Wako serious na Garnacho mil 60Hii club wanayoiharib ni SD , summer badala ya kupiga hatua kweny usajil utakaotuimprove tukaleta ujinga na same mistake tunaifany dirisha hili
Unahisi Garnacho atatusaidia au ndio kukusanya watoto zaidiWako serious na Garnacho mil 60
View attachment 3207748
Kwenye viungo kocha anaona isue ya Enzo na Lavia ni ya temorary tu maybe ni mechi moja tu ndio watakosaUnahisi Garnacho atatusaidia au ndio kukusanya watoto zaidi
Tuna upungufu wa viungo ila mpaka sasa hakuna dalili ya kumrudisha Andrey Santos o Ugechukwu
Lavia sio mtu wa kumtegemea Yani tuna 2 Full fit midfielderKwenye viungo kocha anaona isue ya Enzo na Lavia ni ya temorary tu maybe ni mechi moja tu ndio watakosa
Ila mi9mi kwa maoni yangu wacha wabaki maana wanafanya vizuri huko ili 2025 July tuwe na squad ya uhakika
Tumeshalambihswa na SanchezLeo tukilambwa itakuwa ni Upuuzi sasa
Nlkuwa nasubir kipindi cha kwanza kiishe ili niende kuchek game ila imebidi nirudi kitandani tuu, hili jero langu nitakula maandazi asubuhi.Tumeshalambihswa na Sanchez
Subiri Estevao Willian anakuja kumuweka benchiMadueke ni kichwa box.
Tumeshinda 3-1 ila Chelsea ni ile ile haijabadilika. Tushukuru tulikuwa tunacheza na Wolves wasioweza kudefend wala kushambuliaNlkuwa nasubir kipindi cha kwanza kiishe ili niende kuchek game ila imebidi nirudi kitandani tuu, hili jero langu nitakula maandazi asubuhi.