Chelsea kumpa timu Frank Lampard ni sawa na kucheza kamari , uwezo wake ni wa mashaka

Chelsea kumpa timu Frank Lampard ni sawa na kucheza kamari , uwezo wake ni wa mashaka

Huyu Abramovich nafikiri amechanganyikiwa, tangu ainunue Chelsea hadi leo ameshaajiri makocha karibia 15 hivi.

Sasa ameangukia kwa Lampard ambaye kama Solksjaer wa Manchester United on paper, hawana uwezo wa kuzinoa timu kubwa kama walizokabidhiwa. Time will tell.
 
Kwakikosi hiki hawatoki wakija Stamford Bridge
fc820ba264cf9cc0543878b1b4ad7057.jpeg
 
Back
Top Bottom