Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimewasikiaaaaaaa! Nitamsema lizzy kwa nanii......!shuuuuuuuuu useseme kwa nguuvu...
100% tutakuwa tunajuana suraaa. hahahaaaaaa.unaweza kukuta wewe ni mteja wangu.hahaaaHahahahaha Usikute tumewahi gongana pale " tabasam"Hahahahahaha lolz
Acha umbea...muone vile!!nimewasikiaaaaaaa! Nitamsema lizzy kwa nanii......!
Hahahahahahaaaaaa....lol! Na funguo ya nyumba je?Owkey usimwambie mtu lakini....kaniambia kuna tajiri mmoja huku JF ataniunganishia!! Nae ana sauti matata!
Oooops....alafu naona wambea kama GAGU washakamata!shuuuuuuuuu useseme kwa nguuvu...
Sauti kali ndio inakuaje???!hivi deep voice ni ipi ?????barry white??????huyo jamaa wa boyz 2 men????????na sisi wenye sauti kali mnatu define vipi??????????sauti ya juu kama zitto kabwe?????????????
Sauti kali ndio inakuaje???!
Wewee..... Mbona rahaaaa!! Lizzy chukua haraka iyo funguo au tayari tajiri ndo mpango mzima? Ucjali Afro hatuvunji chochote mi ntawahi kwenye sub-woofer tu, mambo ya burudani kwanza!!hahahahahah lolsawa bana ngoja niwakabidhi ufunguo wa nyumba yangu mkivunjakitu mtanikoma hahahahaha lol
Ohhhh kumbe hivyo....kama waIsrael!Ongea yao ni kama ugomvi!Sasa jhiyo inategemea maana unaweza kua na sauti ya ukali japo ni nyepesi au ikawa kali na nzito vizuri.Zitto siwezi kumwongelea sana kwasababu sijamsikiliza sana ila naweza sema naikubali kwa nilivyoisikia...nyingine ni ya yule mtangazaji wa kipindi cha njia panda anaitwa sijui nani Ndege!Nwy sauti ya kiume normally inatakiwa iwe deep....ila sasa mvuto unatofautiana.Kama za kike tu...wengi wana laini ila sio wote wanasifiwa kwamba wana sauti nzuri!!sauti kali ni sauti ambayo iko juu most of timeunaweza sema nafoka kumbe nazungumza....kwenye nyumba ya ghorofa,nikiwa zaungumza na mtu juuwatu wa chini wanaweza sikia sauti yangu,but wasisikie ya ninaezungumza nae....sauti iko juu,mfano zitto anapozungumza bungeni......mimi nikizungumza,watu walionizoea huwa wanakumbusha kushusha sauti most of time...
mtanikuta ndaniWewee..... Mbona rahaaaa!! Lizzy chukua haraka iyo funguo au tayari tajiri ndo mpango mzima? Ucjali Afro hatuvunji chochote mi ntawahi kwenye sub-woofer tu, mambo ya burudani kwanza!!
hivi deep voice ni ipi ?????
barry white??????
huyo jamaa wa boyz 2 men????????
na sisi wenye sauti kali mnatu define vipi??????????
sauti ya juu kama zitto kabwe?????????????
Asilimia 40 (40%) ya wasichana wanaangalia naKupenda ..Hiki ............ kabla ya kudate mwanaume..JE ni nini?? Waweza hisia mara nyingi upendavyo..All the best ...
hahahaaaa..sijasoma hapa mimi ni wakuja tu bibie...balaaa buluuu
cha muhimu naomba usiniambie
ulienda hiyo shule ya msingi hapo mjini..
miaka fulani fulani maanake mmmhhh
Mayasa unaukumbuka wimbo wa Marija Rajabu unaosema Mayasa??? kama sijakosea hebu uonishe na jinsi ulivo??? kuwa na lafudhi fulani sio kupenda ni mother tangue ya mtu,je wenye lafudhi ya kihaya,kingoni,kimakonde,kimasai,kijaluo,kigogo, kisambaa nao unawachukia pia au umebagua tu wachaga?? acha ubaguzi Mayasa.Tena uombe radhi mapema.what about lafudhi?..nachukia mwanaume mwenye lafudhi ya kichaga hadi basi.. samahanini wachaga msinitoe macho...