Chelsea hakuna mpira pale ila kuna Mourinho

Chelsea hakuna mpira pale ila kuna Mourinho

Mbinu ndo zinaleta ushindi..

Yani man u kama demu vile,, unavmtongoza unamuacha afanye anavotaka,unamsifia anajiona mzuuuuri kumbe we kipo unachotaka! Akija geto(darajanj) unamuacha ajimwage anajiona ndo kafika. AKIINGIA TU CHUMBANI MAMBO YANA BADILIKA,GOLI MOJA WATOTO WATATU.
Hahahahhhahahh nimecheka kweli uploadfromtaptalk1429543106622.jpeguploadfromtaptalk1429543145970.jpg
 
Mjinga ni yule anayeanza kutukana badala ya kujibu hoja. Nani hakuona kabla ya kufungwa goli lilr kuna faulu ilichezewa Man U refa akapeta?
Ni mjinga tu ndiye ambaye hakuona kama Herrera alifanyiwa faulo ndani ya box refa akapeta na kumzawadia yellow card Herrera?
Haya baba. Tufanye ilikuwa faulo
 
Ni kweli juhudi tumeziona kwa staili yoyote hata kununua marefa pia tumeona. Maana uzuri wa tehama ni kuwa lile tukio la Herrera kukwatuliwa ndani ya box halafu kadi anapewa yeye kila mtu mwenye akili timamu aliona.
Mpira wa England hautakaa uendelee kwa staili hii ya chelsea kununua waamuzi.
Yule mwamuzi alishawahi kufungiwa kwa kuboronga kwenye maamuzi, sababu kuu jamaa ni corrupt ajabu.

pole sana bro,kitu ambacho nimekiona kwako ni kuwa hujui mpira,ila una mahaba na timu.sportsmanship is very important in sports.ningekuwa na uwezo wa kuapload hicho kipande unachosema herrera alikwatuliwa ningekiupload hapa ili ujifunze kuwa mwanamichezo badala ya kuwa na mahaba na timu.hata refa aliona herrera anapeleka mguu kujigongesha kwa cahil.ukiwa mtu wa mahaba utatoa kauli kama yako,ukiwa mwanamichezo utaangalia tukio hilo kwa jicho tofauti
 
Ni kweli juhudi tumeziona kwa staili yoyote hata kununua marefa pia tumeona. Maana uzuri wa tehama ni kuwa lile tukio la Herrera kukwatuliwa ndani ya box halafu kadi anapewa yeye kila mtu mwenye akili timamu aliona.
Mpira wa England hautakaa uendelee kwa staili hii ya chelsea kununua waamuzi.
Yule mwamuzi alishawahi kufungiwa kwa kuboronga kwenye maamuzi, sababu kuu jamaa ni corrupt ajabu.

Kumbuka basi na ile ya Torres akapewa red sembuse huyu yellow
 
Haujui jinsi ya kutafsiri takwimu za mpira, hasa kuhusu ball possession! Kuna kitu kinaitwa "Football efficience" yaani ni kwa kiwango gani jitihada iliyotumika ilifanikiwa kufikia malengo yaliyokusudiwa. Kwenye mpira wa miguu lengo kuu ni kufunga goli na mwishoni kuweza kupata pointi Tatu muhimu. Na jitihada inayotumika ili kufikia lengo Hilo ni kutafuta nafasi na kupiga mpira golini (Shots on target). Kanuni yenyewe ni hii: football efficiency= Goals /(divide by) Shots on target *(times) 100. Kwa chelsea: Football efficiency=1/2=50%. kwa Man U : Football efficieny=0/2=0%.
Kwa hiyo Football Efficiency Chelsea 50% Man u 0%. Hii ni kwa sababu timu zote mbili zilipiga mashuti mawili golini (shots on target), lakini kwa Man jitihada hizo zilizaa goli sifuri (0), na kwa chelsea jitihada hizo zilizaa goli moja(1). Ndiyo maana mwisho wa siku inajulikana timu ipi ilinuna na ipi ilicheka! Kucheza mpira wa miguu kwa juhudi kubwa bila kufunga goli ni sawa na kuwalisha kuku wa mayai kwa juhudi kubwa lakini wasitage yai hata moja. Halafu mfugaji wa jinsi hiyo akijisifu kuwa ni mtaalam wa kuwalisha kuku akiambiwa akapime akili atakuwa amesaidiwa sana!

mkuu wewe ni mchambuzi mzuri sana wa mpira ila utafanikiwa ukiacha ushabiki. But kwa mujibu wa maelezo yako hapo juu unanishawishi kuaminia kwamba at least mpira unaujua. Huo ushauri wangu kwako
 
pole sana bro,kitu ambacho nimekiona kwako ni kuwa hujui mpira,ila una mahaba na timu.sportsmanship is very important in sports.ningekuwa na uwezo wa kuapload hicho kipande unachosema herrera alikwatuliwa ningekiupload hapa ili ujifunze kuwa mwanamichezo badala ya kuwa na mahaba na timu.hata refa aliona herrera anapeleka mguu kujigongesha kwa cahil.ukiwa mtu wa mahaba utatoa kauli kama yako,ukiwa mwanamichezo utaangalia tukio hilo kwa jicho tofauti

Well said mkuu,ila c unajua mfa maji.........
 
Back
Top Bottom