Chawa wa Samia wanatamani uhuru wa maoni binafsi ubinywe

Chawa wa Samia wanatamani uhuru wa maoni binafsi ubinywe

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Maisha yanaenda kasi sana!

Kwa sasa hivi hapa Tanzania kama lipo kundi linatamani uhuru wa maoni binafsi ubinywe basi ni chawa wa Samia pro max.

Kasi ya kukosolewa Samia kwenye mitandao ya kijamii haiwafurahishi kabisa hali inayowapelekea kutamani sheria ya Magufuli ya kuminya vyombo vya habari itumike kuwabana wadau.

Mlishajiuliza ni kwa nini hiyo sheria hawataki kuifanyia marekebisho?! Jibu ni moja wanataka kuitumia hapo baadae pindi kelele za watoa maoni binafsi zitapozidi kimo.

Muda utaongea.
 
Njia wanayotumia kwa sasa mojawapo imevuja .....ni kupandisha bei za mabando wanataka bando la chini liwe sh2000 na unapewa MB 500 wakati wa jpm wanadai alibinya vyombo vya habari wakati mabando yalikuwa chini, wewe jiulize kwanini pesa ya tozo isinge wekwa kwenye vilevi kama bia nk ....maana ndiyo ilikuwa kawaida hapa tz pakitokea tatizo la pesa basi bei inawekwa kwenye vilevi .
 
Maisha yanaenda kasi sana!

Kwa sasa hivi hapa Tanzania kama lipo kundi linatamani uhuru wa maoni binafsi ubinywe basi ni chawa wa Samia pro max.

Kasi ya kukosolewa Samia kwenye mitandao ya kijamii haiwafurahishi kabisa hali inayowapelekea kutamani sheria ya Magufuli ya kuminya vyombo vya habari itumike kuwabana wadau.

Mlishajiuliza ni kwa nini hiyo sheria hawataki kuifanyia marekebisho?! Jibu ni moja wanataka kuitumia hapo baadae pindi kelele za watoa maoni binafsi zitapozidi kimo.

Muda utaongea.
Wakubwa walishasema ni Rais wa Mpito ndio ukweli apende asipende ndio ukweli
 
Maisha yanaenda kasi sana!

Kwa sasa hivi hapa Tanzania kama lipo kundi linatamani uhuru wa maoni binafsi ubinywe basi ni chawa wa Samia pro max.

Kasi ya kukosolewa Samia kwenye mitandao ya kijamii haiwafurahishi kabisa hali inayowapelekea kutamani sheria ya Magufuli ya kuminya vyombo vya habari itumike kuwabana wadau.

Mlishajiuliza ni kwa nini hiyo sheria hawataki kuifanyia marekebisho?! Jibu ni moja wanataka kuitumia hapo baadae pindi kelele za watoa maoni binafsi zitapozidi kimo.

Muda utaongea.
Waambie wakajinyonge!Kenge hao.Nchi ina amani.
 
Maisha yanaenda kasi sana!

Kwa sasa hivi hapa Tanzania kama lipo kundi linatamani uhuru wa maoni binafsi ubinywe basi ni chawa wa Samia pro max.

Kasi ya kukosolewa Samia kwenye mitandao ya kijamii haiwafurahishi kabisa hali inayowapelekea kutamani sheria ya Magufuli ya kuminya vyombo vya habari itumike kuwabana wadau.

Mlishajiuliza ni kwa nini hiyo sheria hawataki kuifanyia marekebisho?! Jibu ni moja wanataka kuitumia hapo baadae pindi kelele za watoa maoni binafsi zitapozidi kimo.

Muda utaongea.
Kama dikteta tulimkosoa huyu tutamshindwa?
 
Maisha yanaenda kasi sana!

Kwa sasa hivi hapa Tanzania kama lipo kundi linatamani uhuru wa maoni binafsi ubinywe basi ni chawa wa Samia pro max.

Kasi ya kukosolewa Samia kwenye mitandao ya kijamii haiwafurahishi kabisa hali inayowapelekea kutamani sheria ya Magufuli ya kuminya vyombo vya habari itumike kuwabana wadau.

Mlishajiuliza ni kwa nini hiyo sheria hawataki kuifanyia marekebisho?! Jibu ni moja wanataka kuitumia hapo baadae pindi kelele za watoa maoni binafsi zitapozidi kimo.

Muda utaongea.
Chawa Nape, Makamba na wengine.
 
Maisha yanaenda kasi sana!

Kwa sasa hivi hapa Tanzania kama lipo kundi linatamani uhuru wa maoni binafsi ubinywe basi ni chawa wa Samia pro max.

Kasi ya kukosolewa Samia kwenye mitandao ya kijamii haiwafurahishi kabisa hali inayowapelekea kutamani sheria ya Magufuli ya kuminya vyombo vya habari itumike kuwabana wadau.

Mlishajiuliza ni kwa nini hiyo sheria hawataki kuifanyia marekebisho?! Jibu ni moja wanataka kuitumia hapo baadae pindi kelele za watoa maoni binafsi zitapozidi kimo.

Muda utaongea.
Binadamu tu viumbe wa ajabu sana tukipewa uhuru tunadai utumwa tukipewa utumwa tunadai uhuru,

Mama ashasema ana ngozi ngumu ila msememini msipitilize
 
Push gang hakuna rangi mtaacha kuiona, 2025 hakuna push gang ataingia bungeni.
 
Binadamu tu viumbe wa ajabu sana tukipewa uhuru tunadai utumwa tukipewa utumwa tunadai uhuru,

Mama ashasema ana ngozi ngumu ila msememini msipitilize
...na aliwaomba mmkune taratiiiibu!
 
Maisha yanaenda kasi sana!

Kwa sasa hivi hapa Tanzania kama lipo kundi linatamani uhuru wa maoni binafsi ubinywe basi ni chawa wa Samia pro max.

Kasi ya kukosolewa Samia kwenye mitandao ya kijamii haiwafurahishi kabisa hali inayowapelekea kutamani sheria ya Magufuli ya kuminya vyombo vya habari itumike kuwabana wadau.

Mlishajiuliza ni kwa nini hiyo sheria hawataki kuifanyia marekebisho?! Jibu ni moja wanataka kuitumia hapo baadae pindi kelele za watoa maoni binafsi zitapozidi kimo.

Muda utaongea.
Wengi wao sio chawa Tena Bali Ni kunguni....
 
Si mnataka kila siku amuenzi JPM? Si ndio kumuenzi Magufuli huko?😂😂
 
Kuna mtu hapa nilisema Samia anazurura kama wana wa Israel aiseee watu wanachukia ukweli alivyonijibu🙌🙌🙌🙌
 
Marehemu magufuli aliacha ugonjwa mbaya saana "praise team" a.k.a walamba matako ni waduwanzi kinyama, sisi tunalalamikia maufaa ya taifa wao na matumbo yao kenge hawa.
 
Afadhari Sheria itumike Mana akina Bashiru wamezidi kumkosoa mama wakati wao ndo waliharibu kila kitu. Waliua Sana mpaka maiti zinaokotwa koko.
Maisha yanaenda kasi sana!

Kwa sasa hivi hapa Tanzania kama lipo kundi linatamani uhuru wa maoni binafsi ubinywe basi ni chawa wa Samia pro max.

Kasi ya kukosolewa Samia kwenye mitandao ya kijamii haiwafurahishi kabisa hali inayowapelekea kutamani sheria ya Magufuli ya kuminya vyombo vya habari itumike kuwabana wadau.

Mlishajiuliza ni kwa nini hiyo sheria hawataki kuifanyia marekebisho?! Jibu ni moja wanataka kuitumia hapo baadae pindi kelele za watoa maoni binafsi zitapozidi kimo.

Muda utaongea.
 
Back
Top Bottom