Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama itatokea, tutarudi enzi za AVB
maana sioni maajabu ya lampard japo anaipenda timu.
As usual to any Club's Manager.He will be hired to be get fired.
Kwa nn kante?Kante namuonea huruma,si ahamie team nyingine? Au ni Chelsea damu damu.
Huu ndio ukweli ninaoujua , na hili linachangiwa sana na Abramovic kutokulifahamu soka , na ndio maana aliweza kumwachia timu kocha wa ajabu Avram Grant.
Huwezi kuacha makocha wote bora wa dunia ukaja kuchagua mtu kwa style ya Bahatisha Ndulute .
Sisi yetu macho tu
Ni mchezaji mzuri sana kwa Chelsea iliyopo sasa,na hawaruhusiwi kusajili msimu huu.Kwa nn kante?
Mbona Chelsea Bado iko imara, wachezaji wazuri pia ni wengiNi mchezaji mzuri sana kwa Chelsea iliyopo sasa,na hawaruhusiwi kusajili msimu huu.
Hahaha enzi zake tuliyumba sana aseeHahaaa...Angela Villas Boas[emoji23]
wacha tuoneKama itatokea, tutarudi enzi za AVB
maana sioni maajabu ya lampard japo anaipenda timu.
Rasmi katambulishwa juve leokumbuka inshu ya sarri bado haijaisha mkuu, na istoshe derby bado wana nkataba na lampard
Nauona ugumu hapo.
Nafikiri mafanikio ya Zidane pale Madrid yame wahamasisha. Ila wamesahau bahati mwenzio.....Yale Yale ya Masai ole sendeka
Shule shule shule.He will be hired to be get fired.
kabla ya kuja chelsea kufundisha alitokea wapi na alifanya nini ?Mbona huzungumzi Di Matteo alivyopewa timu na akabeba Uefa