Mie huwa naitwa honey,my love,dear,sweet ,baby kumbe ndo huwa anamaanisha hivyo..,leo akiniita hivyo ni ugomvi hadi ataconfess.
honey wangu.'
nilianzishe eti?
Honey-kimeo
dear-wa kuzugia
sweet-mshamba
my love-zezeta
baby-mjinga
endless-malaya
darling-*****
husband-buzi.
Jicheki uko upande gani hapo!
Khaaa! Hii dictionary ya wapi?mbona kama danganya toto?