Che Malone Karuhusu Magoli 16 CAFCL katika Mechi 6 Tu.

Thread closed
 
Unadhani alikuwa anacheza na akina Real Bamako, Malumo Galants au TP Mazembe ya sasa ya kichovu?
 
Nimeona clip moja mechi na Al Ahaly hakuna mchezaji hapo
 
Hata kwa Outtara tulionya mapema.

Lakini hawakutaka kusikia.
Che malone MVP cameroom, kacheza mech 6 group stage kundi ambalo cotton sports alikuwa na al ahly, mamelod na al hilal, cotton spory wakawa wa mwisho kwenye kundi, watatu katika hilo kundi alikuwa al hilal aliyemtoa yanga CAFCL, al hilal ambae katikaechoja tu pale cairo alikula 5 mshambuliaj wao akiwa lilepo

Nimekukumbusha haya sio kwa ubaya bali kukufahamisha kuwa ubora wa mchezaji haulazimiki kuendana na ubora wa timu yake ndio maana pale simba analalamikiwa onyango pekee kwenye kufungisha na sio inonga

Pia nikufahamishe kuwa outara alisajiliwa akiwa hana match fitness wakat ambao maloni alikuwa panga pangua kwenye kikosi chake cha cotton sport
 
Kiongozi huyu na Aubin Kramo Kouamé ni watu ushabiki pembeni!!!
Nimeangalia games zote za Pamba FC.

Nimeangalia games zote za Asec Mimosas.


Che Guevara sio beki wa kuipeleka timu nchi ya ahadi.
 
Elewa maana ya neno TIMU(team) . Ni muunganiko wa watu wengi yaani zaidi ya mmoja kwa lengo la kufanikisha jambo flani.

Sasa unampa mtu makosa ya team nzima , huu sio uungwana.
 
Taratibu bro. Unayapanikisha Makolodunduka huku, mara yanaweza kukuporomoshea matusi.
 
😅🤣🤣
 
KIPA No1 WA arsenal Ramsdale.

Alishuka Daraja na timu mbili tofauti,
Leo ndiye Golikipa No 1 England.

Kwa MTINDO huo Malumo Galant. Imeshuka Daraja lakini wachezaji wao wameenda KAIZER CHEEF, ORANDO , MAMELODY NK.

HIVI NYIE MAAANDAZI MTAJUA LINI MPIRA
 
We kashabikie mdako tu,mpira tuachie wenye shughuli zetu
 
Kuna team inaitwa Coastal union ilikuwa inakula vipigi hadi kunusurika kushuka daraja mara kadhaa.
Ilipigwa hadi goli 8 na simba lakini Yanga wakaenda kutoa M 200 kumsajili beki wake ambaye hadi leo ni tegemeo kwa yanga Mwamnyeto.
Hii imekaaje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…