Chemsha bongo kwa wapenzi wa Fizikia (Physics)

Chemsha bongo kwa wapenzi wa Fizikia (Physics)

Unachokiuliza practically hakiwezekani. Ili kujibu swali lako inabidi ueleze unakusudia kugundua nini ili ufanye assumptions kueliminate baadhi ya factors.

Kuna vitu hivi
i, Geothermal gradient
ii, Gravitation field
iii, States of matter ( solid rocky crust, liquid mantle, and solid irony-Nickel core.

- Kati ya hivyo vitu hapo juu wewe unataka ugundue nini?

- Huwezi kutoboa tundu kwenye kimiminika (mantle)

- Huwezi pitisha chuma au jiwe kwenye joto kali, melting point ya chuma ni around 1500 C hivyo chuma chako kitayeyukia upper mantle tu.

- At the center of the earth gravitation field ni 0 hivyo chuma hakiwezi tokea upande wa pili wa shimo

Umejibu kama physicist[emoji3577]
 
Ukiona hadi leo wazungu wanaoenda hadi anga za mbali na kugundua almost kila kitu lakini hawajalifanyia kazi wazo lako, basi tu kuna kitu kimepungua huko ghorofani kwako, nacho si kingine, lack of critical thoughts which can be productive and useful to the world [emoji289] citizens
Umeongea pumba hadi basi sasa kisa mzungu hajafanya ndo hakina maana
 
Kwanza naweka nadharia kuwa nitafanikiwa kutoboa shimo nalotaka toka nilipo hadi upande wa pili wa tufe la dunia. Na kwamba shimo litakuwa imara bila kucollapse kutoka na na joto popote kwenye shimo hilo.


1. Sasa kama nitatumbukiza jiwe kitakachotokea jiwe litakwenda hadi katikati na kubaki katikati ya kipendo kwa sababu gravity itakuwa zero hivyo halitaweza kwenda zaidi bali litabaki linaelea.

2. Jiwe linaweza kuyeyuka njiani kutokana na joto kali la magma ya dunia na mabaki yake kwenda kunasa tena kwenye radius kutokana na kukosekana kwa gravity
 
Wakuu wapenzi wa Physics ni matumaini yangu hamjambo.

Niende moja kwa moja kwenye swali:-

Hivi ikitokea mtu akatoboa tundu katika ya dunia, tundu hilo litobolewe hapo ulipo na lipitie katikati ya dunia (the core) na litokeze upande wa pili wa dunia, tundu hilo liwe kubwa la kuweza kupenya kitu kama jiwe, chuma nk, chenye uzito wa kama kg 150, je kitu hicho kikitumbukizwa kwenye hilo shimo itakuwa vipi??!!

Nahitaji maelezo ya kisayansi (Physics) kuelezea kitakachotokea kwenye hicho kitu.

Pse welcome.
Hicho chuma au shimo itabidi liwe na urefu wa km 13000!!
Mashimo tu ya migodini yenye km 12,hutumika nondo na rasilimali za kutosha sasa fikilia tunnel la km 13000!
It is mexhanicsly difficult
 
Mkuu mi mmoja wa vilaza wa physics ambayo niliipenda Ila yenyewe haikunipenda nikaamua nibobee kwenye uchumi ambao ulinipenda mi sikuupenda.... yote alisababisha Mchwampaka, nilitaka kumshushia neno zito Ila kwa kuwa amendei niseme tu RIP motherfucker....
Aisee!! Alikufanyaje huyo bwana 🤣🤣🤣🤣
 
Hicho chuma au shimo itabidi liwe na urefu wa km 13000!!
Mashimo tu ya migodini yenye km 12,hutumika nondo na rasilimali za kutosha sasa fikilia tunnel la km 13000!
It is mexhanicsly difficult


Assumptions zilizopo ili shimo hilo lipatikane ni pamoja na Kutokuwepo na joto na uimara wa side wall ili shimo lisi collapse, kinachobakia ni gravitational force tu, sasa ninachouliza ni action ya ya hiyo force kwenye hiyo object itakayodondoshwa kupitia upande mmoja wa hilo tundu.

Ninachofanya ni just theorising on what will happen without the actual any existing complexities.
 
Kwanza naweka nadharia kuwa nitafanikiwa kutoboa shimo nalotaka toka nilipo hadi upande wa pili wa tufe la dunia. Na kwamba shimo litakuwa imara bila kucollapse kutoka na na joto popote kwenye shimo hilo.


1. Sasa kama nitatumbukiza jiwe kitakachotokea jiwe litakwenda hadi katikati na kubaki katikati ya kipendo kwa sababu gravity itakuwa zero hivyo halitaweza kwenda zaidi bali litabaki linaelea.

2. Jiwe linaweza kuyeyuka njiani kutokana na joto kali la magma ya dunia na mabaki yake kwenda kunasa tena kwenye radius kutokana na kukosekana kwa gravity
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom