Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ooooo yeaeeeeahoooohhhhhh yeeeessss..
Me loooveeee it.....
hahahaaaaa....nishapata picha..darsa la sita na la saba kulikuwa hapakaliki..ahahahaaahahahahaha lol
sasa ngoja nianze kuhema hahahah lol
heeeeh.....nani tena wewe jamani?!!mtanikuta ndani
Wewe bibie ebu fafanua vizuri kuhusu huyo mtu. Umemtuma eee, mbona hujatutaarifu?:bange::music: teh teh teh teh lolz
mimi ni kitanda...heeeeh.....nani tena wewe jamani?!!
afro nimefafanua sauti kali
hebu jibu
Asilimia 40 (40%) ya wasichana wanaangalia naKupenda ..Hiki ............ kabla ya kudate mwanaume..JE ni nini?? Waweza hisia mara nyingi upendavyo..All the best ...
Ni kweli kabisa mkuu
lakini jibu ni sautii..
Kama ya Godwin Gondwehivi deep voice ni ipi ????? barry white?????? huyo jamaa wa boyz 2 men???????? na sisi wenye sauti kali mnatu define vipi?????????? sauti ya juu kama zitto kabwe?????????????
Kama ya Godwin Gondwe
Ha ha harufu ya wivu tu huomna tabu nyinyi.... sasa godwin gonde ndio sauti gani
Thats my Afro... teh! Cjawah fikiria hiyo kitu teh!my dear deep voice tunayoionglea hapani kama sauti ya nne kanisani ..kama umewahi kusikia wanakwaya wakiimba ..kama hiyo ya kwako iliyoiongeleainaweza kuwa ya juu lakini ( nzito)(haitokeagi mara nyingi lakini)
Teh! Hapo kiroho kinakudunda.. nipe ile tamu niuchune!Acha umbea...muone vile!!
teh! nishawishi nisiseme!Oooops....alafu naona wambea kama GAGU washakamata!
Umejuaje umefeli?!Kwani yako na ya mchumba zinaendana?!....dah, mna mambo kweli nyie.Haya, hao 60% wavutiwa na nini...maana kwa sauti nishafeli!BTW, sauti mwakusudia ile kama mtu mwenye decibels kama kameza chura ama?
....dah, mna mambo kweli nyie.
Haya, hao 60% wavutiwa na nini...maana kwa sauti nishafeli!
BTW, sauti mwakusudia ile kama mtu mwenye decibels kama kameza chura ama?
Ha ha harufu ya wivu tu huo