Chelsea kumpa timu Frank Lampard ni sawa na kucheza kamari , uwezo wake ni wa mashaka



Hili la Frank Lampard nakinzana nalo kwa hoja zote ni bora amrudishe Raphael Benitez vinginevyo mwakani Uefa na Europa zote tunakosa na tuweza hata kukaribia kushuka daraja kama sio kushuka kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…