Chelsea leo wanaanza ligi baada ya Kombe la Dunia, Fulham atakufa nyingi

Chelsea leo wanaanza ligi baada ya Kombe la Dunia, Fulham atakufa nyingi

Wakali wa London, Chelsea leo wanaanza likizo baada ya likizo ya Kombe la Dunia.

Ni mchezo wa derby ya London ya Magharibi, Fulham Vs Chelsea.

Baada ya kipindi cha muda mrefu Chelsea kupitia magumu kwa kutokupata matokeo mazuri leo Fulham atakufa goli 3.

Wale mashabiki wa timu nyingine mlioanza kuicheka Chelsea kaeni chonjo, it's time for Potter Ball.
Kweli Aiseeee !! wewe ni kiboko !
 
Willian said sorry after his strong destruction 😝😝😝😝😝
 
Wakali wa London, Chelsea leo wanaanza likizo baada ya likizo ya Kombe la Dunia.

Ni mchezo wa derby ya London ya Magharibi, Fulham Vs Chelsea.

Baada ya kipindi cha muda mrefu Chelsea kupitia magumu kwa kutokupata matokeo mazuri leo Fulham atakufa goli 3.

Wale mashabiki wa timu nyingine mlioanza kuicheka Chelsea kaeni chonjo, it's time for Potter Ball.
Hah haha haaa
 
Back
Top Bottom