Cheki hapa Mubashara Wayne Rooney na kikosi cha Everton walivotua Dar

Cheki hapa Mubashara Wayne Rooney na kikosi cha Everton walivotua Dar

Internet haijaletwa na Muzungu pekee, bali ni kazi ya Binadamu wengi wa Dunia hii, kila mtu ana mchango wake!
Internet imeanzishwa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani, nchi ya majority wazungu.

Ukitaka kusema internet haijaletwa na wazungu pekee, na mimi naweza kukuambia Everton si ya wazungu pekee.

Hapo ndipo utaona hoja yako ya kuwakataa Everton kwa sababu ni wazungu inapopata kuonekana kuwa ni ya kijinga.
 
Internet imeanzishwa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani, nchi ya majority wazungu.

Ukitaka kusema internet haijaletwa na wazungu pekee, na mimi naweza kukuambia Everton si ya wazungu pekee.

Hapo ndipo utaona hoja yako ya kuwakataa Everton kwa sababu ni wazungu inapopata kuonekana kuwa ni ya kijinga.


Siyo kweli, wewe unaongelea matokeo tu kwamba umeona internet lkn kabla ya hapo kuna kazi kubwa imefanyika ili kuweza kufikia hapo, na kazi hii imefanywa na wengi tu, kuanzia Wachina, Waarabu hata sisi Waafrika na Wayahudi tuna michango yetu pia, ...
 
Siyo kweli, wewe unaongelea matokeo tu kwamba umeona internet lkn kabla ya hapo kuna kazi kubwa imefanyika ili kuweza kufikia hapo, na kazi hii imefanywa na wengi tu, kuanzia Wachina, Waarabu hata sisi Waafrika na Wayahudi tuna michango yetu pia, ...
Naweza kusema the same kuhusu Everton kwamba umeona matokeo tu,kabla ya matokeo kuna wengi wa mataifa mbalimbali walishiriki.

Tena Everton kuna wachezaji weusi, sasa na hawa unawakataa kwa sababu ni macho bluu?

Yannick Bolasie - Wikipedia

Idrissa Gueye - Wikipedia

Ademola Lookman - Wikipedia
 
Kwani Everton wanaongea Lugha gani? Vitu vingine havihitaji ushauri, jamaa anajiongeza tu mwenyewe.

Sent from my SM-J710H using JamiiForums mobile app
 
Huyo mtangazaji angekaa kimya tu akaacha kelele za ndege na upepo ingependeza zaidi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hicho kigugumizi bora angekaa kimya tu

Sent from my CAM-AL00 using JamiiForums mobile app
 


Ni muda sasa umepita toka taarifa za kikosi cha kwanza cha Everton kutua Dar tayari kukipiga na Gor Mahiya kutoka Kenya kwenye Mechi ya kirafiki itakayofanyika kesho alhamisi tarehe 13/07/2017.

Mpaka sasa tayari kikosi hicho cha Everton kimeshatua jijini Dar na mchezaji mwenye mvuto zaidi ulimwenguni Wayne Rooney.

Kwa upande wake Gor Mahiya ya Kenya ilitua jana Jumanne. Ni mtanange ambao utakuwa wa aina yake utakaochezwa katika uwanja wa taifa wa Dar es Salaam.

Kuonyesha umuhimu wa ujio huu, waziri wa habari sanaa, utamaduni na michezo Dr Harison Mwakiembe amefika uwanja wa ndege JKNI kuwapokea Everton.


View attachment 540183
Wayne Rooney akisalimiana na Dr mwakiembe

Kasoro ni kucheza na timu ya Kenya kwenye uwanja wa Tanzania. Mkiambiwa East Africa ni Nairobi na mlima K uko Kenya mtabisha? shame kwa mwakyembe na wengine
 
e5e6c1f9882cf7040ea2048523ab9366.jpg


Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile App
 
Wadada wa mjini jipitisheni basi tupate mashemeji wa kujenga apartments Masaki
 
Mkuu umeokoa jahazi kwa namna fulani,wengi hawatakuelewa,Jk alikua anajua bhana

Sent from my Siemens A-35 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom