Cheki Masanja anavyohaha, kweli kutunza mke si mchezo!

Cheki Masanja anavyohaha, kweli kutunza mke si mchezo!

View attachment 430860

Wala sio jockes, deep down anapima upepo. Akiona watu wengi wanamshobokea ndio analeta semina, ila akiona watu hawamshobokei ndio anajifanya eti ilikuwa jockes...
Si unakumbuka alifungua kakibanda ka kuuza ubwabwa kule Tabata afu kakabuma? Sasa kukafunga anaona aibu na kukaendeleza anaona hasara. Kabaki njia panda.
Magufuli keshasema wapiga dili wote kwishney....

Huu muda wa kufuatilia mambo ya watu ungetumia kuwaza wewe binafsi utokaje nadhani ungekuwa mbali. Unachotakiwa kufanya kama ameanzisha kitu unakona hakijasonga just buy idea, endeleza na come-up na good ideas ulete kitu safi kuliko kusubiri chini aanguke.
 
Masanja huyu huyu aliyekuwa akiwacheka wenzake kuwa wamefulia, sijui wameloweka, hivi karibuni ameonekana 'akihaha' kutafuta pesa kwa udi na uvumba!

Huyu si ndo alikuwa anawachapa vijana viboko pale Jangwani ati kwa nini hawaoi? Unadhani kuoa ni swala la mchezo mchezo eeh? Sasa hivi vibiashara vya kupigia pesa 'unrealistically' vinaonesha zaidi kuwa akaunti ya Masanja imesinyaaa na huenda akafulia na kuuza Bima siku si nyingi 😀😀😀.

Embu ona hapa amelala na mke wake sijui ndio wameshauriana waje na hiki kiseminia? Eti semina juu ya kutunza pesa, tangu lini Masanja akawa na elimu ya kutosha ya mambo ya Finance kiasi cha kuwakalisha watu semina na kuwalipisha laki? Si bora tumchukue prof Lipumba aje atoe semina kama hiii?
Kweli maisha ni safari ndefu, unaweza ukawacheka wenzako kwa vile hujui ya kesho.

View attachment 430837
we ni bora urudi shule tu kama umeshindwa kuelewa alichopost hapo Masanja
 
Mr ngadaman mwamvuli wa uchungaj una mengi wazee wa unga wa nyoka
 
View attachment 430860

Wala sio jockes, deep down anapima upepo. Akiona watu wengi wanamshobokea ndio analeta semina, ila akiona watu hawamshobokei ndio anajifanya eti ilikuwa jockes...
Si unakumbuka alifungua kakibanda ka kuuza ubwabwa kule Tabata afu kakabuma? Sasa kukafunga anaona aibu na kukaendeleza anaona hasara. Kabaki njia panda.
Magufuli keshasema wapiga dili wote kwishney....
We unaonekana Una beef/chuki za waziwazi kwa masanja sasa unataka nas tukuamini
 
kuigiza kumemshinda, kilimo kimemshinda, kanisa limemshinda, sembe imemshinda sasa ameamua kuwa tapeli.
 
Wewe uliyeanzisha hii topiki jaribu kutumia angalau akili kidogo kabla ya kuleta utumbo wako hapa JF. Soma vizuri kwa makini huo ujumbe wa masanja kabla ya kupost uharo hapa.
 
We mleta mada ni 'limbea sana' acha wivu, 'middling brain' wewe!
 
Inaonyesha unawivu wa mafanikio aliyo nayo masanja na ndio maana umekurupuka kuleta uchafu wako huku.......fanya kazi acha kukaria majungu ya vijiweni....mwenzio ndio anazidi kupasua anga.....
 
Mkuu Kodofan mi naona kama anajoke hapo na kusema kuwa kama unalipishwa pesa kwenda kwenye semina ya jinsi ya kutengeneza pesa basi uwe na akili usiende. Wapi ametangaza semina, au umeamua kumchamba tu masanja leo?
Ni Bora Hata Umefafanua Maana Kuna Wanamwombea Mtu Afulie Utafikiri Walimsaidia Kutafuta
 
Watanzania bana kazi kuombeana mabaya tu!
Masanja kakukosea nini wewe?
Mbona vijana hatutaki vijana wenzetu wanapofanikiwa?
Badala ya kufanya kazi kwa bidii unajikita kufatilia maisha ya wengine?
Unasababu yoyote ya kutokuwa maskini?
 
Halafu wengi tu wanasapoti hii
Poor Tanzania
 
Nilichogundua kwa huyu jamaa anaumuzwa sana na maisha ya masanja au anaumizwa sana na mke wa masanjaa kwani alichopoat masanja hakihusiani kabisa na maisha yake ya ndoa lakin jamaa karukia kutunza mke kumemshinda yaani katunga story yake ili kurelate na alichopost masanja na masanja amepost kitu tofauti na alichoelewa huyu jamaa,ukiwa postive hata kidogo unakosa nini masanja akifulia wewe utapata faida gani akishindwa kutunza mke wake wewe utaumia na nini,,,,kama ni mwamume na unafatilia maisha ya watu kiasi hicho kiasi cha kuwaza kupost uongo humu basi wewe ni mtu hatari sana...!badilika na kwa ushauri tu futa hii kitu..!..maisha yake hayakuhusu awe ana hela au hana...numeona hii kitu nimeona aibu mimi
 
ILE TAFITI NILUIYOIONA JANA KUWA WATANZNIA TUNAONGOZA KWA UNAFIKI NAONA IMEANZA KUTIMIA YANI MTU ANAKAZI YA KUFUATILIA MAISHA YA MASANJA ALAFU ALICHOKIANDIKA MASANJA HAINYOSHI KAMA AMEFULIA BALI NJIA YA KUJIPATIA FEDHA WEWE UTAPONDA NAKUONA KWELI HANA ELIMU YA MASUALA YA FEDHA LAKIN ANAFEDHA ZA KUMTOSHA YEYE NA HATA KUKULEA WEWE AMBAYE HUENDA UKAWA NA ELIMU YA FEDHA NA HAUNA FEDHA ZA KUJITOSHELEZA AU FEDHA AMBAZO HADI JAMII IKATAMBUA UNAFEDHA YEYE ANATAKA KUTOA ELIMU YA JINSI GANI ALITUNZA FEDHA ZAKE HADI ZIKAMPA UTAJIRI NA KWA VILE TAYARI ANAJINA KUBWA HATAKOSA WATU
[HASHTAG]#KUPATA[/HASHTAG] [HASHTAG]#ELIMU[/HASHTAG] [HASHTAG]#SIYO[/HASHTAG] KUWA TAJIRI BALI ELIMU ITAKUSAIDIA NAMNA YA KUWA TAJIRI ILA KWA SHARTI TU LA UTAYRI
Mkuu nia ya ujumbe wako umeeleweka lakini uandishi wako hauko sawa. Kuandika kwa herufi kubwa habari yote au mstari mzima ni kama unapiga makelele (shouting). Hoja yako ni nzuri.
 
Back
Top Bottom