Cheki hapa Mubashara Wayne Rooney na kikosi cha Everton walivotua Dar

Cheki hapa Mubashara Wayne Rooney na kikosi cha Everton walivotua Dar

kirerenya

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
1,696
Reaction score
2,253


Ni muda sasa umepita toka taarifa za kikosi cha kwanza cha Everton kutua Dar tayari kukipiga na Gor Mahiya kutoka Kenya kwenye Mechi ya kirafiki itakayofanyika kesho alhamisi tarehe 13/07/2017.

Mpaka sasa tayari kikosi hicho cha Everton kimeshatua jijini Dar na mchezaji mwenye mvuto zaidi ulimwenguni Wayne Rooney.

Kwa upande wake Gor Mahiya ya Kenya ilitua jana Jumanne. Ni mtanange ambao utakuwa wa aina yake utakaochezwa katika uwanja wa taifa wa Dar es Salaam.

Kuonyesha umuhimu wa ujio huu, waziri wa habari sanaa, utamaduni na michezo Dr Harison Mwakiembe amefika uwanja wa ndege JKNI kuwapokea Everton.


Rooney.jpg

Wayne Rooney akisalimiana na Dr mwakiembe
 
Natamani kuona wachezaji wa Everton mana ni timu nayoiheshimu sanaa kwa ligi ya uingereza

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Mhhh

Sent from my Vodafone 785 using JamiiForums mobile app
 
Vzur

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom