Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Yale Yale ya Masai ole sendeka
Lampard ni heri tukabaki hata na Sarri Masigara tu maana ana uwezo mdogo sana kukochi timu kubwa kama Chelsea[emoji30]Huu ndio ukweli ninaoujua , na hili linachangiwa sana na Abramovic kutokulifahamu soka , na ndio maana aliweza kumwachia timu kocha wa ajabu Avram Grant.
Huwezi kuacha makocha wote bora wa dunia ukaja kuchagua mtu kwa style ya Bahatisha Ndulute .
Sisi yetu macho tu
ohoooo !!!Yale Yale ya Masai ole sendeka
Basi na Arsenal wamlete Chogo pale EmiratesYale Yale ya Masai ole sendeka
Chogo ndio wale wale, siumeona Monaco ilimshinda kwa kwa miez miwili tuBasi na Arsenal wamlete Chogo pale Emirates
Sio tetes tena, anatambulishwa muda wowote na drogba bench la ufundNi tetesi tu.
kumbuka inshu ya sarri bado haijaisha mkuu, na istoshe derby bado wana nkataba na lampardSio tetes tena, anatambulishwa muda wowote na drogba bench la ufund
Kama mfatiliaji mzuri, sarri ameshamalizana na juve, toka Jana , ni mambo ya makubaliano tu yamebaki pande zote mbili , ili atambukishwe, hii wiki haitapita sari atatambulishwa juve,na lamp chelseakumbuka inshu ya sarri bado haijaisha mkuu, na istoshe derby bado wana nkataba na lampard
Nauona ugumu hapo.
Kama itatokea, tutarudi enzi za AVBKama mfatiliaji mzuri, sarri ameshamalizana na juve, toka Jana , ni mambo ya makubaliano tu yamebaki pande zote mbili , ili atambukishwe, hii wiki haitapita sari atatambulishwa juve,na lamp chelsea