Mimi nadhani Jackson afanyie kazi finishing na confidence yake. Hizi nafasi tunazo mpachika tutamuongezea mzigo mzito tu. Nionavyo mimi ataweza kuperform vizuri ikiwa watakua striker wawili lakini sio suala la kucheza LW.Nafasi pekee ambayo Jackson anaweza kuitumia uwezo wake wa kupress, kudisposes, kusprint na kuassists bila ya kumtwisha mzigo mkubwa wa kufunga magoli ni LW. Mbali na hapo ni kumuweka benchi kitu ambayo haiko kwenye plan ya kocha wala SD waliomsajili
Lakini mkuu si tulishakubaliana sisi hatutafuti ubingwa. Mbio za ubingwa tumewaachia Liver, Arsenal na Man Utd sisi bado tunajenga timu.Ukimwambia mtu kuwa tulikuwa nafasi ya pili na kusemwa tunagombania ubingwa na sasa tupo nafasi ya tano, huyo mtu hawezi kukuamini.
Sidhan kama ni Enzo a Maresca au SD ndio walioleta vitimbiEnzo alimkataa chalobah Ila sasa hv ananyenyekewa kuitwa kisa kuna majeruhi wengi 😂 dah hii timu ishaanza kunichosha
Game zote ambazo hatujapata matokeo ni ujinga wa wachezaj kwa nafas wanazopata na kushindwa kuzitumiaTofauti kati ya Newcastle na Chelsea ni kubwa: Newcastle imeshinda mechi zote tano za hivi majuzi, ikiwa na pointi 15 kati ya 15, wakati Chelsea haijashinda hata moja, sare tatu na kupoteza mbili, ikikusanya pointi 3 pekee kati ya 15.
Kwa kuzingatia hii hali ya sasa, inaonekana hakuna uwezekano kwamba Chelsea wataweza kupigania nafasi ya 4 bora hadi mechi yao nne za mwisho dhidi ya Liverpool, Newcastle, Manchester United, na Nottingham Forest.
Je, unadhani Chelsea inaweza kupindua meza na kuwania nafasi 4 za juu?
View attachment 3203056
Kwa hyo ww mkuu kweli ulikuwa unjua Jackson mchezaji kweliJackson karudi yule wa msimu uliopita, yeye na goli anapaisha
Mkuuu kwan kwa Jackson unaona nniJackosn ni mchezaji mzuri hakuna mtu anabisha hapo, tatizo linakuja kwenye nafasi ya striker, amekuwa sio mfungaji wa kumtegemea. Kwenye nyakati muhimu za kuiokoa timu na kwa nafasi muhimu anazopata anapoteza kijinga tu
Assist aliyompa Palmewr inaonyesha kuwa anafaa kucheza ila sio kama striker.
Hii yote ni makosa ya meneja ambaye hataki kuamini kuwa Jackson hafai pale na mabaya zaidi anampa acheze hadi mwishoni. Jackosn angetolewa dakika ya 45 au 60 matokeo yangekuwa mengine
Nikuulize hivyo hivyo kwani wewe kwa Jackson huoni lolote?Mkuuu kwan kwa Jackson unaona nni
Inasikitisha kwa kweliMke wa Pep Guardiola alikuwa anachukia mpira wa miguu na pia kumchukia mume wake kwa kutumia muda mwingi kwenye mpira
Ameamua kumshitaki mume wake mahakamani kuomba talaka kwa sababu kuu kuwa mume wake hana muda na familia yake
Mahakama ikatoa hukumu ya kukubali ombi la talaka na kugawa katikati utajiri wa PEP ambao aliupata kutoka kwenye kazi ambayo mke wake hakuipenda
Ikumbukwe kuwa PEP hakutoka nje ya ndoa wala hakuwa mgomvi kwa mke wake wala familia yake
Hizi mahakam za ulaya na sheria zao za kijinga zinawaumiza sana wanaume
View attachment 3204932
Ndoa kwa wenye hela ni utapeli.Mke wa Pep Guardiola alikuwa anachukia mpira wa miguu na pia kumchukia mume wake kwa kutumia muda mwingi kwenye mpira
Ameamua kumshitaki mume wake mahakamani kuomba talaka kwa sababu kuu kuwa mume wake hana muda na familia yake
Mahakama ikatoa hukumu ya kukubali ombi la talaka na kugawa katikati utajiri wa PEP ambao aliupata kutoka kwenye kazi ambayo mke wake hakuipenda
Ikumbukwe kuwa PEP hakutoka nje ya ndoa wala hakuwa mgomvi kwa mke wake wala familia yake
Hizi mahakam za ulaya na sheria zao za kijinga zinawaumiza sana wanaume
View attachment 3204932
Nasikia pia mahakama imempa jumba lao la kifahari la jijini Machester. Walikuwa pamoja kwenye likizo ya Krisimasi lakini Manchester city walipomuongezea tu m kataba hadi 2027, Serra akakasirika na kwenda mahakamaniNdoa kwa wenye hela ni utapeli.
Wanawake 🙌Mke wa Pep Guardiola alikuwa anachukia mpira wa miguu na pia kumchukia mume wake kwa kutumia muda mwingi kwenye mpira
Ameamua kumshitaki mume wake mahakamani kuomba talaka kwa sababu kuu kuwa mume wake hana muda na familia yake
Mahakama ikatoa hukumu ya kukubali ombi la talaka na kugawa katikati utajiri wa PEP ambao aliupata kutoka kwenye kazi ambayo mke wake hakuipenda
Ikumbukwe kuwa PEP hakutoka nje ya ndoa wala hakuwa mgomvi kwa mke wake wala familia yake
Hizi mahakam za ulaya na sheria zao za kijinga zinawaumiza sana wanaume
View attachment 3204932