LGE2024 CHDEMA: Mkoa wa DSM wenye Mitaa 636 Wamekatwa majina ya Wagombea wetu 571 wamebaki 45 tu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Chadema susieni huo uchafuzi.Mimi binafsi sijajiandikisha nastaki kusikia
 
Ccm ndio italeta vita kwenye hii nchi na viongozi wa dini mkilifumbia hili macho mnapoteza credibility yenu.
 
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 1
  • 20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 1
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Mbegu wanayoipanda ikishamea vizuri tutaanza kubaguana kwa itikadi za vyama. Chuki ikikithiri tutaanza kuchinjana wenyewe kwa wenyewe. Kansa huanza kusambaa taratibu.
Halafu vyombo vya ulinzi na usalama vinakubali huu ujinga wapuuzi kabisa.
 
Waliitisha maandamano ulienda ?
 
Yaani yule jamaa wa Mtama na yule mwamba wa Longido na timu yake wawaachie ni ngumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…