Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Kwamba Ungemsaidia mtoa mada alietumia 70,000 kwenye internet kwa kumpa internet ya 120,000-240,000 ambayo kujiunga tu inahitaji Milioni 1?Kwa namna yake hilo Jambo lina fanya maisha kuwa magumu.
Kwa maana ya kwamba kuna mambo mengine ya msingi tunayakosa, Pesa yake ina diverge inaenda huko Kwenye kulipia huduma za internet.
Elon musk alikua ana mpango mzuri sana (Starlink) ungetusaidia mno. Watu weusi ni wanyama sana, Namchukia N*PE
Tafuta Postpaid tigo ama Sme ya Airtel, utasave vya kutosha.Nimekaa chini nimepiga hesabu kutoka tar 20May mpaka Leo tar 16 June, wastani WA mwezi huo (28days), nimejikuta nimetumia kiasi Cha shilingi za kitanzania 70000, Kwa ajiri ya bundles hasa internet dakika ni kidogo sana.
Nimejilaumu sana sana Kwa sababu hata iyo internet niliyokuwa natumia ilikuwa sio Kwa ajiri ya kuzalisha Bali ni burudani tu, kama vile Instagram na tiktok Hawa ndo main eater wa bundles zangu.
Hivyo imenilazimu kupanga na kujipanga upya kuanzia Leo tar 16 June had 16/07, nimeadhimia!
1.Niwe angalau nimetumia kiasi Cha TSH 8000 tu Kwa ajiri bundle za internet na dakika
2.kufuta social network zote kama Instagram, TikTok na Facebook ( hili limefanikimiwa mana nimeshafuta tayari )
3. Kutumia mb zangu Kwa uangalifu zaidi, hasa kuepuka kuangalia video na picha
4. Kutunza mb nitadili zaid na kuangalia au kutafuta vitu zaidi vinavoletwa au kupostiwa Kwa maandishi kama humu Jamii forum, au searching kule chrome.
5. Kutodownload kitu chochote kinachozidi mb 50.
USHAURI
Tusipokuwa makini smartphone zinatutia umaskini bila kuelewa na hivi saizi Kasi ya internet ni kubwa kama yote, mb dakika sifuri zimeisha.
Alafu smartphone hasa internet sio nzuri sana Kwa sisi watafutaji pesa na muda zinatukomba saaaaana[emoji17][emoji45][emoji17][emoji45]
Ni ngap iyo napataTafuta Postpaid tigo ama Sme ya Airtel, utasave vya kutosha.
Hio 70,000 ulipata Jumla GB ngap?
Hahahahaha utani huooKwamba Ungemsaidia mtoa mada alietumia 70,000 kwenye internet kwa kumpa internet ya 120,000-240,000 ambayo kujiunga tu inahitaji Milioni 1?
Unless unaishi vijijini kabisa zipo Internet bora zaidi ya Starlink kibao Tanzania.
Kweli kabisa [emoji16][emoji16][emoji16]Ndio ujue kunywa chai sio utajiri ni bajeti
Vifurushi vipo vingi cha chini 15,000 GB 13.
Mkuu sme ya airtel ndio inakuwaje?Tafuta Postpaid tigo ama Sme ya Airtel, utasave vya kutosha.
Hio 70,000 ulipata Jumla GB ngap?
Wabongo wengi wanamiliki simu za gharama au kama hivyo kutumia hela nyingi kwenye bundle lakini zaidi ya kuingia FB insta na huko wanakoita tiktok hakuna kingine.kuna siku narudi Kitonga niko Mbande
niko siti ya nyuma kabisa
kwa mbele naona, mtu anakwangua vocha ya kwanza, ya pili , ya tatu, kisha akajiunga
huyo breki ya kwanza insta,
Kama kupitia hizo bando za internet nawe unajingizia faida inakuwa sio mbaya, ni vibaya kama Inaishia Instagram na tiktok bila maanaMm natumia 3000 x 30=/ 90,000 kwa bundle nje ya dadikaa SMS najiunga 10,000 per month kwa buku tu.
Yap ni facts kabisa almost 75%, za bundle za internet watu wanazojiunga hawaingizi faida but wanaishia kujiburudisha tu kwenye social appWabongo wengi wanamiliki simu za gharama au kama hivyo kutumia hela nyingi kwenye bundle lakini zaidi ya kuingia FB insta na huko wanakoita tiktok hakuna kingine.
Unakuta anazunguka humo humo,atatoka humu anaingia humu anaingia tena kule alimradi amepoteza muda na kucheka cheka hovyo ukimuuliza alichojifunza ni zero.
Iyo 70000 ni total ya vifurush vya internet nilivojiunga for 28days, sikujiunga Kwa pamojaTafuta Postpaid tigo ama Sme ya Airtel, utasave vya kutosha.
Hio 70,000 ulipata Jumla GB ngap?
Insta natumia.mara chache mno. Huko tiktok ndiko hat sikujui.Nimekaa chini nimepiga hesabu kutoka tar 20May mpaka Leo tar 16 June, wastani WA mwezi huo (28days), nimejikuta nimetumia kiasi Cha shilingi za kitanzania 70000, Kwa ajiri ya bundles hasa internet dakika ni kidogo sana.
Nimejilaumu sana sana Kwa sababu hata iyo internet niliyokuwa natumia ilikuwa sio Kwa ajiri ya kuzalisha Bali ni burudani tu, kama vile Instagram na tiktok Hawa ndo main eater wa bundles zangu.
Hivyo imenilazimu kupanga na kujipanga upya kuanzia Leo tar 16 June had 16/07, nimeadhimia!
1.Niwe angalau nimetumia kiasi Cha TSH 8000 tu Kwa ajiri bundle za internet na dakika
2.kufuta social network zote kama Instagram, TikTok na Facebook ( hili limefanikimiwa mana nimeshafuta tayari )
3. Kutumia mb zangu Kwa uangalifu zaidi, hasa kuepuka kuangalia video na picha
4. Kutunza mb nitadili zaid na kuangalia au kutafuta vitu zaidi vinavoletwa au kupostiwa Kwa maandishi kama humu Jamii forum, au searching kule chrome.
5. Kutodownload kitu chochote kinachozidi mb 50.
USHAURI
Tusipokuwa makini smartphone zinatutia umaskini bila kuelewa na hivi saizi Kasi ya internet ni kubwa kama yote, mb dakika sifuri zimeisha.
Alafu smartphone hasa internet sio nzuri sana Kwa sisi watafutaji pesa na muda zinatukomba saaaaana[emoji17][emoji45][emoji17][emoji45]
Kama kupitia hizo bando za internet nawe unajingizia faida inakuwa sio mbaya, ni vibaya kama Inaishia Instagram na tiktok bila maana
Sent from my TECNO KI5k using JamiiForums mobile app
Hua namuona wife hata uki restart router Instagram inaplay wala hashtuki. Huwa inaload kama video 10 hivi za mbele, uangalie usiangalie bando limeenda hilo.Insta natumia.mara chache mno. Huko tiktok ndiko hat sikujui.
Insta inakula sana bundle.
Ni kama Postpaid ya Tigo ila haina mkataba unajichagulia mwenyewe kifurushi.Mkuu sme ya airtel ndio inakuwaje?
Zamani nilikuwa natumia web. Ilikuwa video hazijiplay hadi niplay mimi ila siku hizi hata kwenye web bado zinajiplay zenyewe.Hua namuona wife hata uki restart router Instagram inaplay wala hashtuki. Huwa inaload kama video 10 hivi za mbele, uangalie usiangalie bando limeenda hilo.
Halafu siku hizi wana bypass playstore updates zote zinatoka kwao wenyewe.