Cheki ujinga huu wa umaskini

Cheki ujinga huu wa umaskini

Hua namuona wife hata uki restart router Instagram inaplay wala hashtuki. Huwa inaload kama video 10 hivi za mbele, uangalie usiangalie bando limeenda hilo.

Halafu siku hizi wana bypass playstore updates zote zinatoka kwao wenyewe.
Duuuh ndo mana sekunde tu bado kwishney[emoji848][emoji848]

Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
 
Kujiburudisha kujifunza…kwangu internet ni daily life package bila internet maisha yanakuwa Kama Upo jela
As long unaingiza faida iyo Haina shida ila kama hakuna faida na unatumia pesa ndefu kwenye bundle basi jitahid kujibana bana aisee mana itasimanisha mambo

Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
 
Ni kama Postpaid ya Tigo ila haina mkataba unajichagulia mwenyewe kifurushi.

img_20230510_202842-jpg.2617039
Eh sasa postpaid ndo nn tena ![emoji3]skia unajiungaje sme gharama zipoje na unapewa gb ngp kwa muda gani?
 
Eh sasa postpaid ndo nn tena ![emoji3]skia unajiungaje sme gharama zipoje na unapewa gb ngp kwa muda gani?
Vifurushi vya malipo baada.

Unaungwa ofisi za Airtel upate hizo Bundle, kihalali inabidi uwe mfanyabiashara na Tin no, ila mtaani pia wanaunga kimagumashi.
 
Vifurushi vya malipo baada.

Unaungwa ofisi za Airtel upate hizo Bundle, kihalali inabidi uwe mfanyabiashara na Tin no, ila mtaani pia wanaunga kimagumashi.
Nikiwa na tin peke yake je ?inawezekana
 
😅 😅 yep yep tunasogea Kisewe, Msongola mpaka home sweet home, Mvuti
uzuri wa Mbande hata ukiwa na 1000 mapochopocho kama yote afu mi nazipenda zile jet za kwenda kariakoo (Mbande-Gerezani) zinateleza hatari hasa zikifika maeneo ya kwa Azizi barabara unakuta hamna foleni
 
Nilipata hiyo shida. Nilikuwa natumia 3000 au hata zaidi siku nyingine lakini nakuwa hata sijatosheka, roho ilikuwa inaniuma sana🙁 Nimejiunga Tigo postpaid ya 60,000 kwa mwezi. Napata Gb 72. Niko huru na gharama zimepungua. Spotify inacheza muda wote, naingia youtube na Insta bila shaka yoyote. Leo zimebaki siku nne nina GB 24, ni sijapata movies nzuri mwezi huu. Lakini pia huwa narun matangazo facebook na insta so kwa sehemu ni muhimu kwangu.

Jitahidi ujiunge postpaid. Maana vipo vifurushi vya chini kuanzia 15000. Uwe na kitambulisho, TIN, na leseni ya biashara(Hii siyo sana)
 
Nilipata hiyo shida. Nilikuwa natumia 3000 au hata zaidi siku nyingine lakini nakuwa hata sijatosheka, roho ilikuwa inaniuma sana🙁 Nimejiunga Tigo postpaid ya 60,000 kwa mwezi. Napata Gb 72. Niko huru na gharama zimepungua. Spotify inacheza muda wote, naingia youtube na Insta bila shaka yoyote. Leo zimebaki siku nne nina GB 24, ni sijapata movies nzuri mwezi huu. Lakini pia huwa narun matangazo facebook na insta so kwa sehemu ni muhimu kwangu.

Jitahidi ujiunge postpaid. Maana vipo vifurushi vya chini kuanzia 15000. Uwe na kitambulisho, TIN, na leseni ya biashara(Hii siyo sana)
Shukran ngoja nifuatlie hii

Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom