Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]utawala umewwngushaHawa wakina che Malone sindio walienda pre season uturuki wakijinasibu wamejiandaa vyema na wapo kamiligado kuivaa premier league, na uzur media ziliwamulikaaa hasa huyu aliongea sanaa kuhusu ubora wa timu,
Bahati mbaya mimi naupenda, na ndio umenisaidia kuniimarisha kwenye maisha yanguHata wewe mkuu....ukiambiwa ukweli ni lazima umind
Akaimu kwani msemaji hayupo? Shida ni kwamba msemaji yupo ila hasemi. Unajua shida yetu wafrika, wale wenye mujukumu hawayafanyi, yakifanywa na wengine tunawalaumu.Jukumu la ukaimu wa usemaji si lake. Anayo yanayomhusu moja kwa moja kama mchezaji.
Huyo mwamedi mwenyewe ataitema timu ni suala la muda tu. Soka la ujanja ujanja lishapitwa na wakatiKwamba civil war itatokea pale ukoloni
Vipi, hicho alicho kiongea kina ukweli, au ni uongo?Amekuwa msemaji sasa. Wachezaji wanapaswa kufahamu ukomo wa majukumu yao.
Boss ukweli haubatilishi nafasi yake ya mchezaji wa kulipwa na kumpa cheo kipya cha msemaji.Vipi, hicho alicho kiongea kina ukweli, au ni uongo?
Hakuwa msemaji wa timu bali alijibu swali aliloulizwa kama machezaji.Amekuwa msemaji sasa. Wachezaji wanapaswa kufahamu ukomo wa majukumu yao.