Cheki unavoweza kupata milioni 5 kila mwezi au laki 5 kila mwezi

Cheki unavoweza kupata milioni 5 kila mwezi au laki 5 kila mwezi

Kwenye makaratasi tu

Utatembea Tz nzima utakuta ngombe watoao hizo lita za maziwa ni ngombe wachache sana, na hadi watoe umewalisha chakula kingi sana mf Asas.

Usije danganywa ukauziwa ngombe kutoka pale Ubungo soko la Nguruwe kuwa wanatoa lita 10 utafika utakuta hata lita 5 hawafiki kwa siku.
Bado ugonjwa, ngombe anaweza ugua kwa kula nyasi za sumu etc

Matibabu utakuwa rafiki wa Vets

Bado ngombe hujawapa suppliments ili watoe maziwa, hujawapa silage, hujawapa mambo chungu nzima.


Kamwe kamwe usidanganywe, fuga kama unapenda fuga ila kwa biashara inabidi ujitoe haswaaaa
 
Nuzu wewe hufagaji wa cow huwezi venye uko mrembo na cow akinya yale mavi yana harufu.....😁😁😁
Nimefanya kazi ngumu kushinda hiyo mkuu kwangu nafuga kuku na mabanda nasafisha mwenyewe
 
Kwenye makaratasi tu

Utatembea Tz nzima utakuta ngombe watoao hizo lita za maziwa ni ngombe wachache sana, na hadi watoe umewalisha chakula kingi sana mf Asas.

Usije danganywa ukauziwa ngombe kutoka pale Ubungo soko la Nguruwe kuwa wanatoa lita 10 utafika utakuta hata lita 5 hawafiki kwa siku.
Bado ugonjwa, ngombe anaweza ugua kwa kula nyasi za sumu etc

Matibabu utakuwa rafiki wa Vets

Bado ngombe hujawapa suppliments ili watoe maziwa, hujawapa silage, hujawapa mambo chungu nzima.


Kamwe kamwe usidanganywe, fuga kama unapenda fuga ila kwa biashara inabidi ujitoe haswaaaa
Nimeeleza hapo juu mkuu kwamba wanahitaji malisho ya uhakika na nyasi
 
Hayuko tofauti na wanaojiona bingwa wa kufundisha ujasiliamali, wanaeleza vizuri kwenye makaratasi kwenye uhalisia tofauti kabisa ndo maana wao kitu wanachofundisha wanakuwa hawana. Unakuta yupo bize kuelezea namna ya kutengeneza sabuni na faida utakazopata lakini yeye hana hata moja.
 
Hayuko tofauti na wanaojiona bingwa wa kufundisha ujasiliamali, wanaeleza vizuri kwenye makaratasi kwenye uhalisia tofauti kabisa ndo maana wao kitu wanachofundisha wanakuwa hawana. Unakuta yupo bize kuelezea namna ya kutengeneza sabuni na faida utakazopata lakini yeye hana hata moja.
Sasa kumbe nilicho andika ni pumba sana, aisee watz tuna safari ndefu sana, haya kanunueni boda boda basi maana kila mtu ana idea ya kuwa na boda boda.
 
Kwenye makaratasi tu

Utatembea Tz nzima utakuta ngombe watoao hizo lita za maziwa ni ngombe wachache sana, na hadi watoe umewalisha chakula kingi sana mf Asas.

Usije danganywa ukauziwa ngombe kutoka pale Ubungo soko la Nguruwe kuwa wanatoa lita 10 utafika utakuta hata lita 5 hawafiki kwa siku.
Bado ugonjwa, ngombe anaweza ugua kwa kula nyasi za sumu etc

Matibabu utakuwa rafiki wa Vets

Bado ngombe hujawapa suppliments ili watoe maziwa, hujawapa silage, hujawapa mambo chungu nzima.


Kamwe kamwe usidanganywe, fuga kama unapenda fuga ila kwa biashara inabidi ujitoe haswaaaa
Wewe unafuga ng'ombe?
 
Ninaye wawili mkuu
Sasa wewe una Cow wawili hao wa kuuzia kadamnasi utawatoa wapi ?

Ingawa ni vema kuanza kidogo kidogo ku-test the water, kabla haujawaza hao 30 unaosema, unaweza kujikuta unamuiga Alinacha na Ndoto zake...
 
Back
Top Bottom