Ni wawili lakini mkuu hawa cow ni kama una cow 10 wa kienyeji, napata lita 50 kwa wastani wa siku sawa na Tsh 50,000 kwa siku ambayo siyo haba mkuu.Sasa wewe una Cow wawili hao wa kuuzia kadamnasi utawatoa wapi ?
Ingawa ni vema kuanza kidogo kidogo ku-test the water, kabla haujawaza hao 30 unaosema, unaweza kujikuta unamuiga Alinacha na Ndoto zake...
Kuwa huru kiongozi.Umetisha Copa Cabana nikaribiapo inbox yako tafadhali usione kuwa usumbufu.
What's the catch ? Kwanini kama hii breed ipo watu wasihamie kwenye hii ? Shida ni nini bei ya Cow, maintanance au utamu wa maziwa ?Ni wawili lakini mkuu hawa cow ni kama una cow 10 wa kienyeji, napata lita 50 kwa wastani wa siku sawa na Tsh 50,000 kwa siku ambayo siyo haba mkuu.
Nafikiri kuuza lita 1 kwa Tsh.1500 kwa kuongeza thamani ya maziwa kwa huku mkoani.
Mazoea ya wabongo na lack of informations, wengi hawana taarifa kaka, na wanahofia gharama za kulisha pia.What's the catch ? Kwanini kama hii breed ipo watu wasihamie kwenye hii ? Shida ni nini bei ya Cow, maintanance au utamu wa maziwa ?
Sawa kama ndivyo ulivyoona.Alichoandika huyu jamaa hana tofauti na yule motivation speaker wa redioni, yupo hapa ππΎ.
Motivation Speaker anatakiwa awe Ally Hapi, Siyo wale kuongea pasi vitendo
Huyu jamaa ameamua hasa, japo tayari ameingia akiwa na mtaji ila huyu ndiye motivation speaker ambaye anatakiwa kuongea akiwa anamaanisha, siyo yule/wale wa hekari moja unapata 12mil. Anachifanya huyu kijana Ally aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara huko kwenye mashamba yake ni mfano tosha kwa...www.jamiiforums.com
FAmbaf kabisa, ufugaji ng'ombe sio sawa na kufuga ndevu.Watu wanakula tunda kimasihara leo.
Nime overstimate au nime underestimate??... come down man.Ng'ombe wanalipa ila mleta mada ame over estimate
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanakula tunda kimasihara leo.
Salaam.....Good morning billionaires ππππ kabla hujakaa kwenye kiti wewe ni bilionaire a big mogul.
ufugaji wa ng'ombe wa kisasa wa maziwa hapo sawa ukifuga ng'ombe 10 tu wanatoa maziwa wote lita 300 kwa siku hapo uwe na soko la maziwa la uhakika maana cow mmoja anatoa lita 30 sawa na 1000 kila lita kwa kijijini 1000Γ30lita= 30000 per day.
30,000Γ10cow= 300,000sh.per day
300,000Γ30days=sh.9000,000
Tufanye pesa ya wafanyakazi na chakula cha cow ni sawa na Tsh.4,000,000 kwa mwezi
9,000,000Tsh.-4,000,000Tsh.
Cow 10 kila mwezi anakulipa Tsh.5milions kwa uuzaji wa lita moja Tsh 1000 tu bei ya kijijini mjini lita ni 1500.
Watu wanauliza bus zinanuliwaje cow wako kwa miezi 5 tu wanakupa 25,000,000 profit imagine uko na 30 cows wenye mimba.
NB:
Cow mmoja tu unapata 500K profit, kumbuka gharama ya cow mwenye mimba mmoja ni milioni 2.8 au 3mil. Plus banda lake ni milioni andaa. Cow mwenye mimba ni OG zaidi ....
PM yangu ipo wazi karibuni niwape mawazo mnapo kwama au ambapo hamjaelewa tafadhali.
Mods Wand huu uzi tafadhali hamisheni kule jukwaa la hoja mchanganyiko ndipo pana wachangiaji wengi
Mbona inawezekana tuMtego huu
Mtoa mada ataki jina la ng'ombe kabisaaaa, na ww imebdi uulize ana cow wangapiii??Wewe una cow wangapi Mkuu.