Cheki machawa wa Diamond walivyo"mnyali" Harmonize siku ya kwanza alipofika WCB.

Cheki machawa wa Diamond walivyo"mnyali" Harmonize siku ya kwanza alipofika WCB.


Kama sikosei Waislamu ni wengi wanaojihusisha na miziki na maigizo hapa tz, mfano ni hao aliowataja mleta mada n.k.

Mtu anatafuta umaarufu/pesa kupitia ujahili, alichokiharamisha Mwenyezi Mungu, na Wanajua hili ni haram, na wanaowafuatilia pia wanajua hili ni haram, ila kibri imewajaa.

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا تُوبُوا إِلَى اللَّهِ تَوْبَةً نَصُوحًا عَسَىٰ رَبُّكُمْ أَنْ يُكَفِّرَ عَنْكُمْ سَيِّئَاتِكُمْ وَيُدْخِلَكُمْ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ يَوْمَ لَا يُخْزِي اللَّهُ النَّبِيَّ وَالَّذِينَ آمَنُوا مَعَهُ ۖ نُورُهُمْ يَسْعَىٰ بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَبِأَيْمَانِهِمْ يَقُولُونَ رَبَّنَا أَتْمِمْ لَنَا نُورَنَا وَاغْفِرْ لَنَا ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ
At-Tahrim(The Prohibition)
Enyi mlio amini! Tubuni kwa Mwenyezi Mungu toba iliyo ya kweli! Asaa Mola wenu Mlezi akakufutieni maovu yenu na akakuingizeni katika Pepo zipitazo mito kati yake, siku ambayo Mwenyezi Mungu hatamdhalilisha Nabii na walio amini pamoja naye. Nuru yao inakwenda mbele yao na pande zao za kulia, na huku wanasema: Mola wetu Mlezi! Tutimilizie nuru yetu, na utughufirie! Hakika Wewe ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.
Utawalisha wewe na familia zao?
Refer mzee yusuf
 
Sisi wakubwa tumekuelewa sana tu But nikwambie kitu,
Kumsaidia mtu hakufanyi uliyemsaidia awe mtumwa kwako au akuheshimu kisa ulimsaidia,
Hakuna Binadamu ambae hajawahi kusaidiwa,binadamu tunaishi kwa kutegemeana,hata Diamond nae alisaidiwa pia mpaka akafika hapo,

Riziki ya mtu ipo kwa mtu,sometimes Mungu humtumia binadamu mwenzako anapotaka kukusaidia jambo,

Mwisho,binadamu kuheshimiana ilitakiwa iwe ni jambo ambalo halihitaji sababu,huhitaji sababu ili umuheshimu binadamu mwenzako,you respect somebody for who they are,even when they're different from you or you don't agree with them.
Words

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Sisi wakubwa tumekuelewa sana tu But nikwambie kitu,
Kumsaidia mtu hakufanyi uliyemsaidia awe mtumwa kwako au akuheshimu kisa ulimsaidia,
Hakuna Binadamu ambae hajawahi kusaidiwa,binadamu tunaishi kwa kutegemeana,hata Diamond nae alisaidiwa pia mpaka akafika hapo,

Riziki ya mtu ipo kwa mtu,sometimes Mungu humtumia binadamu mwenzako anapotaka kukusaidia jambo,

Mwisho,binadamu kuheshimiana ilitakiwa iwe ni jambo ambalo halihitaji sababu,huhitaji sababu ili umuheshimu binadamu mwenzako,you respect somebody for who they are,even when they're different from you or you don't agree with them.
Mkuu, maelezo yako ni mazuri sana ila ni tofauti na nilichomaanisha.
Sijui niliweke vipi hilo mpate kuelewa! Basi, kila mmoja abaki na mtazamo wake.
 
Back
Top Bottom