uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Jamani timu ya Arsenal haijaanza kuteseka leo
Tarehe ya jana mwezi huu arsenal alitobolewa misumari sita na chelsea
Tuwaombee wachukue EPL mateso yamewaanza muda mrefu
Respect kwa kocha mtukutu Jose morinho kwa kugawa dozi
Tarehe ya jana mwezi huu arsenal alitobolewa misumari sita na chelsea
Tuwaombee wachukue EPL mateso yamewaanza muda mrefu
Respect kwa kocha mtukutu Jose morinho kwa kugawa dozi