Cheki ujinga huu wa umaskini

Cheki ujinga huu wa umaskini

Kwa namna yake hilo Jambo lina fanya maisha kuwa magumu.

Kwa maana ya kwamba kuna mambo mengine ya msingi tunayakosa, Pesa yake ina diverge inaenda huko Kwenye kulipia huduma za internet.

Elon musk alikua ana mpango mzuri sana (Starlink) ungetusaidia mno. Watu weusi ni wanyama sana, Namchukia N*PE
Kwamba Ungemsaidia mtoa mada alietumia 70,000 kwenye internet kwa kumpa internet ya 120,000-240,000 ambayo kujiunga tu inahitaji Milioni 1?

Unless unaishi vijijini kabisa zipo Internet bora zaidi ya Starlink kibao Tanzania.
 
Nimekaa chini nimepiga hesabu kutoka tar 20May mpaka Leo tar 16 June, wastani WA mwezi huo (28days), nimejikuta nimetumia kiasi Cha shilingi za kitanzania 70000, Kwa ajiri ya bundles hasa internet dakika ni kidogo sana.
Nimejilaumu sana sana Kwa sababu hata iyo internet niliyokuwa natumia ilikuwa sio Kwa ajiri ya kuzalisha Bali ni burudani tu, kama vile Instagram na tiktok Hawa ndo main eater wa bundles zangu.
Hivyo imenilazimu kupanga na kujipanga upya kuanzia Leo tar 16 June had 16/07, nimeadhimia!
1.Niwe angalau nimetumia kiasi Cha TSH 8000 tu Kwa ajiri bundle za internet na dakika
2.kufuta social network zote kama Instagram, TikTok na Facebook ( hili limefanikimiwa mana nimeshafuta tayari )
3. Kutumia mb zangu Kwa uangalifu zaidi, hasa kuepuka kuangalia video na picha
4. Kutunza mb nitadili zaid na kuangalia au kutafuta vitu zaidi vinavoletwa au kupostiwa Kwa maandishi kama humu Jamii forum, au searching kule chrome.
5. Kutodownload kitu chochote kinachozidi mb 50.

USHAURI
Tusipokuwa makini smartphone zinatutia umaskini bila kuelewa na hivi saizi Kasi ya internet ni kubwa kama yote, mb dakika sifuri zimeisha.
Alafu smartphone hasa internet sio nzuri sana Kwa sisi watafutaji pesa na muda zinatukomba saaaaana[emoji17][emoji45][emoji17][emoji45]
Tafuta Postpaid tigo ama Sme ya Airtel, utasave vya kutosha.

Hio 70,000 ulipata Jumla GB ngap?
 
Kwamba Ungemsaidia mtoa mada alietumia 70,000 kwenye internet kwa kumpa internet ya 120,000-240,000 ambayo kujiunga tu inahitaji Milioni 1?

Unless unaishi vijijini kabisa zipo Internet bora zaidi ya Starlink kibao Tanzania.
Hahahahaha utani huoo
Nijiunge mil 1 afu nieendelee kugaramia 240
Ingekuwa 1M for life labda

Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
 
Mimi nishakaa nikakuuliza sana Ivo maana shughuli zangu zinaitaji bandle ntawezaje kulihandle hili ili nitoboe ushauri wenu naitaji
 
Mm natumia 3000 x 30=/ 90,000 kwa bundle nje ya dadikaa SMS najiunga 10,000 per month kwa buku tu.
 
kuna siku narudi Kitonga niko Mbande
niko siti ya nyuma kabisa
kwa mbele naona, mtu anakwangua vocha ya kwanza, ya pili , ya tatu, kisha akajiunga
huyo breki ya kwanza insta,
Wabongo wengi wanamiliki simu za gharama au kama hivyo kutumia hela nyingi kwenye bundle lakini zaidi ya kuingia FB insta na huko wanakoita tiktok hakuna kingine.

Unakuta anazunguka humo humo,atatoka humu anaingia humu anaingia tena kule alimradi amepoteza muda na kucheka cheka hovyo ukimuuliza alichojifunza ni zero.
 
Mm natumia 3000 x 30=/ 90,000 kwa bundle nje ya dadikaa SMS najiunga 10,000 per month kwa buku tu.
Kama kupitia hizo bando za internet nawe unajingizia faida inakuwa sio mbaya, ni vibaya kama Inaishia Instagram na tiktok bila maana

Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
 
Wabongo wengi wanamiliki simu za gharama au kama hivyo kutumia hela nyingi kwenye bundle lakini zaidi ya kuingia FB insta na huko wanakoita tiktok hakuna kingine.

Unakuta anazunguka humo humo,atatoka humu anaingia humu anaingia tena kule alimradi amepoteza muda na kucheka cheka hovyo ukimuuliza alichojifunza ni zero.
Yap ni facts kabisa almost 75%, za bundle za internet watu wanazojiunga hawaingizi faida but wanaishia kujiburudisha tu kwenye social app

Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
 
Nimekaa chini nimepiga hesabu kutoka tar 20May mpaka Leo tar 16 June, wastani WA mwezi huo (28days), nimejikuta nimetumia kiasi Cha shilingi za kitanzania 70000, Kwa ajiri ya bundles hasa internet dakika ni kidogo sana.
Nimejilaumu sana sana Kwa sababu hata iyo internet niliyokuwa natumia ilikuwa sio Kwa ajiri ya kuzalisha Bali ni burudani tu, kama vile Instagram na tiktok Hawa ndo main eater wa bundles zangu.
Hivyo imenilazimu kupanga na kujipanga upya kuanzia Leo tar 16 June had 16/07, nimeadhimia!
1.Niwe angalau nimetumia kiasi Cha TSH 8000 tu Kwa ajiri bundle za internet na dakika
2.kufuta social network zote kama Instagram, TikTok na Facebook ( hili limefanikimiwa mana nimeshafuta tayari )
3. Kutumia mb zangu Kwa uangalifu zaidi, hasa kuepuka kuangalia video na picha
4. Kutunza mb nitadili zaid na kuangalia au kutafuta vitu zaidi vinavoletwa au kupostiwa Kwa maandishi kama humu Jamii forum, au searching kule chrome.
5. Kutodownload kitu chochote kinachozidi mb 50.

USHAURI
Tusipokuwa makini smartphone zinatutia umaskini bila kuelewa na hivi saizi Kasi ya internet ni kubwa kama yote, mb dakika sifuri zimeisha.
Alafu smartphone hasa internet sio nzuri sana Kwa sisi watafutaji pesa na muda zinatukomba saaaaana[emoji17][emoji45][emoji17][emoji45]
Insta natumia.mara chache mno. Huko tiktok ndiko hat sikujui.

Insta inakula sana bundle.
 
Kama kupitia hizo bando za internet nawe unajingizia faida inakuwa sio mbaya, ni vibaya kama Inaishia Instagram na tiktok bila maana

Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app

Kujiburudisha kujifunza…kwangu internet ni daily life package bila internet maisha yanakuwa Kama Upo jela
 
Ninachoshukuru kipato changu ni kupitia internet
Nimejiunga Voda Supakasi 115k kwa mwezi internet bila kikomo
 
Insta natumia.mara chache mno. Huko tiktok ndiko hat sikujui.

Insta inakula sana bundle.
Hua namuona wife hata uki restart router Instagram inaplay wala hashtuki. Huwa inaload kama video 10 hivi za mbele, uangalie usiangalie bando limeenda hilo.

Halafu siku hizi wana bypass playstore updates zote zinatoka kwao wenyewe.
 
Mkuu sme ya airtel ndio inakuwaje?
Ni kama Postpaid ya Tigo ila haina mkataba unajichagulia mwenyewe kifurushi.

img_20230510_202842-jpg.2617039
 
Hua namuona wife hata uki restart router Instagram inaplay wala hashtuki. Huwa inaload kama video 10 hivi za mbele, uangalie usiangalie bando limeenda hilo.

Halafu siku hizi wana bypass playstore updates zote zinatoka kwao wenyewe.
Zamani nilikuwa natumia web. Ilikuwa video hazijiplay hadi niplay mimi ila siku hizi hata kwenye web bado zinajiplay zenyewe.
 
Back
Top Bottom