna ma-scholarships kibao ya kukusaidia kupanua mawazo duniani mpaka kwa mzee Yutong. Yote haya ni kwa kukusaidia tu. Kama hutaki, ruksa kupuuzia ushauri, mjumbe hauwawi... na ukitaka ushauri zaidi, ni pm nikusaidie jinsi dunia inavyo zunguka, sio kimatango pori kwa mlivyo karirishwa UDSM.
Hata haujui unachokiongea. Hoja yako kuwa Wazungu UK hawaangalii elimu sasa unataka nikasome tena mbona unaongea kama zimekuruka mzee. Nyie ndio wazee wajinga mnaozeeka vibaya, turudi kwenye hoja ya haya yoote ni kuwa Kikeke shule ndio imemtoa hapo BBC. Sasa unakuja na hoja dhaifu sana. Nimeishi kwenye media za hapa nyumbani kama miaka 34 hivi najua ninachokiongea. Kuwa na uhuru wa hekima na mawazo sio ujuaji usio na mawanda.
 
Kwa kweli ameshusha sana CV yake. Ni bora hata angeanzisha kituo chake cha redio kama alivyofanya Abdalla Majura. Hata kijana mdogo Millard Ayo anamzidi ubunifu.
Majura kauza Radio yupo hoi hakuwa na akili ya Uongozi na utawala. Akikaririshwa akili za KIPUSA.
 
Hata haujui unachokiongea. Hoja yako kuwa Wazungu UK hawaangalii elimu sasa unataka nikasome tena mbona unaongea kama zimekuruka mzee. Nyie ndio wazee wajinga mnaozeeka vibaya, turudi kwenye hoja ya haya yoote ni kuwa Kikeke shule ndio imemtoa hapo BBC. Sasa unakuja na hoja dhaifu sana. Nimeishi kwenye media za hapa nyumbani kama miaka 34 hivi najua ninachokiongea. Kuwa na uhuru wa hekima na mawazo sio ujuaji usio na mawanda.
Weka contacts basi twende kwa Pilato- mbona hilo hulitaki?
 
Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.

Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.

Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.

Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.

Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.

Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.

USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.

Nawasilisha.

Sawa ndugu kikeke. Ila pole sana kama uliamini watakupata hiyo nafasi.

Ila endelea kuwa mvumilivu, usilalamike sana wasijekukuoa kesi ngumu.

Wewe chutama tu, utashangaa mwenyewe blanket litakapotoka. [emoji23]
 
Wewe ni mbishi wa kiswahili. Unapobisha jambo toa ushahidi. Usibishe tu kama upo kwenye kijiwe cha ghahawa.
Sasa huyo anayesema kikeke aliahidiwa usemaji wa serikali wapi ushahidi wake. Si aheri mimi nasema facts. Ni uongo bbc hawafanyi kwa mkataba? Je ni uongo wafanyakazi bbc hawana muongozo? Je tido hakua na kesi kisha kuhusu mkataba na star times?...
 
Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.

Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.

Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.

Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.

Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.

Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.

USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.

Nawasilisha.
Kikeke vs Mobhare Matinyi, liTISS lililokubuhu kiasi cha wenzake kuliogopa lisipewe uDGIS, nani anastahili kuwa Mkurugenzi wa Habari-Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali?
 
Kwa mtu mwenye maarifa hawezi kutoa kashfa kama hizi kwa mwenzake kwa sababu tu ya chuki binafsi
Labda niulize tu; Kwani huko BBC alijipa kazi mwenyewe au lile ni shirika la ndugu yake???
By the way, angekuwa hafanyi vizuri wangempandisha ngazi kiasi kile?
kuweni basi na kiasi tunapo ongelea maisha ya mtu (mwenzetu)
Baadhi ya Watanzania tuna hulka ya kuoneana wivu sana na ndio sababu watu hawasaidiani, badala yake tuna achia majirani zetu wanachukua fursa zote nzuri huko nje sisi tukiendelea kupiga domo kwa kuchafuana....
Umemaliza [emoji2956][emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom