Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
ha ha ha mkuu ina maana gani hiyo?Hizi equation za maneno umezianza lini?
Hata sijui kemikali gani inatokea baada ya kuunganisha hizo semi mbili.....ha ha ha mkuu ina maana gani hiyo?
Elimu haina mwisho ngoja nichimbue zaidiHata sijui kemikali gani inatokea baada ya kuunganisha hizo semi mbili.....
Fanya urudi ukaulizie si bado hiyo jamii ipo?
Kweli mkuu nakubaliana na weweTengeneza koneksheni maana mafanikio yako yatasababishwa au kurahisishwa na mtu mwingine
ha ha ha haKamuulize jeikei
Kweli mkuu,hiyo imewatoa wengi sanaConnection mzee Baba